Hatari umeme wenyewe wa tabu watamwagilia na jenereta sijui huyo mwekezaji atakua chizi kujibebesha gharama za uzalishaji za kijinga.Kuna ardhi nzuri kwa kipimo chako, lkn huwezi fananisha na Midwest US au South Amerika, Tanzania maji yenyewe hakuna, ukame kila uchwao, ulishawahi kusikia ukame Mid west USA? Isitoshe kama ardhi ingekuwa bora hivyo wangeshakuja, Afrika Kusini tu walitaka kuwekeza kilimo hapa wamechemsha wamerudie kwao, sasa hivi shairi ya kutengeneza bia tuna import!
Maji yapo na ardhi nzuri ipo, wakulima wengi wa midwest hawategemei mvua maji yao wanayapata chini wanachimba visima vya umwagiliaji na snow inasaidia kwa kiasi kikubwa, amini inawezekana especially mikoa ya kusini na magharibi labda central ukame unaweza kuwa issueKuna ardhi nzuri kwa kipimo chako, lkn huwezi fananisha na Midwest US au South Amerika, Tanzania maji yenyewe hakuna, ukame kila uchwao, ulishawahi kusikia ukame Mid west USA? Isitoshe kama ardhi ingekuwa bora hivyo wangeshakuja, Afrika Kusini tu walitaka kuwekeza kilimo hapa wamechemsha wamerudie kwao, sasa hivi shairi ya kutengeneza bia tuna import!
Najua itakuwa ngumu kuelewa kwani, taarifa imekaa kimrengo Fulani,najua hata P,atakukataa
Ni kweli Ila hata siku moja tusije kujiongopea tutajengewa nchi na wengine.Acheni aende tuu ni moja ya kazi zake, anaweza kutuokotea wawekezaji maana wenyewe tumeshindwa hata mafuta ya kula hatuwezi kuzalisha, Canada na US watu wana pesa ndefu sana na technology ya hali ya juu, nina uhakika wakulima 10 tuu wa Iowa wakiingia kusini wanaweza kuzalisha mahindi na maharage ya kulisha nchi nzima na mengine tukasafirisha nje, nina rafiki yangu California wana shamba wanazalisha mchele tani laki moja kwa mwaka, kwa US mkulima kuwa na shamba la acre 10,000 ni jambo dogo sana
Hii tusubilie mapokeo yakeDuru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.
Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.
Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.
Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Mama kasema tz ni choo tu kwake anakula chakula USA na ana rudi kunya tz...kwa hiyo tuvumilie tu hadi tutakapo mpata kiongozi mzalendo atakaye washikisha adabu watu kama hawa wahuni wa nchiDuru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.
Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.
Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.
Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Huko ndiko kulikuwa au yapo makao Makuu ya Barrick ambao hawakuelewana kabisa na awamu iliyopitaDuru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.
Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.
Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.
Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Sasa turudi hapa kama sera ni hizi za kulazimishiwa na wanachukua chako mapema (ccm) zaidi sera kama za awamu ya ilee tusitarajie wazo la ntu mmoja litatujengea taifa,na kuona malengo ya taifa na malengo yanayozungatia mahitaji ya Karne hii na Karne zijazo zijazo yanaandaliwa katika namna ambayo ni shirikishi na yenye kuangazia mchango wa wataalamu na SII wanasiasa ambao wanahitaji TU kuwa na elimu ya darasa la ili kuwa mfanya maamuzi Kwa ajili ya Leo kesho na miaka mitano ijayo,hapa ndio taifa linapo kwama zaidi katika katiba hii tuliyonayo.Ni kweli Ila hata siku moja tusije kujiongopea tutajengewa nchi na wengine.
Tunapasea kuwa na sera ambazo zitatuongoza ili kupata Maendeleo, hii ya kusema sijui watakuja watu kutoka Canada au US ni akili mbovu tu na ndio sababu zinatufanya Hadi leo hii nchi za Africa ni maskini.
Mwinyi alikuja na sera ya kuruhusu kila aina ya watu kuja, tukafeli Hakuna Cha maana kiliendelea.
Mkapa akaja na sera hizohiz na akawapa hadi mashirika karibu yote, lakini mwisho wa siku tukafeli.
Ukweli ni kuwa nchi hii hatuwezi kujengewa Wala kuletewa Maendeleo na wa nje, sanasana watatumia udhaifu wetu kuchota kila chenye thamani.
Maji yapo na ardhi nzuri ipo, wakulima wengi wa midwest hawategemei mvua maji yao wanayapata chini wanachimba visima vya umwagiliaji na snow inasaidia kwa kiasi kikubwa, amini inawezekana especially mikoa ya kusini na magharibi labda central ukame unaweza kuwa issue
Boss wakulima wengi especially from Midwest hawategemei mvua, wanatumia na wanategemea sana irrigation wells, na kwa midwest mvua sio nyingi sana kupita mikoa yetu ya kusini, maji yapo mengi tuu TZ lakini yapo chini na ninavyosikia water table iko juu sana kwa hiyo ni swala la investment tuuMaji yapo? Wapi ? Niambie sehemu yenye maji ya uhakika Tanzania ? Unaposema hawategemei mvua unamaanisha nini ? Northern Hemisphere mvua zinanyesha karibia kila siku, hakuna mvua za msimu kama nchi za tropics kama zetu, hivyo Northern Hemisphere maji ni ya uhakika kwa maana mito imejaa mwaka mzima, udongo laini mwaka mzima, hakuna mambo ya sijui masika na vuli huko ni full year mvua.
Unafikiri kwa nini Mzungu aliondoka Ulaya kuhamia Amerika na siyo Afrika? Nchi pekee ambayo iko vizuri Afrika ni Afrika Kusini na ndio maana Mzungu kaseto huko, kuna maji mengi, hali ya hewa inaruhusu, kila kitu kipo, …
Nb.asante Mama KWA maandalizi ya Safari!BADO natafakari sentensi hiyo!!!Utajua hujui!