Kiutaratibu ilikua wanapandisha vyeo kwa aliyekua Muhasibu wa halmashauri (DT)/Mchumi wa halmashauri/Afisa mipango wa halmashauri/Afisa utumishi wa halmashauri (DHRO) au mwanasheria wa halmashauriKama haya ndiyo majukumu ya DED basi maDED wote wawe either WACHUMI ama WAHASIBU.
Sio must ila chini kuna hao wahasibu na wachumi kusaidiaKama haya ndiyo majukumu ya DED basi maDED wote wawe either WACHUMI ama WAHASIBU.
Yaani huu ni upumbavu mkubwa sana,hao makada waliowachukua wangewapa U-dc tu,Kuwa Ded unatakiwa kuwa mtendaji na sio mwanasiasa,halafu kuwa Ded unatakiwa uwe ni mtumishi wa umma ambae umepitia kuwa mkuu wa idara ama kitengo chochote na pia sifa mojawapo ni lazima uwe umefanya kazi si chini ya miaka 10 taasisi za Umma ama binafsiDuuuuhh.
Kazini kuna wasomi na wabobezi wenye uzoefu kwenye mambo ya management lakini hawajateuliwa kwakuwa si wanaccm
Unaweza kudhani una akili kumbe ni sivyo. Kama jambo la msingi ni kuteua watu wenye weledi mbona hajawateuwa sasa? Si ndiyo jambo la msingi uliloona wewe? Kama habanwi na sheria yoyote unadhani atachague watu wenye weledi? Kazini kunakuwa na kanuni na sheria ili watu wasijifanyie watakavyo. Bila katiba mpya ya kubadilisha utaratibu wa namna hao wateule wanavyopatikana unadhani atabadilika. Na inapondikwa katiba mpya inaandikwa kiasi ambacho kama kuna rais anataka kuikajaga kuwe na ugumu na siyo kama sasa. NB: Katiba haiwezi kuwa mwisho wa matatizo lakini ni mwanzo mzuri wa kujenga msingi.Hapana..katiba sio mwisho wa matatizo..unaweza kuja na katiba mpya na bado watu wakaikanyaga pia..jambo la msingi ni kuchagua watu wenye weledi
Ila mkitumia hicho kigezo vipi wengine kujifunza na ku grow, watumishi wengi wa umma ni magoi goi flani na wamezoea kufanya kazi bora liende tu. So kuchaganya watu tofauti tofauti sio mbaya. Walio kwenye miradi ukifanya na watumishi wa umma wako lazy sana bora liende tu bora kuwe na mixture flani hiviYaani huu ni upumbavu mkubwa sana,hao makada waliowachukua wangewapa U-dc tu,Kuwa Ded unatakiwa kuwa mtendaji na sio mwanasiasa,halafu kuwa Ded unatakiwa uwe ni mtumishi wa umma ambae umepitia kuwa mkuu wa idara ama kitengo chochote na pia sifa mojawapo ni lazima uwe umefanya kazi si chini ya miaka 10 taasisi za Umma ama binafsi
Watajifunza kwani wapo wale wenye uzoefu kisha wanashika hatamu.Yaani huu ni upumbavu mkubwa sana,hao makada waliowachukua wangewapa U-dc tu,Kuwa Ded unatakiwa kuwa mtendaji na sio mwanasiasa,halafu kuwa Ded unatakiwa uwe ni mtumishi wa umma ambae umepitia kuwa mkuu wa idara ama kitengo chochote na pia sifa mojawapo ni lazima uwe umefanya kazi si chini ya miaka 10 taasisi za Umma ama binafsi
Magufur hakupenda kuchomekewa majina na kupelekewa vimemoKama hata hewa wamepangiwa vituo, ya nini kwa hao watu kabisa!? Ndio kuchomekea!! Work experience counts
In what sense?Hii kwenye soshologia inaitwa intergenerational downward social mobility.
Mkuu hata hawa wengine wapya hakutakuwa na tofauti. Trust me. Sababu zinazofanya hao wengine kuwa magoigoi ndiyo hizi hizo zinakwenda kufanya hao wapya wawe hivyo. Hawa watu walitakiwa wawe wanabanwa na sheria kanuni ili wasiwe magoigoi. Tubadilishe wanavyopatikana na jinsi wanavyopimwa kwa kazi. Tufumue mfumo!Ila mkitumia hicho kigezo vipi wengine kujifunza na ku grow, watumishi wengi wa umma ni magoi goi flani na wamezoea kufanya kazi bora liende tu. So kuchaganya watu tofauti tofauti sio mbaya. Walio kwenye miradi ukifanya na watumishi wa umma wako lazy sana bora liende tu bora kuwe na mixture flani hivi
Ndiyo. Huku ni kinajisi kabisa utumishi wa umma. Mbaya zaidi utaratibu huu unawavunja moyo watumishi wa umma.View attachment 1877625
View attachment 1877629
View attachment 1877630
Hawa ni baadhi ya vijana wadogo kabisa toka UVCCM walioteuliwa kuwa makurugenzi.
KWA MUJIBU WA MEMORANDA YA FEDHA SERIKALI ZA MITAA(LGA) HAYA NDIO MAJUMKUMU MAZITO YA DED
1. Ensuring the existence of a formal and satisfactory system of financial administration;
2. Securing compliance with the prescribed financial procedures by operating departments;
3. Directing the work of the Internal Audit section, receiving their reports and after consultation with relevant head of departments, ensuring recommendations and acted upon and submitted to relevant authorities;
4. Overall management of Council’s expenditures, revenues, and all assets and liabilities;
5. Ensuring compliance of all statutory guidelines for the financial Management of Council affairs;
6. Responding to queries within given deadlines from the Office of the Controller and Auditor General, the Local Authority Account Committee (LAAC) and the Minister;
7. Making certain that councillors are kept regularly informed of the financial affairs of the Council;
8. Being secretary to the finance Committee;
9. Making sure that computerized system operates;
10. Keeping under good Custody all assets and property of the Council; and
11. Adhering to procurement functions stipulated in Public Procurement Act and its related
KWA TAFSIRI ISIYO RASMI
1. Kuhakikisha kunakuwa na mfumo rasmi na wakuridhisha katika usimamizi wa fedha
2. Kuhakikisha idara zinafanya matumizi kwa mujibu wa taratibu za fedha
3. Kuhakikisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kinafanya kazi vyema, kupokea taarifa za ukaguzi wa ndani, na kwa kushirikiana na wakuu wa idara ahakikishe maoni ya mkaguzi wa ndani yanajibiwa na kutekelezwa na anawasilisha majibu hayo kwa mamlaka husika ambazo ni CAG, RAS na Chief Internal Auditor
4. Usimamizi wa matumizi, mapato, mali na madeni yote ya halmashauri kwa ujumla
5. Kuhakikisha sharia, sera, kanuni na miongozo yote ya usimamizi wa fedha za halamashauri inafuatwa.
6. Kuhakikisha kuwa anajibu kwa wakati hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) na wizara
7. Kuhakikisha waheshimiwa madiwani wanapata taarifa za fedha za halamashauri
8. Kuwa katibu wa Kamati ya fedha ya Halamshauri. Kamati hii wajumbe wake ni madiwani.
9. Kuhakikisha mifumo ya kompyuta inafanya kazi
10. Kuhakikisha utunzaji mzuri wa mali za Halmashauri
11. Kuhakisha sharia ya manunuzi ya umma na kanuni zake zinafuatwa
MAJUMKU MENGINEYO
1. Kuidhinisha malipo
2. Kuidhinisha mikataba yote ya halmashauri
3. Kuteua Bodi ya Zabuni kwa mujibu wa sharia
4. Kuteua Kamati ya Ukaguzi(Audit Committee) kwa mujibu wa sharia
5. Kuwa mkurugenzi wa uchaguzi ngazi ya wilaya pale inapotokea
6. Kuteua kamati ya upembuzi wakati wa manunuzi makubwa
MY TAKE
Hii kazi sio rahisi kama mashabiki wa mwendo kasi mnavyodhani. Huyu mtu anaenda kuwa msimamizi wa idara 19 pale halmashauri. Ikiwepo idara ya elimu na afya zenye changamoto za kufa mtu. Huyu mtu ndio anaenda kukuza uchumi wa wilaya na kuongeza pato la taifa kupitia wilaya yake. Mikataba mikubwa ya mabilioni ya fedha za ujenzi wa miradi ya maendeleo inaenda kuidhinishwa na yeye baada ya kujiridhisha kila kitu kiko sawa.
Anakwenda kusimamia matumizi ya mapato ya ndani ya zaidi ya bilioni 20 mfano Manispaa ya Kinondoni mpaka milioni 500 kwa halmashauri mpya. Anakwenda kusimamia ruzuku ya serikali mabilioni ya fedha.
Anakwenda kusimamia ufungaji wa hesabu na kujibu hoja ngumu za CAG kama tulivyoona hapo juu, matokeo yake unashindwa kuzuia au kujibu hoja unaanda maburungutu ya kuhonga wakaguzi
Kwa maoni yangu, serikali isione aibu, pangia hawa watu wasio na sifa majuku mengine mara moja. System inajua nani mwenye uwezo na asiye na uwezo
Mjadala
Je huku ni kunajisi utumishi wa umma?
Thanks
Kwa maoni yangu, serikali isione aibu, pangia hawa watu wasio na sifa majuku mengine mara moja. System
Utamaduni wa kuteua makada wa CCM kuwa maded na ma dac aliyeuanzisha ni Magufuli. Wakati wa Kikwete jambo hili halikuwepo kabisa. Acha kumsingizia Kikwete kwa dhambi hii.Aisee 2025... TISS na vyombo vyote , Usalama wa nchi sio tu Amani .
Nyie nyote ni mashahidi wa namna gan, JK aliharibu Nchi hii.
Leo hii tuna mtu anayetenda yaleyale.
Kazi yenu Sio kupambana na Wanasiasa.
2025 , msituleteee Watu wa ovyo namna hii.
Kumbe ndio sababu JPM alisema tutamkumbuka.
Cha ajabu amewatoa watu muhimu sana Ili kupachika Hawa wapuuziView attachment 1877625
View attachment 1877629
View attachment 1877630
Hawa ni baadhi ya vijana wadogo kabisa toka UVCCM walioteuliwa kuwa makurugenzi.
KWA MUJIBU WA MEMORANDA YA FEDHA SERIKALI ZA MITAA(LGA) HAYA NDIO MAJUMKUMU MAZITO YA DED
1. Ensuring the existence of a formal and satisfactory system of financial administration;
2. Securing compliance with the prescribed financial procedures by operating departments;
3. Directing the work of the Internal Audit section, receiving their reports and after consultation with relevant head of departments, ensuring recommendations and acted upon and submitted to relevant authorities;
4. Overall management of Council’s expenditures, revenues, and all assets and liabilities;
5. Ensuring compliance of all statutory guidelines for the financial Management of Council affairs;
6. Responding to queries within given deadlines from the Office of the Controller and Auditor General, the Local Authority Account Committee (LAAC) and the Minister;
7. Making certain that councillors are kept regularly informed of the financial affairs of the Council;
8. Being secretary to the finance Committee;
9. Making sure that computerized system operates;
10. Keeping under good Custody all assets and property of the Council; and
11. Adhering to procurement functions stipulated in Public Procurement Act and its related
KWA TAFSIRI ISIYO RASMI
1. Kuhakikisha kunakuwa na mfumo rasmi na wakuridhisha katika usimamizi wa fedha
2. Kuhakikisha idara zinafanya matumizi kwa mujibu wa taratibu za fedha
3. Kuhakikisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kinafanya kazi vyema, kupokea taarifa za ukaguzi wa ndani, na kwa kushirikiana na wakuu wa idara ahakikishe maoni ya mkaguzi wa ndani yanajibiwa na kutekelezwa na anawasilisha majibu hayo kwa mamlaka husika ambazo ni CAG, RAS na Chief Internal Auditor
4. Usimamizi wa matumizi, mapato, mali na madeni yote ya halmashauri kwa ujumla
5. Kuhakikisha sharia, sera, kanuni na miongozo yote ya usimamizi wa fedha za halamashauri inafuatwa.
6. Kuhakikisha kuwa anajibu kwa wakati hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC) na wizara
7. Kuhakikisha waheshimiwa madiwani wanapata taarifa za fedha za halamashauri
8. Kuwa katibu wa Kamati ya fedha ya Halamshauri. Kamati hii wajumbe wake ni madiwani.
9. Kuhakikisha mifumo ya kompyuta inafanya kazi
10. Kuhakikisha utunzaji mzuri wa mali za Halmashauri
11. Kuhakisha sharia ya manunuzi ya umma na kanuni zake zinafuatwa
MAJUMKU MENGINEYO
1. Kuidhinisha malipo
2. Kuidhinisha mikataba yote ya halmashauri
3. Kuteua Bodi ya Zabuni kwa mujibu wa sharia
4. Kuteua Kamati ya Ukaguzi(Audit Committee) kwa mujibu wa sharia
5. Kuwa mkurugenzi wa uchaguzi ngazi ya wilaya pale inapotokea
6. Kuteua kamati ya upembuzi wakati wa manunuzi makubwa
MY TAKE
Hii kazi sio rahisi kama mashabiki wa mwendo kasi mnavyodhani. Huyu mtu anaenda kuwa msimamizi wa idara 19 pale halmashauri. Ikiwepo idara ya elimu na afya zenye changamoto za kufa mtu. Huyu mtu ndio anaenda kukuza uchumi wa wilaya na kuongeza pato la taifa kupitia wilaya yake. Mikataba mikubwa ya mabilioni ya fedha za ujenzi wa miradi ya maendeleo inaenda kuidhinishwa na yeye baada ya kujiridhisha kila kitu kiko sawa.
Anakwenda kusimamia matumizi ya mapato ya ndani ya zaidi ya bilioni 20 mfano Manispaa ya Kinondoni mpaka milioni 500 kwa halmashauri mpya. Anakwenda kusimamia ruzuku ya serikali mabilioni ya fedha.
Anakwenda kusimamia ufungaji wa hesabu na kujibu hoja ngumu za CAG kama tulivyoona hapo juu, matokeo yake unashindwa kuzuia au kujibu hoja unaanda maburungutu ya kuhonga wakaguzi
Kwa maoni yangu, serikali isione aibu, pangia hawa watu wasio na sifa majuku mengine mara moja. System inajua nani mwenye uwezo na asiye na uwezo
Mjadala
Je huku ni kunajisi utumishi wa umma?
Thanks
Try to be constructive katika hoja yako.Ndiyo. Huku ni kinajisi kabisa utumishi wa umma. Mbaya zaidi utaratibu huu unawavunja moyo watumishi wa umma.
eti wapuuzi 🤣🤣Cha ajabu amewatoa watu muhimu sana Ili kupachika Hawa wapuuzi
Au watu wa utawala na sheriaKama haya ndiyo majukumu ya DED basi maDED wote wawe either WACHUMI ama WAHASIBU.
Hata jpm wako ndio alianzisha huu upuuzi,alikaza makada wote kwenye hizo nafasi.Aisee 2025... TISS na vyombo vyote , Usalama wa nchi sio tu Amani .
Nyie nyote ni mashahidi wa namna gan, JK aliharibu Nchi hii.
Leo hii tuna mtu anayetenda yaleyale.
Kazi yenu Sio kupambana na Wanasiasa.
2025 , msituleteee Watu wa ovyo namna hii.
Kumbe ndio sababu JPM alisema tutamkumbuka.
Saizi upigaji utakuwa mkubwa kwa sababu Hawa madada hawajawahi kufanya Kazi zozote za Halmashauri hawajui taratibu yaani watakuwa bypassed Sana japo watazoea baada ya kama mwaka hivi,sijui kwenye vikao vya madiwani na RCC watakuwa wanajieleza vipiSio must ila chini kuna hao wahasibu na wachumi kusaidia