bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Hapa ndipo magamba huwa wananiacha hoi. Mtu anakataliwa kuwakilisha jimbo yaani anashindwa kwenye uchaguzi kisha anateuliwa kuwakilisha nchi. Shame on magamba
So what? Kwani ukishindwa jimbo moja ndiyo umeshindwa nchi nzima? Mbona yeye JK alishindwa urais na akapewa uwaziri na Mkapa?
Hayo mengine munapenda kulalamika hata kama hakuna msingi wo wote.