Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Hakuna shida
Hivi miongozo/kanuni/sheria zetu hazilezi kuhusu hilo
Hivi miongozo/kanuni/sheria zetu hazilezi kuhusu hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moja kwa moja kwenye pointi, mzee ameamua magari 130 yaliyokamatwa kutokana na shughuli za uwindaji haramu, uhujumu uchumi pamoja na matukio mbalimbali kupelekwa kwenye idara za serikali yakafanye kazi.
Ndio imeisha hivyo.
Na itachukua muda sana kupata replacement yake, jamaa ni don’t care linapofika suala la kuhatarisha maslahi ya nchi, mapungufu anayo, he is human isipokuwa yamezidiwa na potentials zake.Nikisemaga JP MAGUFULI ni mwamba watu wananitukana na kunishangaa. Huyu mzee ni zawadi ya watanzania kutoka kwa Mungu.
Mashalahhhhh
Mtoto umejaliwa chura na limguuu ahhh
Ova
Kiswahili chako sasa kama mtoto wa VIDUDUHapa kazi tu..
Magufuli 2020 💯
Kawatemesha bilioni 250, kuwafunga halafu wale bure walitoka watanue?Alishawahi kufunga wahujumu UCHUMI Wangapi tangu aingie madarakani? Je sio kweli kwamba wabunge wa CCM Waliopitishwa wote walishindana kwa RUSHWA kwenye mchakato? Huyo anapambana na watu asiowapenda co wahujumu uchumi.
Ile mahakama ya Mafisadi pale UBUNGO ilikufa peeeeee