Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Rais Kikwete atangaza nia ya kuanza kwa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR)

Leo tarehe 28:11:2013 ujenzi wa reli mpya kati ya MOMBASA, SOUTH SUDAN, KAMPALA HADI KIGALI unazinduliwa rasmi.

Tanzani bado top leader anaendeleza promises kama ilivyo kawaida yake na chama chake cha CCM.
 
Wewe wacha porojo, kabla ya kushika uongozi Kikwete hata kwenda Mwanza kutokea Dar ilikuwa mpaka tupiptie Kenya. barabara nyang'a nyang'a toka wakati wa Nyerere. Leo unakwenda huku unakunywa gahwa ndani ya gari, hulijui hilo?

Miradi ya barabara Tanzania wakati huu ni mingi kuliko nchi yoyote ya Afrika chini ya Sahara.

Bandari usifikiri ni lelemama ile, usaini mkataba leo kesho uanze kujenga, kuna watu wa kuwahamisha, kuna miundo mbinu ya kutayarishwa, kuna logistics za kutayarishwa, kuna vifaa vya kukusanywa nje na ndani ya nchi, kuna upimaji wa kina cha maji, kuna upimaji wa udongo uliopo nje na na baharini kuna kila namna ya matayarisho (mobilization), na kwa mradi mkubwa haya matayarisho pekee huchukuwa si chini ya miaka miwili. Usifikiri kuna kucheza mdako pale.

Hivi hizo shule mlienda kufutwa ujinga au kujazwa ujinga?

kumbe yote hayo hayakufanmyika? Sasa walipataje thamani ya mradi? Na waliwezaje kutengeneza mpango kazi?
 
Bado hujaisoma link niliyokuwekea, au lugha ya watu inakupiga chenga? Tatizo la magwanda wengi kama wewe ni kujidai unajuwa kila kitu kumbe huna ulijuwalo.

Ukiongelea kutoka, watu walianza na reli ndio wakaja na barabara na sasa hivi wanaenda kwenye Mars. Wewe bado umelala usingizi mzito.

Na hiyo kazi ya reli inayofanyika wewe nna-uhakika huwezi iona kwani bado upo kwenye usingizi mzito kabisa.

Faiza link uliyoiweka haina mwanga wa kiufundi wala technical conclution ni kama maoni ya mhariri tu.
Kabla sijaifungua nilidhani ndani yake ina upembuzi yakinifu wa miradi ya reli kwa jinsi ulivyo insist.
 
FaizaFoxy,

..kwa uelewa wako, hiyo link yako inasema mradi uko ktk hatua gani?

..vipi kuhusu mapendekezo ya Wajapani kwamba reli ibaki at a current gauge mpaka labda mwaka 2030?

..je, tukikubaliana na ushauri wa wa-Japani, kipande cha Isaka to Kigali, na Keza to Musongati vitajengwa kwa gauge ipi?

cc Nguruvi3, Ritz, Kubwajinga
 
Last edited by a moderator:
Dhahabu yetu...
Gesi yetu.....
Samaki wetu.....
Makaa ya mawe yetu....
Ulanga wetu......
 
sasa tutaisoma namba, wakati mukulu wetu anatembeza bakuli kubwa huku na kule ughaibuni, "kagame, kaguta, kiiza na kenyatta", wameitumia kama fursa na kuanzisha reli mpya kutoka mombasa kwenda kwenye nchi zao! hii kwa mukulu ni kukumbuka shuka asubuhi kweupe!
 
Ndomaana kwa muda wa miaka 50 waTZ bado 2najivunia kujenga BARABARA ambazo hata uimara wake niwa mashaka! 7bu ya UJINGA wakucfia Maneno matupu ya waTAWALA kwavile yy anaSUPPORT CCM basi chochote kitakachosemwa na CCM yy anakubali hata kwaakili ya mtt unaona ni Upuuzi2 Mnashangilia Ahadi leo 2013?!! Hebu tubadilike miaka 50 Mafanikio ni kujenga BARABARA peke yake! TZ inaSafari ndefu sana kufikia Maendeleo ya kweli!
 
Rais lazima atangaze nia ndiyo ujenzi uanze bandari tayari wameishaingia mkataba na makampuni ya China wanajenga Bagamoyo.

Tanzania wanajenga airport Dar es Salaam Third Terminal kampuni mbili za Uingereza na Ujerumani wameishaingia mikataba.

Reli hiyo inajengwa mradi unaanza wakati wowote kuanzia sasa.

Haya ndio mambo tuzungumze yasaidie nchi sio kushadadia watovu wa Nidhamu wanaopiga mayowe kwenye magazeti na Nyaraka za kupindua....ok hilo sawa vipi kuhusu foleni dar mipango ikoje?!!
 
..kipande kikubwa cha reli kiko upande wa Tanzania.

..pia kama Rwanda wameleta longolongo, mbona kipande cha kwenda Burundi nako hamna kinachoendelea?

..jamani kila siku ni maneno-maneno tu?? Tangu wakati waziri ni Dr.Kawambwa, akaja Omari Nundu, sasa hivi Dr.Mwakyembe, ni "nia", "nia", "nia."

..tukilemaa mpaka Rwanda na Burundi wakajenga reli kuelekea Uganda then Kenya, itakuwa ndiyo imetoka hiyo kwa upande wa Tanzania. Unless tutakuwa na pesa za kuwajengea reli mpaka Kigali na Bujumbura.

..lakini hata bila ya kufikiria ku-extend reli kwenda Kigali, bado pale Isaka kuna kituo[dry port] cha mizigo ya kwenda Rwanda. Lakini kwasababu reli ya kati imekufa basi kituo hicho nacho kimedorora.

Kenya reiterates plan to extend high speed railways to Uganda, Rwanda


NAIROBI, Nov. 27 (Xinhua) -- Kenyan President Uhuru Kenyatta on Wednesday reiterated the plan to extend the Mombasa-Malaba high speed standard gauge railway line to Uganda and Rwanda.

Kenyatta made the remarks when meeting with officials from the China Communications Construction Company, which is in charge of building the 14 billion U.S. dollars railway project.

Kenya is working closely with Uganda and Rwanda to ensure the railway line extends to the two countries, Kenyatta said, adding the project's success will boost the ties between the neighboring countries.

"Kenya will fully meet its obligations towards the project. I will personally oversee its implementation," the president said in talks with Executive Director and Chairman of the China Communications Construction Company Liu Qitao in the Kenyan capital Nairobi.

The leaders of Kenya, Uganda and Rwanda signed an agreement in May on the railway cooperation.

Kenya is racing to be a preferred business destination for locals and foreigners as part of its strategy to become a middle income country by 2030.

The railway is a flagship project earmarked for the targeted improvements of the regional transport system under the Vision 2030 blueprint.

Wednesday's meeting between Kenyatta and Liu came one day before the ground breaking for the standard gauge railway in Mombasa.

Chanzo: Kenya reiterates plan to extend high speed railways to Uganda, Rwanda | GlobalPost
 
Haya ndio mambo tuzungumze yasaidie nchi sio kushadadia watovu wa Nidhamu wanaopiga mayowe kwenye magazeti na Nyaraka za kupindua....ok hilo sawa vipi kuhusu foleni dar mipango ikoje?!!
Mpango wa foleni Dar es Salaam mradi wa mabasi yaendayo kasi unaendelea.
 
Salary Slip,

..wakati Raisi Kikwete anatangaza "nia" ya kujenga reli, Raisi Uhuru Kenyatta atakuwa na ground breaking ceremony ya ujenzi wa reli toka Mombasa kuelekea Uganda na Rwanda kesho.

cc Koba, Ritz, Mchambuzi, Kubwajinga

so what exactly is your point...so you think kenyans they just woke up in the morning and started the project....try to to have an open mind with a positive attitude
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani ahadi hizi atazitoa.mpaka siku anaachia madaraka,Jk hii ni aibu kubwa kwako na kwa taifa
 
Back
Top Bottom