Hili ono haliishi kunijia, nami, kwa upendo mkuu, nakufikishia Rais wangu mpendwa.
Tafadhali fanya kitu pale jangwani; ondoa mateso ya mafuriko kila mwaka tangu tupate uhuru na badala yake ligeuze liwe eneo la kufurahi na kiuchumi, yaani 'kijiutalii' fulani hivi.
Mama uwezo (fedha au mbinu za kupata fedha) unao, sababu unayo (watu wanateseka) na nia (moyo mwema) unao nami mwananchi wako nakuongezea na kukukumbusha umoyo mwema hapa, nakazia.
Mama ukifanya hilo vizazi vitakukumbuka daima na wale wasiokukubali kama bashiru na polepole hawatokuwa na jinsi bali kulitaja jina lako kila ubinadamu utakapotajwa!
Nawasilisha, kwa mara nyingine tena!
Tafadhali fanya kitu pale jangwani; ondoa mateso ya mafuriko kila mwaka tangu tupate uhuru na badala yake ligeuze liwe eneo la kufurahi na kiuchumi, yaani 'kijiutalii' fulani hivi.
Mama uwezo (fedha au mbinu za kupata fedha) unao, sababu unayo (watu wanateseka) na nia (moyo mwema) unao nami mwananchi wako nakuongezea na kukukumbusha umoyo mwema hapa, nakazia.
Mama ukifanya hilo vizazi vitakukumbuka daima na wale wasiokukubali kama bashiru na polepole hawatokuwa na jinsi bali kulitaja jina lako kila ubinadamu utakapotajwa!
Nawasilisha, kwa mara nyingine tena!