Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Acha aende tu, maana tumegundua rais akibaki hapa nchini anaishia kutengeneza vikundi vya kuteka wakosoaji na kunajisi uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Mkulima atoke MidWest USA Iowa aje kuishi na kulima kwenye tropical savanah heat la Afrika ? Avuke South Amerika yooote aje Tanzania kwenye ardhi ngumu ambayo hata mashine inaweza kata jembe? Unaota nafikiri!
Ndiyo atengeneze kwa pesa za umma?muacheni chief afungue Dunia...!! ndio muda wake huu jamani asipofanya sasa atafanya lini?
hamtaki bibi atengeneze story kwa akina ibrahimu ( wajukuu zake )
Wale wakoloni waliolima mashamba makubwa ya katani, kahawa, tumbaku nk walikuwa hawajui hayo?
Northen hemisphere kuna majangwa na mabarafu ya kufa mtu Southen hemisphere ndio maeneo mazuri kwa hali ya hewa
Hivi kusini unayoiongelea yenye mvua ni Southern Highlands au ni kusini ya Lindi na Ntwara?Boss wakulima wengi especially from Midwest hawategemei mvua, wanatumia na wanategemea sana irrigation wells, na kwa midwest mvua sio nyingi sana kupita mikoa yetu ya kusini, maji yapo mengi tuu TZ lakini yapo chini na ninavyosikia water table iko juu sana kwa hiyo ni swala la investment tuu
Tulitaka uhuru wetu wakaona isiwe tabu, leo hii mashamba yote waliyoacha yamegeuka mashamba pori, au kuzalisha kwa kiwango duni sana.Kwa nini waliondoka ?
Tulitaka uhuru wetu wakaona isiwe tabu, leo hii mashamba yote waliyoacha yamegeuka mashamba pori, au kuzalisha kwa kiwango duni sana.
Bila shaka sasa 2025 hakutakuwa na malalamiko ya kuibiwa uchaguzi.Acha aende tu, maana tumegundua rais akibaki hapa nchini anaishia kutengeneza vikundi vya kuteka wakosoaji na kunajisi uchaguzi.
Mikoa yote kuanzia Morogoro, Iringa, Mbeya kushuka chini kuna mvua nzuri tuuHivi kusini unayoiongelea yenye mvua ni Southern Highlands au ni kusini ya Lindi na Ntwara?
Siyo kweli, mbona Afrika Kusini hawakuondoka kwani huko hawakutaka huo Uhuru ?
Huyu nahisi ameshakata kamaba.Ulefu wa kamba yake unamruhusu kula kokote kule.
Nimesikia pia atakuwa na ziara Sweden.