Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Yaani magu anapenda sanaa Kiki na attention
Tatizo alilitengeneza Mwenyewe ili apate Kiki ya kisiasa
HUWEZI Ku isaini sheria uliyoidhinisha mwenyewe halafu ukaja na siasa zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania bana ni ngumu sana kueleweka hao unaowataja walikuwa wapi kelele zilivyokuwa zinapigwa kuhusu mafao ??? Au mama yupo NSSF?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mnatuchanganya? Hivi bunge lilipikuwa linapitisha lilikuwa chini ya CDM, na yeye aliposaini kuwa sheria alikuwa CUF au? Acheni kumpa sifa zisizostahili, huo wote ni unafki tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Yaani Mkuu duniani hapa hakun majitu majinga kama matumishi ya umma! Hili taahira linashangilia nini sasa? Ina maana aliyesaini hakuiona kama sheria haikuwa na aina ya ukandamizaji? Shame on him!!
Rais husaini muswada kuwa sheria; hii ya kikokotoo haipo kwenye sheria ila ipo kwenye kanuni. maana yake ni kwamba Rais hakuisaini.
Hata Spika alisema hivyo majuzi tu. Kwa hiyo si sahihi kumshambulia mtu aliyefurahia kufutwa au kuahirishwa matumizi ya kikokotoo hicho.
 
Jamaa alielewa swala hili tangu pale alipoambiwa kwenye uzinduzi wa ujenzi wa barabara sema hakutaka kukubali ndo maana imebidi awaite watu watatu wa TUCTA, etc ili ionekane wameshauri na amekubali kushaurika
 
Hao wasikuumize kichwa hata kidogo, siku zote wanajiandaa kuponda. Umefanya la maana kumuelimisha kitu ambacho hakijui
 
Ni kweli kabisa lakini UFIPA nao wanapaswa kujielewa siyo kupinga pinga kila kitu chenye faida nakati vitu vingine vyenye ulazima wanavifumbia macho.

Kwanini BAVICHAA wasiwe wazalendo wa ukweli kuupinga USHOGA zaidi ya kuusapoti tu?

Lumumba wakiwatuhumu BAVICHAA kuwa wanatumika vibaya na mabeberu wataeleweka vyema huko UFIPANI?
Ndo shida yenu lumumba.
hakuna lumumba hata mmoja aliyewatetea wastaafu.ni upinzani pekee waliopaza sauti za utetezi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatengeneza TATIZO halafu unajitokeza Kama mkombozi na mtetezi. This is only in Madongokuinama
 
Kabla ya kumpongeza natuma lawama zangu kwa waziri wake aliyepeleka huo mswada bungeni na bunge lake lililopitisha huo mswada.
 
25 % au ngapi
na hapo chini sekta binafsi imeandikwaje soma hiyo kwa nguvu injinia tusije kuingia mkenge uchaguzi 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…