Tetesi: Rais kuanza ziara ya siku 6 Canada mwezi ujao

Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.

Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.

Watz tunalo
 
Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.

Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.

Watz tunalo
😭
 
Hivi zile 11trl za UAE zimeshakuja ngapi? Ila vyema ate atembelee na Boeing Ile ndege ya mzigo aje nayo kabisa
 
Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.

Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.

Watz tunalo
😭
 
Kila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.

Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.

Watz tunalo
😭
 
Zisi time aende na dreamliner, ikafanyiwe na services
 
huko anaenda kukutana na Godbless Lema ili ampatie orodha ya watu aliooteshwa wanaweza pata yaliyomkumba hayati
 
Northen hemisphere kuna majangwa na mabarafu ya kufa mtu Southen hemisphere ndio maeneo mazuri kwa hali ya hewa
 
Kwa sasa wizara ya maliasili na utalii ndio wizara pekee inayokula Perdiem bila stress.
 
Kwani wewe ulitaka aende wapi ? Mara nyingine mnajipa stress Bure bila sababu. Wewe mwananchi jutafutie shughuli ya kujipatia fedha, achana na hizi mada za jikoni.

Huyo ni Rais anafanya kazi yake aliyoapa kuwafanyia Watanzania na ratiba anayo yeye, hawezi kufuata ratiba yako. Kama atakosea Watanzania watamhukumu kwenye sanduku la kura
 
Anajitahidi

Msoga king alitumia mwaka mzima kuwa nje ya nchi kwa miaka yake 10

Sijui atatumia ngapi

Wazee tuanze kuhesabu na huyu ziara zake tangu aanze hio kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…