Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Ndiyo maana tunajadili. Tutapata njia tu ya kumuondoa tu huyu mental case. Ni suala la muda tu.
hii lugha yako na maneno yako humu!!!.. hata kwa Biblia hutakiwi kuwa hivi.. unahitaji msaada kulingana na yote..
 
Yeye mbona alikimbia ualimu akaingia kwenye siasa!

Huyu mtu anajisahau sana na ndio maana hata mishahara haoni umuhimu wa kuiongeza.

Wanaomkubali huyu mtu huwa siwaelelwei kabisa!!

Wengi wao ni wale waramba miguu yake ambao bila yeye hawawezi kuishi
 
HAKUNA mwenye uwezo wala ujasiri wa kumwambia mzee kuwa "HAIWEZEKANI KWA SABABU NI KINYUME NA KATIBA/SHERIA" Mikutano ya kisiasa na shughuli nyinginezo zilipigwa marufuku kimasikhara masikhara ila ndo ilishatoka hiyo, pamoja na kwamba ilikuwa kinyume kabisa na katiba ya nchi...

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Lakini hawa watu, Madaktari wana chombo chao kinachosimamia mambo yao wasivurugwe na watu kama huyu. Hawa wangeweza kusimama na kukataa kuyumbishwa, hawa wana nguvu zaidi na ungekuwa mwanzo wa kusukuma huu ukuta uanoingilia haki za wengine.

Angalau kaachia nafasi kwa kusema "...kama inawezekana." Hapa angeambiwa 'HAIWEZEKANI.'
 
Siyo tunakoelekea bali tangu awali ndivyo ilivyokuwa. Unasomeshwa na serikali; ukihitimu unafanya kazi serikalini au kwenye shirika la umma kufuatana na utakavyopangiwa, kwa miaka mitano kipindi ambacho kinachukuliwa kinatosha kufidia gharama za kukusomesha. Ukitaka kwenda kwinginepo kabla ya utumishi wa miaka mitano ulikopangiwa, ruksa lakini ulipe gharama za kukusomesha. Mtu 'objective' hawezi kukosoa hilo. Agizo la JPM katika bandiko hili linafuata kanuni hii.
Swali ni kwamba wakati anapewa mkopo alipewa hilo sharti? Na kwanini walimruhusu aondoke kama alikuwa kwenye hicho kifungo?
 
Mikutano ya kisiasa na shughuli nyinginezo zilipigwa marufuku kimasikhara masikhara ila ndo ilishatoka hiyo, pamoja na kwamba ilikuwa kinyume kabisa na katiba ya nchi
Hii ndio ilikuwa trial balloon.... tulipimwa kama tuna uwezo wa kudai haki zetu, tukaonesha kuwa hatuna. Tutulie tu sasa, ngoja tuone moto utakaomshukia huyu daktari, kama hatujasikia kapewa kesi ya kuhujumu uchumi
 
Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu. what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Siku za mwisho mwisho hizo za mwenda zake
 
Back
Top Bottom