Rais Magufuli aagiza magari 130 yaliyotaifishwa yagawanywe kwenye Taasisi za Serikali

Rais Magufuli aagiza magari 130 yaliyotaifishwa yagawanywe kwenye Taasisi za Serikali

Moja kwa moja kwenye pointi, mzee ameamua magari 130 yaliyokamatwa kutokana na shughuli za uwindaji haramu, uhujumu uchumi pamoja na matukio mbalimbali kupelekwa kwenye idara za serikali yakafanye kazi.

Ndio imeisha hivyo.


Nikisemaga JP MAGUFULI ni mwamba watu wananitukana na kunishangaa. Huyu mzee ni zawadi ya watanzania kutoka kwa Mungu.
 
Hivi kule Mkuranga mkuu wa wilaya alisema wilaya hakuna ambulance siyo eee
 
Alishawahi kufunga wahujumu UCHUMI Wangapi tangu aingie madarakani? Je sio kweli kwamba wabunge wa CCM Waliopitishwa wote walishindana kwa RUSHWA kwenye mchakato? Huyo anapambana na watu asiowapenda co wahujumu uchumi.
Ile mahakama ya Mafisadi pale UBUNGO ilikufa peeeeee
Kawatemesha bilioni 250, kuwafunga halafu wale bure walitoka watanue?
 
Lazima yatahujumiwa spare parts kabla ya kupewa hizo taasis!
 
Back
Top Bottom