Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

nimeanzisha uzi huu kabisa kumpongeza rais wetu kwa maamuzi yake ya leo.
tunahitaji Rais msikivu na anayejali maslahi ya Taifa na ustawi wa wananchi wake. Hili rais wangu umelionyesha bila kusita.

pia umegusia hata fao muda maalum kama wafanyakazi wa migodi au kazi za muda

niseme ukweli kabisa napenda upinzani sutawi lakini utendaji wako hauna shaka kabisa.
sisemi hatuhitaji upinzani ila tunahitaji upinzani wa mawazo mbadala na kuboresha zaidi

pi a natumia nafasi hii kumpongeza mbunge wa chadema aliyesimamia swala la kanuni ya kikokotoo kuingia kwenye sheria.

Tanzania yetu ni moja na sisi sote ni wamoja. hongera wapinzani na hongera Rais wetu

pia hongera wa elimu bur watoto wa masikini kule kijiji umefanya difference kubwa sana, pia hongera kwa mradi wa kimara to kibaha na pia hongera kwa stand ya ubungo.

maamuzi ya leo umegusa wengi na umeonyesha namna gani unaelewa haki


kama umeguswa na maamuzi ya leo ema kitu hapa
Katengeneza TATIZO halafu anakuja na suluhu ya TATIZO. That's great in African perspective
 
Tumpende tusipende shujaa wa mchezo huu ni ESTER BULAYA ndiye aliyeibua mapambano ha ya na akasaidiwa na wabunge wa upinzani na wanaharakati kupigania.
Nakumbuka wale wa ccm waliunga mkono mswada na juzi eti na Lusinde akaitisha press anatetea jambo hili mpaka nikahoji hivi ccm wanamtumia mpaka Lusinde siku hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Asalaaam,wapendwa!!!!
  • Namshukuru mheshimiwa Rais Dr John Magufuli kwa kazi kubwa anayofanya kwa Taifa letu pendwa la Tanzania.Lakini sikubaliani na namna watendaji wetu wanavyoacha majukumu yao ama kwa kuharibu,kukosea,kuchanganya mambo na kuleta sintofahamu kwa wananchi hivyo kumuachia mzigo wa lawama Mh Rais.
  • Hivi karibuni kulijitokeza suala la kikokoto kwa watumishi wa umma,ni jambo ambalo kiukweli lilifanywa bila weledi wa kutosha watumishi walio wengi walilalamikia sana hili lakini watendaji(wahusika)walikaa kimya hadi leo hii ambapo Rais amejitokeza kuliongelea na kufuta mpango ule.
  • Sio hivyo tu kuliibuka suala la wimbo wa Taifa,bendera wahusika(wizara &co)wananchi walitoa maoni yao lakini hola hadi pale tena alipojitokeza mh Rais na kulitolea ufafanuzi na kufuta mpango huo.
  • Suala la korosho nalo wahusika walishindwa vibaya kutafuta ufumbuzi mpaka pale alipojitokeza Mh Magufuli na kulitatua kwa uharaka.
  • Ni mengi sana hadi yanayopaswa kufanywa na watendaji wa vijiji,kata hadi yamsubiri Mh Rais ajitokeze kutatua?????shame!!!!!ifikie mahala tumsaidia Kiongozi huyu kuyafanya masuala mengine ili na yeye afanye ya kimataifa zaidi,tusimzeeshe kwa vijimambo vidogo vidogo tumpe changamoto zile kubwa.
  • Wabunge,mawaziri,wakuu wa mikoa,wilaya na makatibu tawala wote,tarafa na watendaji wa kata,vijiji,wasomi wetu msaidieni dr Magufuli aweze kudumu na kumaliza kipindi chake akiwa timamu na sio dhaifu.
  • Kama yote haya anayafanya yeye na tunamtegemea kwa kila jambo basi tumpeni nafasi kubwa ya kutawala hadi siku akichoka mwenyewe.
  • Masinki,serengeti
Taratibu za Serkali ziko wazi kabisa na zinatambua kuwa Rais ni MTU mmoja hata awe na uwezo gani hawezi kufanya kila kitu ndo maana amepewa madaraka ya kuteua mamia ya wasaidizi wake ili majukumu take yatekelezwe kwa ufanisi. Ni juu yake kuwathibiti, kuwaongoza na kuwatathimini kuhakikisha wanatekeleza Yale kwayo amewateua. Kwa hiyo kama atateua wasaidizi wabovu na mambo yakaenda vibaya wa kulaumiwa ni yeye Rais na lazima abebe lawama hizo bila visingizio.
 
Hii ni habari njema, mtujuze yanayojiri

Bado FAO LA Kujitoa

Private sector wapewe fungu MTU anapofukuzwa au kujiuzulu

FAO LA kukosa ajira ni ngumu sana, na kanuni zake hazitekelezeki....

Mfano: ukiresign umepoteza haki zote

Hizi kazi kwa viwanda vya wahindi ngumu sana, manyanyaso

Pia kuna viwanda vinatoa mionzi na powdered mbaya kwa afya
 
Wanatumwa wakaseme kikinuka anaibuka mwenyewe kutengua maamuzi ya aliowatuma... Unaunda tatizo kisha unalitatua mwenyewe

Jr[emoji769]

Halafu anapongwezwa mwenyewe na kuonekana "mkombozi" mwenyewe. Hii michezo ya kikenge sijui itaisha lini....?
 
Tumpende tusipende shujaa wa mchezo huu ni ESTER BULAYA ndiye aliyeibua mapambano ha ya na akasaidiwa na wabunge wa upinzani na wanaharakati kupigania.
Nakumbuka wale wa ccm waliunga mkono mswada na juzi eti na Lusinde akaitisha press anatetea jambo hili mpaka nikahoji hivi ccm wanamtumia mpaka Lusinde siku hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na lile jingine Bashe! Mbona hawakujijumlisha na wao kama sheria ilikuwa nzuri kiasi hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumpende tusipende shujaa wa mchezo huu ni ESTER BULAYA ndiye aliyeibua mapambano ha ya na akasaidiwa na wabunge wa upinzani na wanaharakati kupigania.
Nakumbuka wale wa ccm waliunga mkono mswada na juzi eti na Lusinde akaitisha press anatetea jambo hili mpaka nikahoji hivi ccm wanamtumia mpaka Lusinde siku hizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Chakaza Umenikumbusha mapinduzi ya Zanzibar aliyaongoza mjomba wangu Okelo. Lakini waZanzibari leo hawamtambui, anayetambulika ni Karume mtu aliyeitwa baada ya kazi kwisha.[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]

Kule kwenye kusifu na kuabudu sasa ni Rais tu [emoji87][emoji40]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom