Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

Rais Kikwete ateua mabalozi wapya. Marmo, Batilda na wengine ndani!

Jk sikio la kufa,mtu kama Marmo,Batrida huu si mtizamo usiofaa kwa Rais kikwete? Kuna vijana wengi wenye sifa kwann wazee kila cku au watu waliokataliwa na wananchi?
 
wakati wa kuwapooza walioshindwa kwenye chaguzi..............another example of....an abuse of public of office
 
Nani ajuaye kikwete yu mweneee nani ajuaye kikwete yu mweneee ajee simba mtuuu ajeee simba mtuuuu!!!List imetulia nyie mnataka vijana wapewe ili iweje kwanza vijana wanavuta bangi acheni kwanza wakue na kutulia ndo watafaa
 
kiukweli hata mimi nimeshangazwa sana,kwani tunapeana vyeo kwa kuangaliana usoni na wala sio uwezo wa mtu husika? hivi kweli Marmo ataweza kututoa hapa tulipo na kutupeleka pale? nadhani hawajamaa wanakuja china kibiashara zaidi na sio kulisaidia Taifa hii inashangaza sana

ok,ngoja tusubiri tuone
 
- Mh. JK anastahili pongezi sana kwa uteuzi wa hawa Mabalozi wawili, Le Mutuz Big Show ninakubali kwamba huu ulikuwa ni uteuzi makini sana. Hawa wawili ni Seasoned Diplomats waliobobea sana na pia inatia moyo kwa maofisa wengine huko foreign kwamba hard work pays.

- HOWEVER: I have a big problem na uteuzi wa Balozi mpya China, I mean kweli kwenye Super Economy tunapeleka Old Guard ambaye hana record yoyote on Economy yetu hapa Tanzania? Wala hata jimboni kwake?

- I mean ishu kama hizi ndio hasa the case ya why tunahitaji kuwa makini na Katiba mpya on Checks and Balance to the Executive Powers.

William @..NYC,USA: Mutuz Big Show!
 
Si ndo maana viongozi wetu hawataki kutibiwa hapo. Acha tu sisi tuendelee kukomaa hapo kwani Mungu hamtupi mja wake
 
We jamaa vyeo vya kupeana baada ya kukosa ubunge ndo unampa bravo mwanchekesha ccm haina watu wengine mpaka hao tunao wasikia kila siku?
 
My point ni kwamba, hao mnaowaona ni makapi..ni wazuri hata kuliko Slaa aliyekuwa kapi hapo awali..na ukiangalia hiyo list ina phd holderz wa ukweli siyo phd za masuala ya dini!

phd holders my foot..watu wapimwe kwa uwezo wao na udhubutu wao kuleta maendeleo kwa inchi na wanainchi na sio kusogeza siku kama JK anavyofanya.
 
Kweli udokta dili,ngoja nimalizie desertion yangu daaaaaaa dr.baltida alidondokea pua ubunge jk kaona amlambishe ubalozi asife njaa.
 
Mabalozi wapya wameteuliwa na Rais kikwete na wanaanza kazi 12 Oct 2011. Walioteuliwa ni:

1. Batilda Burian....Kenya
2. Ali Salehe........Falme za Kiarabu
3. Ladislaus Komba.....
4. Philpo Marmo......China
5. Dr Kamala..........Belgium
Wengine majina yao sijayapata vizuri...


Source: TBC1

mkuu wameteuliwa tarehe 16 dec,2011 na watanzaa kazi 12 oct 2011?
 
Gari ni bovu, dereva naye anamambo mengi ambayo nayo yanamshinda kucontrol, abiria ndo usiseme kabisaaa. Mi kaniacha hoi kwa huyo wa uchina. Labda ndo kulipa fadhila siwajua tena Mh. Rais kwa kuogopa lawama ni wa kwanza. Hataki kulaumiwa, nahii inatokana na mtandao waliouunda ili aingie madarakani. So complicated for him! Na hata hii kamata kamata ya viongozi wa upinzani au waandishi wa habari sidhani kama JK anahusika.
 
Nyie wote bado mna mambo ya kizamani sana....... Diplomacy has long been replaced by lobbying.

Kalaga baho na ubozi wenu!!
 
kiukweli hata mimi nimeshangazwa sana,kwani tunapeana vyeo kwa kuangaliana usoni na wala sio uwezo wa mtu husika? hivi kweli Marmo ataweza kututoa hapa tulipo na kutupeleka pale? nadhani hawajamaa wanakuja china kibiashara zaidi na sio kulisaidia Taifa hii inashangaza sana

ok,ngoja tusubiri tuone

The guy cannot even speak mandarin let alone Cantonese

I'm sure he doesnt even know where GuangZhou is located

this was wrong in every way

na waziri alituahidi less than 3 months ago tutapata mabalozi vijana

Kama Marmo ni kijana mbele ya Membe then namvulia kofia
 
Back
Top Bottom