Rais Kikwete kuwasili Houston na msafara wa kitajiri Oktoba 3

Rais Kikwete kuwasili Houston na msafara wa kitajiri Oktoba 3

Sisi waTanzania bwana! Sometimes nadhani Ndivyo Tulivyo!! Yaani katika post hii yote nobody even bothered to look further than the opinions forwarded by kinepi_nepi...and I find that to be quite amazing.

Has anyone bothered to ask what is DICOTA? Lengo, madhumuni, etc etc? So why the hell do we go and start rambling about a thing that many of us up in here don't even seem know? Come, come, Tanzanians, this is too much now!! Khaaa!!! (BTW, Some of the ideas that people have been circulating on this topic seem to be sound to a certain degree, though)

Si kweli waTanzania waishio Marekani hawajaalikwa - as far as I know information hizi zilitumwa kwa mailgroups kibao zilizopo Marekani kama vile ile ya waishio Dallas, TX - www.dallasbongo.com; ile ya waishio Houston, TX, wa Minnesota, DC etc. Kwa wale members wa Face Book habari hizi zimo mule and I think Michuzi alitoa kama sijakosea. Humu ndani ya JF I sincerely think some people got it individuallyly - I did.

http://www.dicotaus.org/

Pole ndugu yangu, naona hujui wana JF ni watu wa aina gani - DICOTA wengine tunaijua kuliko unavyofikiri. Na hiyo ndiyo sababu kubwa wengi humu ndani tuna wasiwasi nayo na tunai'question'. Jina Houston linatukumbusha mengi ambayo WaTz tungependa kuyasahau - ni jina linalohusishwa na utapeli na wizi wa hali ya juu.
 
Huyu jamaa ni hovyo kabisa! Halafu anataka apewe tena awamu nyingine ya kuwa madarakani mpaka 2015! Hatufai kabisa huyu! Anaipeleka nchi pabaya kila kukicha. Amebaki kuwa msanii tu na UVGD tu! lakini uongozi hauwezi kabisa.
 
HTML:
Habari za kichunguzi zinaonyesha kwamba huu ni mradi wa baadhi ya viongozi wa kutengeneza safari za nje kwa kisingizio cha mikutano na hivyo kujiongezea vipato kwa ile staili ya malipo ya safari na kujikim pamoja na marupurupu ya safari. haiingii akili kama nia ni kuwapata wafanyabiashara, kwa nini balozi asifanye hizi kazi na kutembea sehemu mbali mbali ndani ya eneo lake la kazi na kutangaza nchi huku akitoa maelezo ya maeneo ya uwekezaji. Kwanini kuhamisha wizara na taasisi za kiserikali na kutumia gharama kubwa kila mara kwa kisingizio cha kutafuta wawekezaji.


huyu raisi wetu vipi mbona anajishirikisha na vikundi visivyojulikana jamani alikwenda huko houston wakamtuma apeleke pipe za maji kenya raisi wa nchi mzima siangepuzika kidogo achane na huu ujinga
 
Mimi naona tatizo ni Watanzania kutharauliana! Je Watanzania wa Marekani ni kiasi gani wanasaidia nyumbani kwa kutuma pesa na biashara?. Kwani kuna ubaya gani raisi wa Tanzania kuongea na Watanzania anapokuja kwenye mkutano wa UN. Watanzania wanafanya kitu cha maana kwenye hili na raisi anatakiwa kuonyesha support yake. Mimi naona ni bora Raisi aongee na watanzania na kuwashauri wa invest nyumbani badala ya kuja kuongea na watu bila kujali Watanzania.

...Safari ya kwenda kutembelea Yahoo na Google ingeliweza kabisa kuunganishwa na safari hii. Naona ndiyo maana kwa namna moja au nyingine watu tunakereka pale tunaposikia tu Mh. Rais karudi tena Marekani. Kwani karibia kila safari malengo yake ni yaleyale. You know when you cry woof so many times...
 
..kweli kabisa safari za Raisi zimekuwa nyingi na hazina mwelekeo wowote.

..pamoja na hayo namuunga mkono kwa kitendo chake cha kukutana na hawa wa-Tanzania wa DICOTA na kutafuta njia za kuwasaidia.

..kwa wale ambao wanamashaka na malengo ya DICOTA mimi nawashauri wajiunge kwa wingi huko DICOTA ili kuweza kubadili muelekeo ya chombo hicho.

NB:

..unajua ingekuwa Raisi Kagame ameamua kukutana na Wanyarwanda in the diaspora basi asingelala mtu hapa jamii forums. zingetumwa postings za kila aina kumlaumu Kikwete kwa kutofuata "nyayo" za Kagame.
 
..kweli kabisa safari za Raisi zimekuwa nyingi na hazina mwelekeo wowote.

..pamoja na hayo namuunga mkono kwa kitendo chake cha kukutana na hawa wa-Tanzania wa DICOTA na kutafuta njia za kuwasaidia.

..kwa wale ambao wanamashaka na malengo ya DICOTA mimi nawashauri wajiunge kwa wingi huko DICOTA ili kuweza kubadili muelekeo ya chombo hicho.

NB:

..unajua ingekuwa Raisi Kagame ameamua kukutana na Wanyarwanda in the diaspora basi asingelala mtu hapa jamii forums. zingetumwa postings za kila aina kumlaumu Kikwete kwa kutofuata "nyayo" za Kagame.

...hapo umenena, hata kama kuna malengo yasiyo ya tija kwa wengi, basi kuwepo kwa macho na masikio ya wengi kunaweza kubadilisha mwenendo, iwapo dhamira ipo.
 
..kweli kabisa safari za Raisi zimekuwa nyingi na hazina mwelekeo wowote.

..pamoja na hayo namuunga mkono kwa kitendo chake cha kukutana na hawa wa-Tanzania wa DICOTA na kutafuta njia za kuwasaidia.

..kwa wale ambao wanamashaka na malengo ya DICOTA mimi nawashauri wajiunge kwa wingi huko DICOTA ili kuweza kubadili muelekeo ya chombo hicho.

NB:

..unajua ingekuwa Raisi Kagame ameamua kukutana na Wanyarwanda in the diaspora basi asingelala mtu hapa jamii forums. zingetumwa postings za kila aina kumlaumu Kikwete kwa kutofuata "nyayo" za Kagame.

Jokakuu:

Huu mkutano umeandaliwa na watanzania. Lakini naona wakati mwingine, tunatoa lawama wakati sisi wenyewe ndio waandaaji.

Kama wewe ni mtanzania na unataka kuwekeza Tanzania na unaishi Marekani au Canada, basi nenda Houston. Kama kutakuwa hakuna faida piga kelele baadaye.
 
...hapo umenena, hata kama kuna malengo yasiyo ya tija kwa wengi, basi kuwepo kwa macho na masikio ya wengi kunaweza kubadilisha mwenendo, iwapo dhamira ipo.

Steve D:

Baada ya kukaa sana hapa JF nimejifunza kuwa hata mambo positive yanayotokea nyumbani bado yatakuwa negative.
 
Steve D:

Baada ya kukaa sana hapa JF nimejifunza kuwa hata mambo positive yanayotokea nyumbani bado yatakuwa negative.

Hata yale yasiyo na ubaya wowote na yasiyoathiri chochote kama raisi kumpa dogo pipi yatashikiwa bango na kufanywa na baadhi ya watu kuwa ndiyo kipimo cha akili zao!! So go figure!
 
DICOTA ni mpya kabisa nafikiri wanahitaji baraka za mheshimiwa,lakini mwakilishi angetosha tuu,huo muda angeenda kukurupusha mafisadi bandarini wanaotutia hasara kwa uzembe na kushughulikia swala la umeme!
 
DICOTA ni mpya kabisa nafikiri wanahitaji baraka za mheshimiwa,lakini mwakilishi angetosha tuu,huo muda angeenda kukurupusha mafisadi bandarini wanaotutia hasara kwa uzembe na kushughulikia swala la umeme!

Hivi kuna viongozi wangapi pale bandarini na Tanesco. Mwishoni mke wako akishindwa kupata mimba itabidi umwite rais.
 
Zakumi,Julius,SteveD,

..ni kweli wakati mwingine wa-Tanzania tunakuwa too negative.

..lakini wakati mwingine Raisi anakuwa anakaribisha hii negative attitude kwa matendo yake mwenyewe.

..hebu fikiria Raisi alivyotembelea UK na kutumia muda mwingi kuangalia mechi ya mpira wa miguu kuliko kukutana na wananchi wake na kusikiliza matatizo yao.

..wasaidizi wa Raisi wangeweza kabisa ku-record mechi hiyo na Raisi akaangalia baada ya kukutana na wa-Tanzania.

..pamoja na kwamba WNBA imepamba moto sasa hivi, na Raisi wetu ni mpenzi mkubwa wa mpira wa kikapu, I hope hatakuwa-distracted, na atatoa muda wa kutosha kuwasikiliza na kushauriana na hawa vijana wa DICOTA.
 
Zakumi,Julius,SteveD,

..ni kweli wakati mwingine wa-Tanzania tunakuwa too negative.

..lakini wakati mwingine Raisi anakuwa anakaribisha hii negative attitude kwa matendo yake mwenyewe.

..hebu fikiria Raisi alivyotembelea UK na kutumia muda mwingi kuangalia mechi ya mpira wa miguu kuliko kukutana na wananchi wake na kusikiliza matatizo yao.

..wasaidizi wa Raisi wangeweza kabisa ku-record mechi hiyo na Raisi akaangalia baada ya kukutana na wa-Tanzania.

..pamoja na kwamba WNBA imepamba moto sasa hivi, na Raisi wetu ni mpenzi mkubwa wa mpira wa kikapu, I hope hatakuwa-distracted, na atatoa muda wa kutosha kuwasikiliza na kushauriana na hawa vijana wa DICOTA.


Jokakuu:

Simtetehi rais hata siku moja. Lakini rais hawezi kuwa serious wakati wananchi wake sio serious and vice versa.

Hao watu wa UK wana matawi ya CCM sasa rais akazungumze nao nini? Si ataona kuwa mnataka kuganga njaa.

Na hata huo mkutano wa Houston, kama agenda zake zitakuwa kupunguza ushuru wa daladala, basi naye hatakuwa serious.
 
Jokakuu:

Simtetehi rais hata siku moja. Lakini rais hawezi kuwa serious wakati wananchi wake sio serious and vice versa.

Hao watu wa UK wana matawi ya CCM sasa rais akazungumze nao nini? Si ataona kuwa mnataka kuganga njaa.

Na hata huo mkutano wa Houston, kama agenda zake zitakuwa kupunguza ushuru wa daladala, basi naye hatakuwa serious.

Ni wakati gani sasa kiongozi wa kikundi au jumuiya anakuwa KIONGOZI na kujiondoa kwenye "ndivyo tulivyo"?! Huoni kama hii kauli yako juu inamuondolea kiongozi yoyote yule 'haki na sifa za uongozi'?!
 
Kuongoza nchi masikini kama Tz ni kazi na shuruba kweli kweli.

Watanzania walio nje ya nchi wanamuhitaji JK awashawishi na awaambie namna ya kwenda kuwekeza Tz. Hasipofanya hivyo anaoneka si mpenda watu wake, na hasipofanya hivyo analaumiwa na watanzania walioamua kutumikia wakoloni wao kwa mara ya pili, tena kwenye nchi zao (wakoloni).

JK anapoamua kuwafungia safari hawa kondoo muhimu wapotevu watanzania walio ndani na nje wanaanza kulaumu kwamba anatumia fedha za walipa kodi.

Wakekezaji ni muhimu katika uchumi wa nchi yeyote. Sekta binafsi Tz bado ni changa mno kujitegemea na kutoa matunda yanayotarajiwa. Ni sekta iliyoanza miaka ya karibuni baada ya kuubwaga ujamaa. JK anakazi mbili, kwanza kuikuza sekta hii na pili kuhakikisha kwamba for the time being wawekezaji wa nje wanaziba pengo lililopo.

Kuwapata wawekezaji wa nje sio lelemama katika mazingira ya uchumi huru na ugumu unaongezeka pale Tz inapojumuhishwa na nchi zinazobeba political risk katika bihashara. Na mzizi wa jumuhisho ili unatokana na siasa za Mwalimu zilizo discourage private sector kwa miaka nenda rudi. Suluhisho sahihi ni kuwafuata wawekezaji hawa huko waliko na kuwaimbia nyimbo mzuri ili waje wawekeze huku serikali ikilea na kukuza wawekezaji wa ndani. NO OTHER WAY.

Jambo la kusisitiza na muhimu kwa serikali ni kuhakikisha kwamba nchi inanufaika na wawekezaji wa nje na sio kunufaisha watu wachache. Hili ndilo jambo ambalo JF tunatakiwa tulipigie kelele. Kupinga jitihada za JK kuwafuata wawekezaji wa nje ambao walitimuliwa na kunyang'anywa mali zao wakati wa Mwalimu ni kutojuwa umuhimu wao katika nchi yenye private sekta iliyo changa.

Gari halisukumwi na abiria walio ndani ya gari, JK kaza buti tuletee wawekezaji wa nje wazibe pengo. Msisitizo wetu ni kwamba wakija hakikisha wanainua uchumi wetu, wala husiache kuwaleta ati kwasababu tutashindwa kuwadhibiti.
 
Kuna updates zozote kutoka Huston??? Mlioko huko tujuzeni....
 
Hivi kuna viongozi wangapi pale bandarini na Tanesco. Mwishoni mke wako akishindwa kupata mimba itabidi umwite rais.


tunaellekea huko kaka...siku hizi urais umekuwa rahisi..ngazi za uongozi hazifatwi...kina makala "washenzi" wanabisha,yaani fikiri wananchi wanatoka Loliondo wanaacha mkuu wa wilaya, wa mkoa wa arusha,anakuja dar es salaam anaacha idara za serikali.....hadi ikulu .....

...siku hizi hata kesi ya traffic offence ambayo enzi na enzi inamalizwa na police officer...au mahakamani.....watoto wetu wanafunga barabara ...na kwa uhakika kabisa wanasema hawaondoki hadi rais aje..ndio rais si amekuwa rahisi???....na bado.....
 
Membe Opens Diaspora Office in US.
Houston.Texas

Saturday.3rd,october/2009.

GOVERNMENT efforts to engage Tanzanians in the Diaspora have started paying off.

Over the weekend, the Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, Mr Bernard Membe (MP), opened the first formalized Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA).

Launching the council, the minister said it is within the framework and interest of the government to engage Tanzanians in Diaspora, to participate in the development programmes in attracting tourists and foreign direct investments.

"We have launched the DICOTA with a challenging question which President Jakaya Kikwete posed in London that: 'What is it that the government should do to the Diaspora and what can the Diaspora do for Tanzania,'" he said.

Mr Membe also said that it was high time for the government and the Diaspora communities abroad, to build effective links so that the Diaspora can be part and parcel of the engine for socio-economic development.

He further noted that the need to engage the Diaspora communities is enshrined in the section 117 of the CCM party manifesto, which stipulates the resolve for the party and government not only to recognize the Diaspora, but engage them to rip the benefit from the host countries to their home country.

On the debate of dual-citizenship, the minister noted that there were fundamental questions that need to be addressed, before finally determining whether to embrace the dual-nationalities or proceeding with the current framework.

He said the government is urging Tanzanians in Diaspora to participate in development of their country, but on the other hand scraps off birth rights for Tanzanians who have acquired nationalities of other countries.

"This is the contradiction and fundamental questions that need to be addressed if we are to effectively engage Tanzanians in Diaspora," he said.

In the discussions, most Tanzanians living in the US called for the government to speed up the current debate on the issue of dual-citizenship, saying the move stands to benefit many Tanzanians at home and abroad.

A number Tanzanians companies including the CRDB 1997 Ltd, National Social Security Fund, The Central Bank of Tanzania and the Tanzania Investment Centre, participated in the launching ceremony.

Earlier, the Interim Chairperson of the DICOTA, Dr Leonard Tenende, said the establishment of the council was an important milestone in creating a bridge between Tanzanians at home and those in Diaspora.

From: Assah Mwambene.
daily News/Houston.
 
Yawn.... next.... hamna kitu .... hapa ni safari tuza bure for some interested parties..... why do we want to reinvent the wheel? This is the home of great thinkers... yet we are actually proposing that this organization is a wonderful thing that will solve our problems. We think that the president can solve anything .... but we fail to address the fundamental problem.... lack of initiative by Tanzanians. And this is caused by the fact that the government of Tanzania since its conception has discouraged free thinking, initiatives etc. Lets go back and trace the root of the problem
 
Over the weekend, the Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, Mr Bernard Membe (MP), opened the first formalized Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA).
Kumbe muheshimiwa hakwenda...au alikuwa anawahi Mwanza kwenye maadhimisho ya miaka 100???
 
Back
Top Bottom