Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

..kipande kikubwa cha reli kiko upande wa Tanzania.

..pia kama Rwanda wameleta longolongo, mbona kipande cha kwenda Burundi nako hamna kinachoendelea?

..jamani kila siku ni maneno-maneno tu?? Tangu wakati waziri ni Dr.Kawambwa, akaja Omari Nundu, sasa hivi Dr.Mwakyembe, ni "nia", "nia", "nia."

..tukilemaa mpaka Rwanda na Burundi wakajenga reli kuelekea Uganda then Kenya, itakuwa ndiyo imetoka hiyo kwa upande wa Tanzania. Unless tutakuwa na pesa za kuwajengea reli mpaka Kigali na Bujumbura.

..lakini hata bila ya kufikiria ku-extend reli kwenda Kigali, bado pale Isaka kuna kituo[dry port] cha mizigo ya kwenda Rwanda. Lakini kwasababu reli ya kati imekufa basi kituo hicho nacho kimedorora.

Umefata link hiyo kuisoma au unakurupuka tu?

Canarail reveals Tanzania-Rwanda railway construction underway
 
MkamaP, Salary Slip

..lakini JK alishatangaza hii "nia" in 2011.

..sasa tangu wakati huo serikali imefanya nini?

..kwanini in 2013 anarudia kutangaza "nia" aliyokwisha tangaza hapo awali??

..kwanini hatendi??

..wakati mwingine nalazimika kukubali kwamba kuna justification ktk hizi dharau na kejeli toka kwa majirani zetu wa Afrika Mashariki. Uongozi wetu umekuwa wa maneno-maneno tu kama hizo "nia" zinazotangazwa na viongozi wetu.

..someni hapa:Tanzania, Rwanda, Burundi team up on $5bn rail proposal

cc Geza Ulole, Nguruvi3
Wajapan wakasema wanakuja kujenga.
Ghafla Pinda akiwa China kapata mchukua tenda. !!!
 
MkamaP, Salary Slip

..lakini JK alishatangaza hii "nia" in 2011.

..sasa tangu wakati huo serikali imefanya nini?

..kwanini in 2013 anarudia kutangaza "nia" aliyokwisha tangaza hapo awali??

..kwanini hatendi??

..wakati mwingine nalazimika kukubali kwamba kuna justification ktk hizi dharau na kejeli toka kwa majirani zetu wa Afrika Mashariki. Uongozi wetu umekuwa wa maneno-maneno tu kama hizo "nia" zinazotangazwa na viongozi wetu.

..someni hapa:Tanzania, Rwanda, Burundi team up on $5bn rail proposal

cc Geza Ulole, Nguruvi3

Mkuu Joka,
Hili tangazo la Kikwete, ni la kujaribu tu kuondoa aibu (pre-emptive strike) kwa vile walivyo-umbuliwa na CoW kuwa wao ndio wazembe kwenye EAC, maana Kenya watatangaza kuanza ujenzi hivi karibuni wakati TZ hakuna kinachoendelea.

Viongozi wetu wamekuwa wazuri sana katika kushugulikia miradi yao binafsi na kuwatupia porojo waTZ bila utendaji au uwajibikaji. Ukichunguza utaona wote wana mabadiliko makubwa binafsi ya kiuchumi tokea walipoingia madarakani lakini miradi ya taifa hawana uchungu nayo, unless wawe na 10% zao au kuwa na vikampuni vyao vishiriki kwenye hiyo miradi.

  1. Reli ni muhimu kwa kuendeleza uchumi, je JK amefanya nini kuiimarisha licha ya kuwa kwenye uongozi kwa zaidi ya miaka 10?
  2. Umeme na hakuna wa uhakika na ni ghali, kwa nini mtu aanzishe kiwanda TZ badala ya Kenya, Msumbiji au SA kwenye uhakika wa umeme rahisi? Ina maana hawalijui hili?
  3. Tumeshindwa kufufua ATC; hivi sasa Kenya, Ethiopia, SA na sasa Rwanda ndio tunaowategemea kubeba mizigo na wafanyabiashara wetu, kwanini?
  4. Kwa nini Kenya wawe na bandari bora kuliko sisi ingawa tuna ufukwe mrefu zaidi? Haka ka-Container terminal tulikonako kamemfanya Rostam Aziz awe bilionaire, je taifa lingefaidikaje kwa kiasi gani kama tungekuwa wamiliki wa bandari nzuri zenye uhakika?
  5. Kwanini ichukue miaka 30-40 kujenga barabara muhimu kwa uchumi wa nchi? i.e. Barabara za kuunganisha bandari zetu na Msumbiji, Malawi, Zambia, DRC, Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya zote ni mbaya.
Haya yote yanawezekana na yangefanyiwa kazi kwa haraka muda mrefu nchi ingekuwa mbali sana, kwani siyo magumu bali uzembe na usanii tu ndio umewatawala viongozi wetu.

Kuboreshwa kwa hii miundo mbinu kungeongeza ajira kwa waTZ, maendeleo binafsi ya waTZ, ongezeko la kodi kwa serikali, ongezeko la utalii, ubora wa maisha n.k. Lakini kwa vile serikali yetu haiwajibiki kwa wananchi, ndio maana wanafanya kazi tu kuondoa aibu na sio kujenga nchi.
 
..mkataba wa bandari ya Bagamoyo ulisainiwa wakati Raisi wa China ametembelea Tz.

..sasa tangu wakati Raisi wa China amekuja hapa ni muda gani?

..majuzi PM Pinda alikuwa China anazungumzia bandari ya Mtwara.

..hawa watu wako very efficient ktk kusafiri tu, lakini ni zero kwenye kufanya kitu kikaonekana.

..tukubali ukweli kwamba JK na serikali yake wako too slow, na ndiyo maana nikatoa mfano wa Raisi Uhuru Kenyatta.

Wewe wacha porojo, kabla ya kushika uongozi Kikwete hata kwenda Mwanza kutokea Dar ilikuwa mpaka tupiptie Kenya. barabara nyang'a nyang'a toka wakati wa Nyerere. Leo unakwenda huku unakunywa gahwa ndani ya gari, hulijui hilo?

Miradi ya barabara Tanzania wakati huu ni mingi kuliko nchi yoyote ya Afrika chini ya Sahara.

Bandari usifikiri ni lelemama ile, usaini mkataba leo kesho uanze kujenga, kuna watu wa kuwahamisha, kuna miundo mbinu ya kutayarishwa, kuna logistics za kutayarishwa, kuna vifaa vya kukusanywa nje na ndani ya nchi, kuna upimaji wa kina cha maji, kuna upimaji wa udongo uliopo nje na na baharini kuna kila namna ya matayarisho (mobilization), na kwa mradi mkubwa haya matayarisho pekee huchukuwa si chini ya miaka miwili. Usifikiri kuna kucheza mdako pale.

Hivi hizo shule mlienda kufutwa ujinga au kujazwa ujinga?
 
Wajapan wakasema wanakuja kujenga.
Ghafla Pinda akiwa China kapata mchukua tenda. !!!

..hilo nilikuwa nimeliweka kiporo.

..sasa Mjapani kasema tuendelee na reli hii hii hakuna kuweka standard gauge.

..wanadai huko kwao wanatumia reli ya gauge kama yetu lakini more efficiently.

..tukienda kwa Mchina tunaambiwa hivi. Tukirudi kwa Mjapani tunapewa ushauri mpya.

..Wajapani wamesema watatuma wataalamu wao kufanya feasibility study. kwa hiyo hii ngoma ina miaka mingine miwili zaidi.

CC Kubwajinga
 
Last edited by a moderator:
Wewe wacha porojo, kabla ya kushika uongozi Kikwete hata kwenda Mwanza kutokea Dar ilikuwa mpaka tupiptie Kenya. barabara nyang'a nyang'a toka wakati wa Nyerere. Leo unakwenda huku unakunywa gahwa ndani ya gari, hulijui hilo?

Miradi ya barabara Tanzania wakati huu ni mingi kuliko nchi yoyote ya Afrika chini ya Sahara.

Bandari usifikiri ni lelemama ile, usaini mkataba leo kesho uanze kujenga, kuna watu wa kuwahamisha, kuna miundo mbinu ya kutayarishwa, kuna logistics za kutayarishwa, kuna vifaa vya kukusanywa nje na ndani ya nchi, kuna upimaji wa kina cha maji, kuna upimaji wa udongo uliopo nje na na baharini kuna kila namna ya matayarisho (mobilization), na kwa mradi mkubwa haya matayarisho pekee huchukuwa si chini ya miaka miwili. Usifikiri kuna kucheza mdako pale.

Hivi hizo shule mlienda kufutwa ujinga au kujazwa ujinga?


..tulitakiwa tuongoze na kwenye miradi ya reli pia.

..wenzetu walishatoka kwenye miradi ya barabara, wako kwenye reli na bandari.

..tangu tutangaziwe "nia" kuhusu bandari ya Bagamoyo is enough time kuwa ktk phase ya ujenzi sasa hivi.
 
Ni juzi juzi tu Waziri Mwakyembe alisema kuwa reli ya kati itaimarishwa kwa kuweka reli nzito katika zile sehemu zenye reli nyepesi.

Leo JK anasema kuna mpango wa kubadili reli ya kati kuwa ya kimataifa (standard gauge).

Kwa sasa, kuna injini za treni (8 kama sikosei) zinafanyiwa ukarabati mkubwa na kampuni kutoka Malasyia katika karakana ya Reli Morogoro.

Vile vile, kuna injini nyingine mpya na behewa ambazo nasikia zimeagizwa.

Sasa kama kuna mpango wa kupanua reli ya nini kuingia gharama za kuimarisha reli iliyopo, na kununua behewa mpya pamoja na injini ambazo hazitaweza kutumika katika reli pana?!

Ni nani kati ya JK na Mwakyembe anasema ukweli?

Miscommunication kati ya mbwa na mfuga mbwa
 
..mkataba wa bandari ya Bagamoyo ulisainiwa wakati Raisi wa China ametembelea Tz.

..sasa tangu wakati Raisi wa China amekuja hapa ni muda gani?

..majuzi PM Pinda alikuwa China anazungumzia bandari ya Mtwara.

..hawa watu wako very efficient ktk kusafiri tu, lakini ni zero kwenye kufanya kitu kikaonekana.

..tukubali ukweli kwamba JK na serikali yake wako too slow, na ndiyo maana nikatoa mfano wa Raisi Uhuru Kenyatta.

Mkuu Joka,
Baya zaidi ni kuwa hakuna ratiba ya utendaji wa hii miradi na pia hakuna utaratibu wa bunge kufuatilia yanayodiri kuhusiana na miradi ya maendeleo. Kwa nini tusiweke wazi habari za kila mradi, unatarajiwa kuanza lini, pesa yake inategemewa kupatikanaje na taratibu za tenda ni zipi? Kwa nini tusiwajibishe au kufikisha mahakamani watumishi wanaozorotesha/ kuhujumu miradi ya taifa? Kama hatutabadilika, tutaendelea kuwa nyuma ya wenzetu licha ya rasilimali nyingi tulizo nazo.
 
..tulitakiwa tuongoze na kwenye miradi ya reli pia.

..wenzetu walishatoka kwenye miradi ya barabara, wako kwenye reli na bandari.

..tangu tutangaziwe "nia" kuhusu bandari ya Bagamoyo is enough time kuwa ktk phase ya ujenzi sasa hivi.

Bado hujaisoma link niliyokuwekea, au lugha ya watu inakupiga chenga? Tatizo la magwanda wengi kama wewe ni kujidai unajuwa kila kitu kumbe huna ulijuwalo.

Ukiongelea kutoka, watu walianza na reli ndio wakaja na barabara na sasa hivi wanaenda kwenye Mars. Wewe bado umelala usingizi mzito.

Na hiyo kazi ya reli inayofanyika wewe nna-uhakika huwezi iona kwani bado upo kwenye usingizi mzito kabisa.
 
Watu hawaoni aibu kuendelea kuahidi hata kama kuna mengi yamewashinda kuyatekeleza. Don't promise that which you can't fulfill!
 
[B FaizaFoxy,

..OK, nime-copy taarifa toka link uliyoileta.

..nadhani kichwa cha habari ni kwa ajili ya kuvutia wasomaji.

..JK bado yuko katika hatua ya kutangaza "nia" ya kujenga.

..Wajapani wanadai tubakie na gauge iliyopo mpaka 2030 na wataleta wataalamu wa feasibility study.

..in the middle of the article unayonitaka niisome, mwandishi anadai nchi washirika wa mradi watafute funds ili ujenzi uweze kuanza.

..majuzi napo Rwanda wamechomoka na kuachana na mradi wetu, sasa wanataka kujenga reli kuelekea Uganda na Kenya.

..sasa hebu tueleze tufuate kipi hapa?!!

[/B]
Canarail reveals Tanzania-Rwanda railway construction underway



A railway line to connect Rwanda, Burundi and Tanzania is now under construction, according to Canadian consultancy firm, Canarail

The Dar es Salaam- Isaka-Kigali/Keza-Gitega-Musongoti railway project, which is set to cost US$5.2bn and will take four years to complete, is expected to lower Rwanda and Burundi’s transport costs.

“It will be to up the governments to solicit funds for the construction to commence,” said Donald Gillstrom, senior vice president and chief engineer at Canarail, during the presentation of a feasibility study.

Rwanda and Burundi have to bear high transportation costs of ferrying goods from both ports of Mombasa, Kenya and Dar es Salaam, Tanzania.
Analysts have said that this has increased the cost of doing business in the two countries.

The new railway line is also expected to cut the time it takes to transport cargo from Dar es Salaams by road from four days to two days by rail.
“There is no other way for Rwanda to cut the price of goods without this project.

"Air transport has its limitations especially the high transportation costs and the railway line would be more favourable to traders,” observed state minister of transport at the Ministry of Infrastructure, Dr Alex Nzahabwanimana.

Tanzania is currently seeking U$13.3bn to finance infrastructure projects that include railway lines, ports and roads to boost trade with regional partners.
Projects to benefit from the funding will include the rehabilitation of the railway line from Dar es Salaam to Tabora as well as the Kaliua-Mpanda line to Kasanga port on Lake Tanganyika.

“The project is crucial in linking Dar es Salaam port with the landlocked countries of Rwanda, Burundi and Uganda,” observed Dr Stergomena Tax, Tanzania’s permanent secretary in the Ministry of East African Community.

The cost of the project has been estimated at US$1.425bn.

At the same time, the Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) and the Zambia Railway Lit (ZRL) have signed a deal to expand the railway system to facilitate trade between southern and eastern Africa.

The new initiative will later include connection to DR Congo and will enhance trade between Zambia, DR Congo and the port of Dar es Salaam.



cc FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Watu hawaoni aibu kuendelea kuahidi hata kama kuna mengi yamewashinda kuyatekeleza. Don't promise that which you can't fulfill!

Watu wameahidi ndani ya katiba yao kuwa wataongoza kwa muda usiozidi miaka 10 na kwa utamu wa madaraka na fedha za ruzuku wakaamuwa kubadili kinyemela kifungu cha katiba kukifanya kiwe hakina ukomo. Umesahau mara hii? au hujui kasheshe linaloendelea kwa sasa kwa magwanda ni la nini?
 
Mh.Raisi Kikwete ametangaza nia ya kuanza kwa ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa.Raisi amesema reli nyembamba inapatikana eneo la Afrka mashariki tu.

Mh.Raisi kayasema hayo mkoani Simuyi wakati akiweka jiwe la msingi kuzindua ujenzi wa barabara itakayounganisha mkoa wa Simiyu na mikoa ya jirani.

CHANZO:ITV

MY TAKE:
Hivi hizi ahadi zinatekelezeka kweli??!!

Mkuu Salary Slip ,bado tunaendelea na ahadi tu kwa wananchi hivi zile ahadi za za uchaguzi tumeisha zimaliza au hazitekelezeki hivyo tunaanza Mpya.Wahusika wamkumbushe Mkuu kwamba amebakiza miezi kama 24 tu aondoke madarakani apunguze ahadi afanye utekeleza hata akishindwa basi ajitahidi atuachie Katiba Bora inaweza ikafunika siyo kuondosha udhaifu mwingi wa Utawala wake
 
Back
Top Bottom