William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
So I see.Hata Slaa alikuwa makapi ya CCM..just to remind you
Nape aliomba kwenda Libya Membe akamwambia hatuwatambui NTC.Nape vipi hujamsikia...
Shika adabu yako. Ulitaka ateuliwe shangazi yako?
JK karidhia katiba mpya lakini haya mambo muhimu ya kuyajadili kwenye katiba mpya hataki.- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!
- People the Word here ni Katiba Mpya!
William @..NYC,USA:
My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!So I see.
Kwa hiyo cream ya CCM ni kina Kikwete,
Cha kulialia Pinda, Wasira, Jairo, Nape, Makamba....
Endelea...
- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!
- People the Word here ni Katiba Mpya!
William @..NYC,USA:
- Ndio maana tunasema tunahitaji katiba mpya makini maana tukiweza kuwa nayo hawa walioteuliwa wangetakiwa kupitia kamati ya Bunge kupitishwa, Wallahi tena wanaofaa hapo ni wawili tu, Mujuma na Shamin, wengine wote ni makatibu kata tu, I mean bongo bwana yaani bora liende tu!
- People the Word here ni Katiba Mpya!
William @..NYC,USA:
Nani asiyejua kwamba uchaguzi uliopita ulitawaliwa na rushes na hill za kukomoana? Mbona Hillary Clinton alishindwa kura za maoni akateuliwa kuwa waziri? Kaka kazi ya siasa kuna kubadilishwa majukumu na kushindwa uchaguzi silo kigezo cha ubovu wa Kiongozi. Kwani hao walioshinda wana ubora upi?
Mkuu EL kwani bado ana influence kwa JK tena?kiasi ya kuathiri/kuingilia power yake ya uteuzi?
Thubutu kama hajakuharibia watoto.Tusker bariiidii. Jk bomba ee!!! Mbona mi namuona mchovu sana hata akiomba kazi ya h.boy kwangu mi simpi
Leo haukwenda kutapisha vyoo nini? na lile gari lenu la nyonya nnya..?My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!
My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!
PHD ya Ukweli.
Kumbe ubongo wako Rejao una Gia ya Rivas tu..!!!!!!!!!.
Naupongeza uteuzi wa Mabalozi wapya uliofanywa na Rais Kikwete na kira gazes TBC1 hivi punde.
--------
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wafuatao kuwa Mabalozi:-
i) Mhe. Phillip MARMO, ameteuliwa kuwa Balozi nchini CHINA. Kabla ya hapo Mhe. Marmo alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge.
ii) Dkt. Deodorus B. KAMALA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini BELGIUM. Kabla ya hapo Mhe. Kamala alikuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
iii) Dkt. Batilda S. BURIAN, ameteuliwa kuwa Balozi nchini KENYA. Kabla ya hapo Mhe. Dkt. Burian alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira).
iv) Dkt. Ladislaus C. KOMBA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini UGANDA. Kabla ya hapo Dkt. Komba alikuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii.
v) Bibi Shamim NYANDUGA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MSUMBIJI. Kabla ya hapo Bibi Nyanduga alikuwa Naibu Mkuu wa Itifaki, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
vi) Bibi Grace J.E. MUJUMA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini ZAMBIA. Kabla ya hapo Bibi Mujuma alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Ushirikiano wa Kikanda (Regional Co-operation), Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
vii) Bwana Mohamed H. HAMZA, ameteuliwa kuwa Balozi nchini MISRI. Kabla ya hapo Bwana Hamza alikuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, ZANZIBAR, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
viii) Ndugu Ali A. SALEH, ameteuliwa kuwa Balozi nchini OMAN. Kabla ya hapo Bwana Saleh alikuwa Balozi Mdogo (Consul General) nchini Dubai.
2. Uteuzi huu unaanzia tarehe 12 Oktoba, 2011. Wataapishwa tarehe 19 Desemba, 2011 saa 03.00 Asubuhi.
PHD ya Ukweli.
Kumbe ubongo wako Rejao una Gia ya Rivas tu..!!!!!!!!!.