Rais Magufuli aagiza daraja la Busisi limalizike kwa miaka 3 na sio 4. Awataka Wananchi kuongeza kulima

Take it easy mzee. Sio kila kitu upayuke [emoji3][emoji3]
 
Maswali ni mengi hakika
 
Labda atakuwa anajua analolizungumza kama watu wanavyo sema maana nae ni taaruma yake, japo kuwa inatilia shaka na kufikirisha sana
 
Hajawaharakisha, bali ameaagiza wafanye kazi usiku na mchana
Suala la kufanya kazi usiku na mchana ni kawaida sana kwa wakandarasi (kama umewahi kupitia construction site yoyote utakuwa umewahi kuona) tunacho hofia sio nguvu kazi kuongezeka kwa sababu hilo ni possible kabisa naliko ndani ya uwezo wetu hofu zilizopo ni hizi mbili mkuu

1. Hofu ya kuweza kuongezewa gharama tofaut na awali kwa sababu kuna mabadiliko kwenye mkataba ambao unatupa favor zaidi sisi

2. Kuna maswala kwenye ujenzi hayawezi kuharakishwa ni lazima yapewe muda (mfano muda wa nguzo kukauka).

Hapa ndipo swali lilipo jitokeza kwamba hayawezi kuathiri ubora wa kazi au kuongeza gharama.
 
Ngonja maafa yakitokea ndo sijui itakuwaje.Haraka haraka haina baraka.
 
Huwezi jua kama hutumii hiyo njia
 
Daraja hili ni la kimkakati kiuchumi lina beba uchumi wa Burundi,Rwanda,Uganda, DRC na Kenya na kuunganisha na Tanzania. Huyo anayesema halina maana hajui.
 
Na kwanini wakati wa kusaini kandarasi walikubaliana miaka minne ilhali walijua ni possible kukamilika kwa miaka mitatu?
Miaka 4 ni maximum. Akiweza kukamilisha unjezi miaka 2 ni credit kwa huyo contractor na tungempa mradi mwingine. Miaka 2 inawezekana kabisa kama kazi ikafanyika mchana na usiku kwani kisio la miaka 4 lilikuwa ni la kufanya kazi mchana tu kama ilivyo kawaida. Haya mengine ya kufanya mchana na usiku ni ombi tu la rais kwa mkandrasi huu. Halazimiki kulikubali. Uzuri kalikubali baada ya kuhakishiwa pesa ipo. Hii ni biashara. Hata mimi au wewe ungalikuwa ni huyo mkandarasi si ungaliona ni neema hiyo. Ungalitaka ku mu- impress rais huyo kwa kuimaliza kazi hiyo kwa supersonic speed na kwa kiwango cha juu sana ili uendelee kupata kandrasi zingine nyingi kwenye nchi hiyo. Kumbuka mkandrasi anayejenga daraja hili ni huyo huyo anayejenga daraja la Tanzanite bridge aka Selender bridge huko DSM. Kumbuka kuwa hawa ma main contractors huwa wana uwezo wa kuweka ma sub contractors wa idadi ya kulingana na speed anayotaka ili mradi pesa iwepo.
 
Na kwanini wakati wa kusaini kandarasi walikubaliana miaka minne ilhali walijua ni possible kukamilika kwa miaka mitatu?
Kwa kuwa limepewa jina la mkuu itawezekana hata kwa miaka miwili...
 
Kwamba feli inazuia hizo biashara kufanyika au? Hebu onyesha kimahesabu badala ya hisia ku justify bln 700 kwa kudaraja hicho ukilinganisha na kutandaza lami kwa km 700 ,,hapo unazungumzia Kigoma- Tabora,, Kigoma-Kagera,,Kigoma-Katavi na Mbeya-Tabora au Songea-Ifakara-Mikumi

Sasa wewe kwa akili zako barabara maeneo niliyotaja hapo juu na hako kadaraja kipi ni potential kwako au unashabikia tuuu kwa vile ni kwenu? Hamna akili huko ccm ndio maana mumejenga maviwanja ya ndege mkoani yamebakia kuota nyasi
 
Daraja hili ni la kimkakati kiuchumi lina beba uchumi wa Burundi,Rwanda,Uganda, DRC na Kenya na kuunganisha na Tanzania. Huyo anayesema halina maana hajui.
Acha ujinga wewe kiazi,kwa hiyo kwa kutumia ferry kuvusha magari na mizigo nk huo uchumi umekwama? Hebu tueleze hasara inayopatikana kimahesabu basi

Wakati unawaza unatakiwa ujue kwamba hiyo bln 700 unajenga vituo vya afya vipya 1400,,km 800 za lami na unasambaza maji ya uhakika jiji zima la Dodoma au Unajenga plant ya Umeme wa maji 1 kama ile ambayo Rais wenu alikuwa abatembeza bakuli kwa Rais wa China nk nk

Sasa linganisha hayo niliyotaja hapo juu na hicho kidaraja kipi kinatija kubwa kiuchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…