Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Hii NAYO mnaiita hoy poloy!
 
Silaha ndio hizi ...kila kinachosemwa ...Mtukufu Rais anatekeleza!
 
 
I'm still contemplating[emoji2822][emoji2822][emoji2822]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna fao la kujitoa ila kuna kujitoa uanachama na kuchukua michango yako ndio hiyo itaendelea untill 2023 kwa hiyo ni kucheza na hii ngoma tu kabla 2023 😛😛😀😀
Hilo limezungumzwa wapi!??

Au wewe una Rais wako!??
 
Kikokoto Cha ZZK ni lekudute , Cha Sumaye kujikopesha yeye Mwenyewe, kikokoto Cha mwenyekiti wa saccos ni kujikopesha kwa ajili ya Biashara zake.
 
Hakuna alichofanya cha maana kwa sababu hicho kikokotoo alikipitisha yeye, alichofanya leo ni Kampeni ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na ule wa Rais, Wabunge na Madiwani. Mnadanganywa kweli mnadanganyika.
 
Mheshimiwa Rais wetu;

Mimi ni moja kati ya Watanzania wengi tunaounga mkono jitihada zako za kuleta mabadiliko Tanzania. Nakupongeza kwa ujasiri, kutomwonea mtu aibu, kuthubutu, na kukiri hadharani kwamba Tanzania haina sababu ya kuendelea kuwa masikini... bravooo!!

Kwa upande mwingine, naona kuwa namna yako ya kufanya maamuzi na utendaji unawadhoofisha wateule wako kama Mawaziri, Makatibu Wakuu, Na Wakurugenzi. Kwa mfano, maamuzi kuhusu MAFAO Na KIKOKOTOZI cha mifuko ya Pensheni; ni maamuzi mazuri lakini ungeacha wateuzi wako; ususani Waziri husika alishughulikie hilo. Kwa wewe kutoa kauli ya mwisho inawafanya wateuzi wako kuonekana hawafanyi wajibu wao ipasavyo Na pia unawaondolea ujasiri wa kufanya maamuzi makubwa.

Mheshimiwa naomba uangalie namna bora ya kutimiza ndoto zote nzuri ulizonazo kwa ajili ya Taifa letu.

Mungu mbariki Rais JPM, Mungu ibariki Tanzania.

Asante.
 
Leo nimemsikiliza Rais Magufuli wakati wa mkutano na viongozi wa wafanyakazi ameongea vitu vingi ikiwemo kukosoa miradi mingi iliyofanywa na hii mifuko ya hifadhi ya jamii ambayo haina tija kwa hilo nampongeza.

lakini kilichonishangaza ni yeye leo hii kujitenga na maamuzi ya serikali kuhusu kikokotoo cha wastaafu akisema yeye leo alikuwa refalii kati ya serikali na wafanyakazi, swali la kujiuliza hicho kitendo alimtuma waziri kupima upepo? na kama ni hivyo baada ya kuona upepo siyo mzuri na kuwafanya wapinzani waonekane wanapigania maslahi ya wananchi akaamua kujitenga na maamuzi yaliyofanywa na waziri wake?


My take, wale wenye upeo mdogo ndiyo watamshangilia lakini ukweli ni kwamba tatizo amelitengeneza yeye na wabunge wake wa ccm sasa leo anajificha kwenye kivuli cha waziri as if yeye alikuwa likizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli hapa wapinzani Magufuli katupiga bao
Sijui wewe ni Malay wa aina gani. Wapinzani ndo walistukia hiki kikokotoo kibovu na wakakipinga kwa nguvu leo hii mmetatua tatizo mlilotengeneza wenyewe then unakuja hapa unashangilia Kama zuzu
 
Safi hawa viwavi wamezoea kula pesa za wafanyakazi.
Yaani kutengeneza Kalenda tu wanatumia Bil. 1.5
Na nina uhakika hao ni NSSF, hawa wanaongoza kwa miradi hewa na ili isiyo na tija.
Dawa yao iko jikoni


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi jembe langu, msikivu na mtetezi wa wanyonge
Watu kama wewe ndio wapumbavu wa kwanza, ambao hamna tofauti na viongozi wa vyama vya wafanyakazi Rais anaosema wanatumika kisiasa.
Kila kukicha ni kusifia tu jembe lako hata kama kafanya upuuzi, walipo leta 25% ulisifia wenye akili wakakosoa leo rais kusema 25% iwe suspended baada ya kuwaelewa wenye akili unasifia tena.
Bora ungekuwa nyama uwe kitoweo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…