Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Ina maana huyu Rais ni tofauti na yule aliyesaini hiyo Sheria ? Ninachofahamu ni kwamba Rais kabla ya kusaini alipewa taarifa ya kutosha kuhsu hiyo Sheria na matokeo yake, kwa hiyo siwezi kutoa Pongezi kwake kwa sababu yeye ndiye aliyeanzisha hilo tatizo, hivyo ni wajibu wake kuliondoa> Aidha, hakukuwa na sababu yoyote ya kuwaita Viongozi wa Vyama vya Siasa na kuutangazia umma, alipaswa kuwagiza Waziri aliyeandaandaa hicho kukokotoo akifute kama liavyokiandaa, vinginevyo, acheni kufanya siasa katika maisha ya watu. Fanya kazi kwa bidii, uonekane na kuteliuwa kuwa DC lakini sio kutafuta sifa kwa kusifu haya maigizo.
 
Yaani magu anapenda matukio+Kiki.
tatizo alilianzisha mwenyewe ili limjengee ki siasa huko mbeleni. akajifanya kama haelewi kinachoendelea;
akawaacha wapinzani walipigieh kelele ili lizidi kupata kiki....
baada ya muda

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
kajifanya kuita makamera na kulisolve .
daaah ngoja tusubiri episode zingine.

AMINI NA WAAMBIA 2019 NDIYO MTAONA KILA AINA YA MUVI.
kwa ajili ya kupata Mtaji wa kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lumumba inaingiaje hapa. au wewe hujui mzigo waliokuwa nao ndugu zetu sababu ya kikokotoo
lumumba inaingiaje hapa. au wewe hujui mzigo waliokuwa nao ndugu zetu sababu ya kikokotoo
Okay, nijibu kwanza sasa ili swali,hicho kikokotoo wakina nani walikibadirisha kama sio CCM walioshika dola, baada ya kuona kelele za watumishi ni nyingi jiwe ndo anazuga kuita mkutano ikulu na kutengua,wauaji wakubwa nyie!
 
Unampongeza mtu aliyesaini sheria mbovu una walakini medulani oblangatan!
 
Nadhani mteja ameshaondoka, Endeleza somo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikwambia ukashupaza shingo, haya sasa yako wapi?
Jiuzulu hiyo nafasi ya uwaziri hutufai

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio huyo tu mpaka wale wote wa SSRA inapaswa waachie nafasi maana walikuwa wanaongea utumbo mno mpaka jpm akasema wanaongea too theoretical.

Jenista na ssra walikuwa wanaongea mambo ambayo cjui wameyatoa wapi.
 
Sheria vs Kanuni
 
Wanaomchukia naona wako kimyaaa? Nachojilaumu mimi sikumpigia kura ile octoba 25,huwa najiona sikumtendea haki.hakika huyu ni Rais wa wanyonge.bado bomu la ajira baba.. Achia japo kidogo tu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anatengeneza tatizo mwenyewe halafu kesho anakuja kulitatua,unampongeza?Kesho serikali ikisema mtalipa kodi ya kichwa,mtalalamika!Kesho kutwa yake ikaja serikali kusema inaondoa kodi hiyo mtashangilia na kusifu kuwa mmepewa zawadi ya mwaka mpya!
 
Tatizo LA wapinzani ni kupinga hadi mafanikio, ama kweli kwa JPM, wapinzani wataisoma namba, Jamaaa anakandamiza vibayaaa. Big up JPM. Tupo nawe bega kwa bega
Haha sa hv wanaanza kusema rais anaogopa cheche za Lisu wanahamisha magoli tu a.k.a wanatapatapa
 
Unampongeza mtu aliyesaini sheria mbovu una walakini medulani oblangatan!
Yaani Mkuu duniani hapa hakun majitu majinga kama matumishi ya umma! Hili taahira linashangilia nini sasa? Ina maana aliyesaini hakuiona kama sheria haikuwa na aina ya ukandamizaji? Shame on him!!
 
Mleta hoja sikuungi mkono eneo la kuwa-under rate sub-ordinate wake kwani wamefanya vibaya na intervention ilikuwa lazima. Kwa maneno mengine kafanya vyema na ikibidi awaswage wote waliohusika kutengeneza kanuni ile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…