Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Hahahaha
Mtafukua makaburi ambayo tayari wafu walishafufuka kitambo.

Rais alishatoa maelekezo ya kusimamisha hicho kikokotoo.

Hii hoja ya 2018 unaiibua leo ili kuitumia kwenye kampeni...
2023 si mbali
 
Hahahaha
Mtafukua makaburi ambayo tayari wafu walishafufuka kitambo.

Rais alishatoa maelekezo ya kusimamisha hicho kikokotoo.

Hii hoja ya 2018 unaiibua leo ili kuitumia kwenye kampeni...
Hili kaburi, linafufuliwa kwa ajili ya watanzania wasahaulifu, wasifanye makosa au wasije kumlaumu mtu 2023
 
Tumorooo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…