Rais Kikwete awashauri wasanii kuwekeza ili wazeeke wakiwa na mali

Yaan nipigwe ban sababu yako?tuko na mambo mengi ya kufanya kaka sio kushinda huku jf .

Kwanza unaamini siasa za upande wa kushoto so kutofautiana na wewe ni kawaida mkuu.Mimi niko right wing wewe left weng sasa si unaona kazi hapo
Hahahaha huyu jamaa ni wa kumuombea tu ngoja nimtafutie mafuta ya mwamposa nimpake ili apone
 
Wewe mdogo uniwezi hata kidogo, yaani tena usijaribu kabisa kunizoea hao hao wanaokuchekea hapa utapotea.
baaada ya aibu kubwa kuipata katika uzi ulioufungua Dr Matola PhD alikuja akakupiga spana za kutosha mpaka ukaufunga uzi ule na aibu kubwa uliyoipata shuhudia hapa chini 👇
 
Yaan nipigwe ban sababu yako?tuko na mambo mengi ya kufanya kaka sio kushinda huku jf .

Kwanza unaamini siasa za upande wa kushoto so kutofautiana na wewe ni kawaida mkuu.Mimi niko right wing wewe left weng sasa si unaona kazi hapo
BAN zimekukomesha hadi sasa unashindwa Kutukana kama Kawaida yako na unaishia tu Kufumba kama Mashangingi.
 
Pathological liar, sikiliza na huu,
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 0E437F0E-478F-4A04-A3E8-C35CEC90C8F7.jpeg
    176 KB · Views: 3
Wasanii ni watu wa kulialia tu
Kutwa wao ni tuchangiwe,tusikilizwe,

Ova
 
Mbona unatumia Nguvu kubwa sana ya Kutufahamisha kuwa hata hiyo nayo ni ID yako? Wenye Akili tuna ID moja tu JF.
 
Wao wànawekeza kwa Wanawake tu
 
Kwamba kuwekeza sio skills ? Unaamka tu unaweza na ushangaa zinamiminika ?

Watu wenye busara (especially) watunga sera wangehakikisha kuna programs kama za pensions funds ambazo zinahakikisha watu hawa wenye talanta ya kutuburudisha wanaweza kuwekeza kidogo chao huko ili uzeeni waendelee kuishi kama binadamu....

Kwahio failure ya jamii ya kesho (wazee) ni kutokana na shortcomings za watunga sera wa leo na jana (Na JK akiwemo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…