Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nyerere hapo si kweli. Hakutaka hata kuitwa muheshimiwa. Enzi zake walitumia “ndugu”. Na yeye akitaka aitwe “Mwalimu”. Muwe munauliza kidogo siyo kudanganywa na kuja kuleta uongo humu JF.Kwa hili tuwe fair..Marais Nyerere na Mwinyi waliitwa hivi pia bila kuzuia. Ni Rais Mkapa ndiye aliyekuja kukataa kuitwa hivyo. Naandika hivi kwa lengo la kuweka historia sawa tu.
Nyerere alikataa hata kuitwa muheshimiwa. Enzi zake ilikuwa ni “ndugu”. Na wakati wa Mkapa mwanzoni walifanya hivyo. Ikaja kubadilika haswa baada ya mwalimu kufariki. Kipindi cha JK ndo huu ujinga ukapamba moto zaidi. I prefer “ndugu” to be honest.Nyerere alikataa KUITWA mtukufu.
Hilo ndio umeliona au unajitutumua uonekane umenipa changamoto?Can you prove??
au unajitutumua uonekane umenipa changamoto?
The sun is a star because it produces energy by the fusion reaction of Helium turning into Hydrogen.
The sun is a perfectly ordinary star -- a great, glowing ball of gas. In its core, it fuses hydrogen into helium,
The sun formed up about 4.5 billion years ago, when a cloud of dust and gas called a nebula collapsed under its own gravity. As it did, the cloud spun and flattened into a disk, with our sun forming at its center. The disk's outskirts later grew by accummulation into our solar system, i
Gravity is a fundamental underlying force in the universe. The amount of gravity that something possesses is proportional to its mass and distance between it and another object. This relationship was first published by Sir Issac Newton. His law of universal gravitation says that the force (F) of gravitational attraction between two objects with Mass1 and Mass2 at distance D is:
F = G(mass1*mass2)/D square
There are some facts that do not need proof that you require to be executed no matter what.Hiyo ndio njia ya kuthibitisha hiyo unayoisema ni fact kwamba: the sun is a star??!!
"It (the Sun),being a star, produces enegy by the fusion reaction of HELIUM turning into HYDROGEN"
Is it???!!😱
The same sun spoken of in the above statement as a star; this time it fuses HYDROGEN into HELIUM and not the other way round as you stated before!!!.
Are all these informations needed to prove "the fact" that the sun is a star???
Is this formular F=(GmM)/r² a proof that the sun is a star???
Examples of facts are: Fire produces heat and never will fires stop producing heat., water extinguishes flames and never will water catch fire, those are simple examples of facts.