Rais Kikwete awashauri wasanii kuwekeza ili wazeeke wakiwa na mali

Rais Kikwete awashauri wasanii kuwekeza ili wazeeke wakiwa na mali

Yaan nipigwe ban sababu yako?tuko na mambo mengi ya kufanya kaka sio kushinda huku jf .

Kwanza unaamini siasa za upande wa kushoto so kutofautiana na wewe ni kawaida mkuu.Mimi niko right wing wewe left weng sasa si unaona kazi hapo
Hahahaha huyu jamaa ni wa kumuombea tu ngoja nimtafutie mafuta ya mwamposa nimpake ili apone
 
Siku nzima umehangaika kuwaambia Mods wanipe BAN ili ulipize Kisasi cha kupigwa BAN kwa ajili yangu ila umeshagundua kwanini Mods wamekupuuza? Jibu ni rahisi sana tayari walishakusoma Uchokozi wako juu yangu na una Historia mbaya ya kupenda Kunichokoza, Kunishambulia, Kunitukana na Kunidhalilisha hivyo ulichokuwa unawalazimisha wakifanye Kwangu kilikuwa ni sawa na Kupaka tu Rangi Upepo. Pole sana.
Wewe mdogo uniwezi hata kidogo, yaani tena usijaribu kabisa kunizoea hao hao wanaokuchekea hapa utapotea.
baaada ya aibu kubwa kuipata katika uzi ulioufungua Dr Matola PhD alikuja akakupiga spana za kutosha mpaka ukaufunga uzi ule na aibu kubwa uliyoipata shuhudia hapa chini 👇
A1ED9E6B-0C0D-434E-A90D-D422E8D07EC6.jpeg
 
Yaan nipigwe ban sababu yako?tuko na mambo mengi ya kufanya kaka sio kushinda huku jf .

Kwanza unaamini siasa za upande wa kushoto so kutofautiana na wewe ni kawaida mkuu.Mimi niko right wing wewe left weng sasa si unaona kazi hapo
BAN zimekukomesha hadi sasa unashindwa Kutukana kama Kawaida yako na unaishia tu Kufumba kama Mashangingi.
 
"Nawaomba sana hawa Wasanii wa Muziki wa Tanzania kuwa haya Mapato ambayo wanayapata wayatumie hasa katika Kuwekeza ili basi hata Wakistaafu waendelee kuishi vyema kuliko kuja kuishi Kimaskini na kutushangaza Sisi ambao Kutwa walikuwa wanaturingishia Magari yao ya Kifahari, Majumba ya Kifahari na Warembo wao wa kila aina. Hofu yangu Wengi wao kama wasipowekeza sasa huko mbeleni wakija Kuishiwa wataanza kuja Kuuza Magari yao ya Kifahari na Majumba huku wakiyaanza taratibu Maisha mapya ya Kimasikini. Wawaige Wasanii wenzao wakubwa wa huko Ng'ambo ( Ulaya na Marekani ) ambao sasa wamekuwa Wajanja na Wanawekeza mno katika Stock Exchange Market duniani", amesema Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Chanzo: Wasafi Media

Sasa kama Tajiri hadi Kufa Kwake anatushauri hivi Sisi Masikini pate Vihela vyako vya Ngama au vya Kuiba huko Ofisini au vya kula Rushwa halafu Hongea Mademu na fanya Matanuzi yako ya Kishamba kisha huko baadae ukija Kuishiwa / Kufilisika na kuwaona akina GENTAMYCINE na Wenzake wanaojipanga sasa Maisha yao yako kwenye Mstari uanze kusema kuwa Wanauza Unga au Wametoa Kafara au wana Maisha mazuri kwakuwa Wazazi wao tokea enzi na enzi walikuwa katika System ya Nchi hivyo ndiyo maana Wanateleza tu na Maisha hadi Uzeeni.

Najua fika Rais Mstaafu Kikwete huwa Unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums naombe niseme Asante sana.
Pathological liar, sikiliza na huu,
 

Attachments

  • 0E437F0E-478F-4A04-A3E8-C35CEC90C8F7.jpeg
    0E437F0E-478F-4A04-A3E8-C35CEC90C8F7.jpeg
    176 KB · Views: 3
Wasanii ni watu wa kulialia tu
Kutwa wao ni tuchangiwe,tusikilizwe,

Ova
 
mkuu naomba umwambie GENTAMYCINE kwamba kwanini alipopigwa spana za mbavu na Dr Matola PhD alikimbilia kwa moderator wafunge uzi wake na akapotea kwa siku mbil? Naomba umwambie GENTAMYCINE afungue uzi wa kumuomba radhi Dr Matola PhD na watanzania wote kwa ujumla kwa aibu kubwa alitupatia kama nchi
Mbona unatumia Nguvu kubwa sana ya Kutufahamisha kuwa hata hiyo nayo ni ID yako? Wenye Akili tuna ID moja tu JF.
 
"Nawaomba sana hawa Wasanii wa Muziki wa Tanzania kuwa haya Mapato ambayo wanayapata wayatumie hasa katika Kuwekeza ili basi hata Wakistaafu waendelee kuishi vyema kuliko kuja kuishi Kimaskini na kutushangaza Sisi ambao Kutwa walikuwa wanaturingishia Magari yao ya Kifahari, Majumba ya Kifahari na Warembo wao wa kila aina. Hofu yangu Wengi wao kama wasipowekeza sasa huko mbeleni wakija Kuishiwa wataanza kuja Kuuza Magari yao ya Kifahari na Majumba huku wakiyaanza taratibu Maisha mapya ya Kimasikini. Wawaige Wasanii wenzao wakubwa wa huko Ng'ambo ( Ulaya na Marekani ) ambao sasa wamekuwa Wajanja na Wanawekeza mno katika Stock Exchange Market duniani", amesema Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

Chanzo: Wasafi Media

Sasa kama Tajiri hadi Kufa Kwake anatushauri hivi Sisi Masikini pate Vihela vyako vya Ngama au vya Kuiba huko Ofisini au vya kula Rushwa halafu Hongea Mademu na fanya Matanuzi yako ya Kishamba kisha huko baadae ukija Kuishiwa / Kufilisika na kuwaona akina GENTAMYCINE na Wenzake wanaojipanga sasa Maisha yao yako kwenye Mstari uanze kusema kuwa Wanauza Unga au Wametoa Kafara au wana Maisha mazuri kwakuwa Wazazi wao tokea enzi na enzi walikuwa katika System ya Nchi hivyo ndiyo maana Wanateleza tu na Maisha hadi Uzeeni.

Najua fika Rais Mstaafu Kikwete huwa Unanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums naombe niseme Asante sana.
Wao wànawekeza kwa Wanawake tu
 
Kwamba kuwekeza sio skills ? Unaamka tu unaweza na ushangaa zinamiminika ?

Watu wenye busara (especially) watunga sera wangehakikisha kuna programs kama za pensions funds ambazo zinahakikisha watu hawa wenye talanta ya kutuburudisha wanaweza kuwekeza kidogo chao huko ili uzeeni waendelee kuishi kama binadamu....

Kwahio failure ya jamii ya kesho (wazee) ni kutokana na shortcomings za watunga sera wa leo na jana (Na JK akiwemo)
 
Back
Top Bottom