Rais Kikwete awashauri wasanii kuwekeza ili wazeeke wakiwa na mali

Rais Kikwete awashauri wasanii kuwekeza ili wazeeke wakiwa na mali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nawaomba sana hawa Wasanii wa Muziki wa Tanzania kuwa haya Mapato ambayo wanayapata wayatumie hasa katika Kuwekeza ili basi hata Wakistaafu waendelee kuishi vyema kuliko kuja kuishi Kimaskini na kutushangaza Sisi ambao Kutwa walikuwa wanaturingishia Magari yao ya Kifahari, Majumba ya Kifahari na Warembo wao wa kila aina. Hofu yangu Wengi wao kama wasipowekeza sasa huko mbeleni wakija Kuishiwa wataanza kuja Kuuza Magari yao ya Kifahari na Majumba huku wakiyaanza taratibu Maisha mapya ya Kimasikini. Wawaige Wasanii wenzao wakubwa wa huko Ng'ambo ( Ulaya na Marekani ) ambao sasa wamekuwa Wajanja na Wanawekeza mno katika Stock Exchange Market duniani", amesema Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Chanzo: Wasafi Media

Sasa kama Tajiri hadi Kufa Kwake anatushauri hivi Sisi Masikini pate Vihela vyako vya Ngama au vya Kuiba huko Ofisini au vya kula Rushwa halafu Hongea Mademu na fanya Matanuzi yako ya Kishamba kisha huko baadae ukija Kuishiwa / Kufilisika na kuwaona akina GENTAMYCINE na Wenzake wanaojipanga sasa Maisha yao yako kwenye Mstari uanze kusema kuwa Wanauza Unga au Wametoa Kafara au wana Maisha mazuri kwakuwa Wazazi wao tokea enzi na enzi walikuwa katika System ya Nchi hivyo ndiyo maana Wanateleza tu na Maisha hadi Uzeeni.

Najua fika Rais Mstaafu Kikwete huwa Unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums naombe niseme Asante sana.
 
Mimi huwa siwachangii wasanii wakiugua au kupata maradhi na madhira ya kimaisha. Huwa nawachangia wale pangu pakavu mfano wa wale wanaotangazwa na Malisa wa Chadema yule, au hawa wa mtaani tu. Na huwa siwaombei mema wala mabaya wasanii, lolote liwakute kwa muda wowote unaostahili. Wapate kwa wastani kwa idadi, maana hawana gadi ya maisha.
 
Kuna story moja ya billgate walienda kula na familia yake ila yeye peke yake ndio alitumia bill ndogo watoto wake walifanya kufuru na mkewe alipoulizwa kwa nini umetumia bill ndogo kuliko wengine akajibu kwamba yeye ni tajiri ila baba yake sio tajiri kiufupi wabongo wengi hawajui kama kuna kesho.
 
GENTAMYCINE sijui kaniblock maana uzi wake nimepigwa ban nisireply🤣🤣 ongea nae anisamehe
Siku nzima umehangaika kuwaambia Mods wanipe BAN ili ulipize Kisasi cha kupigwa BAN kwa ajili yangu ila umeshagundua kwanini Mods wamekupuuza? Jibu ni rahisi sana tayari walishakusoma Uchokozi wako juu yangu na una Historia mbaya ya kupenda Kunichokoza, Kunishambulia, Kunitukana na Kunidhalilisha hivyo ulichokuwa unawalazimisha wakifanye Kwangu kilikuwa ni sawa na Kupaka tu Rangi Upepo. Pole sana.
 
Mkuu wewe ni rafiki yake ukimwambia anaweza kukusikiliza, maana uzi ule wa Dkt matola aliukimbia kwa aibu kubwa aliyoipata
iku nzima umehangaika kuwaambia Mods wanipe BAN ili ulipize Kisasi cha kupigwa BAN kwa ajili yangu ila umeshagundua kwanini Mods wamekupuuza? Jibu ni rahisi sana tayari walishakusoma Uchokozi wako juu yangu na una Historia mbaya ya kupenda Kunichokoza, Kunishambulia, Kunitukana na Kunidhalilisha hivyo ulichokuwa unawalazimisha wakifanye Kwangu kilikuwa ni sawa na Kupaka tu Rangi Upepo. Pole sana.
 
Ulipigwa BAN kwa Kunikosea Heshima endelea au rudia tena Upuuzi wako Upigwe nyingine halafu ulalamike Mods wananipendelea.
Yaan nipigwe ban sababu yako?tuko na mambo mengi ya kufanya kaka sio kushinda huku jf .

Kwanza unaamini siasa za upande wa kushoto so kutofautiana na wewe ni kawaida mkuu.Mimi niko right wing wewe left weng sasa si unaona kazi hapo
 
iku nzima umehangaika kuwaambia Mods wanipe BAN ili ulipize Kisasi cha kupigwa BAN kwa ajili yangu ila umeshagundua kwanini Mods wamekupuuza? Jibu ni rahisi sana tayari walishakusoma Uchokozi wako juu yangu na una Historia mbaya ya kupenda Kunichokoza, Kunishambulia, Kunitukana na Kunidhalilisha hivyo ulichokuwa unawalazimisha wakifanye Kwangu kilikuwa ni sawa na Kupaka tu Rangi Upepo. Pole sana.
safi sana sasahiv una heshima. Sio unakuja hapa unajifanya wewe ndio wewe na kudanganya watu upo uganda . Kuwa na heshima dogo.
Umekua na historia mbaya na chafu ya kutukana watu ndio maana nyuzi zako zote unazoanzisha lazima watu waje kukutania na kukuchokoza, ujiulizi kwanini? Na sababu walishajua udhaifu mkubwa ulionao hawaishi kukuchokoza sababu wakigusa kidogo tu unakuja ju! Ni aibu sana kuwa na mtu kama wewe usiyeweza kuhimili hisia zako. Unataka ukipost kitu usisemwe wala usipingwe wewe nani?
Ukijifanya umepinda sisi tumepinda zaidi yako jaribu kutukana tena uone!
 
Back
Top Bottom