Wewe ni Mnufaika wa Mfumo na huenda ndiye Director wa hii Movie. Rais anaweza asiwe na makosa, lakini nyie mnaotaka Ukuu wa Wilaya mnaleta shida sana.Sheria vs Kanuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Mnufaika wa Mfumo na huenda ndiye Director wa hii Movie. Rais anaweza asiwe na makosa, lakini nyie mnaotaka Ukuu wa Wilaya mnaleta shida sana.Sheria vs Kanuni
Wanatumwa wakaseme kikinuka anaibuka mwenyewe kutengua maamuzi ya aliowatuma... Unaunda tatizo kisha unalitatua mwenyeweTulikwambia ukashupaza shingo, haya sasa yako wapi?
Jiuzulu hiyo nafasi ya uwaziri hutufai
Sent using Jamii Forums mobile app
Katengeneza TATIZO halafu anakuja na suluhu ya TATIZO. That's great in African perspectivenimeanzisha uzi huu kabisa kumpongeza rais wetu kwa maamuzi yake ya leo.
tunahitaji Rais msikivu na anayejali maslahi ya Taifa na ustawi wa wananchi wake. Hili rais wangu umelionyesha bila kusita.
pia umegusia hata fao muda maalum kama wafanyakazi wa migodi au kazi za muda
niseme ukweli kabisa napenda upinzani sutawi lakini utendaji wako hauna shaka kabisa.
sisemi hatuhitaji upinzani ila tunahitaji upinzani wa mawazo mbadala na kuboresha zaidi
pi a natumia nafasi hii kumpongeza mbunge wa chadema aliyesimamia swala la kanuni ya kikokotoo kuingia kwenye sheria.
Tanzania yetu ni moja na sisi sote ni wamoja. hongera wapinzani na hongera Rais wetu
pia hongera wa elimu bur watoto wa masikini kule kijiji umefanya difference kubwa sana, pia hongera kwa mradi wa kimara to kibaha na pia hongera kwa stand ya ubungo.
maamuzi ya leo umegusa wengi na umeonyesha namna gani unaelewa haki
kama umeguswa na maamuzi ya leo ema kitu hapa
Taratibu za Serkali ziko wazi kabisa na zinatambua kuwa Rais ni MTU mmoja hata awe na uwezo gani hawezi kufanya kila kitu ndo maana amepewa madaraka ya kuteua mamia ya wasaidizi wake ili majukumu take yatekelezwe kwa ufanisi. Ni juu yake kuwathibiti, kuwaongoza na kuwatathimini kuhakikisha wanatekeleza Yale kwayo amewateua. Kwa hiyo kama atateua wasaidizi wabovu na mambo yakaenda vibaya wa kulaumiwa ni yeye Rais na lazima abebe lawama hizo bila visingizio.
- Asalaaam,wapendwa!!!!
- Namshukuru mheshimiwa Rais Dr John Magufuli kwa kazi kubwa anayofanya kwa Taifa letu pendwa la Tanzania.Lakini sikubaliani na namna watendaji wetu wanavyoacha majukumu yao ama kwa kuharibu,kukosea,kuchanganya mambo na kuleta sintofahamu kwa wananchi hivyo kumuachia mzigo wa lawama Mh Rais.
- Hivi karibuni kulijitokeza suala la kikokoto kwa watumishi wa umma,ni jambo ambalo kiukweli lilifanywa bila weledi wa kutosha watumishi walio wengi walilalamikia sana hili lakini watendaji(wahusika)walikaa kimya hadi leo hii ambapo Rais amejitokeza kuliongelea na kufuta mpango ule.
- Sio hivyo tu kuliibuka suala la wimbo wa Taifa,bendera wahusika(wizara &co)wananchi walitoa maoni yao lakini hola hadi pale tena alipojitokeza mh Rais na kulitolea ufafanuzi na kufuta mpango huo.
- Suala la korosho nalo wahusika walishindwa vibaya kutafuta ufumbuzi mpaka pale alipojitokeza Mh Magufuli na kulitatua kwa uharaka.
- Ni mengi sana hadi yanayopaswa kufanywa na watendaji wa vijiji,kata hadi yamsubiri Mh Rais ajitokeze kutatua?????shame!!!!!ifikie mahala tumsaidia Kiongozi huyu kuyafanya masuala mengine ili na yeye afanye ya kimataifa zaidi,tusimzeeshe kwa vijimambo vidogo vidogo tumpe changamoto zile kubwa.
- Wabunge,mawaziri,wakuu wa mikoa,wilaya na makatibu tawala wote,tarafa na watendaji wa kata,vijiji,wasomi wetu msaidieni dr Magufuli aweze kudumu na kumaliza kipindi chake akiwa timamu na sio dhaifu.
- Kama yote haya anayafanya yeye na tunamtegemea kwa kila jambo basi tumpeni nafasi kubwa ya kutawala hadi siku akichoka mwenyewe.
- Masinki,serengeti
Hii ni habari njema, mtujuze yanayojiri
Then watu tunatoka mbio na kesema rais anasikiliza vilio vya wanyonge.Wanatumwa wakaseme kikinuka anaibuka mwenyewe kutengua maamuzi ya aliowatuma... Unaunda tatizo kisha unalitatua mwenyewe
Jr[emoji769]
Wanatumwa wakaseme kikinuka anaibuka mwenyewe kutengua maamuzi ya aliowatuma... Unaunda tatizo kisha unalitatua mwenyewe
Jr[emoji769]
Usimuhukumu; mabadiliko haya yalipitia Baraza la Mawaziri na kupata baraka zote na unajua Mwenyekiti wake ni nani.Tulikwambia ukashupaza shingo, haya sasa yako wapi?
Jiuzulu hiyo nafasi ya uwaziri hutufai
Sent using Jamii Forums mobile app
Na lile jingine Bashe! Mbona hawakujijumlisha na wao kama sheria ilikuwa nzuri kiasi hichoTumpende tusipende shujaa wa mchezo huu ni ESTER BULAYA ndiye aliyeibua mapambano ha ya na akasaidiwa na wabunge wa upinzani na wanaharakati kupigania.
Nakumbuka wale wa ccm waliunga mkono mswada na juzi eti na Lusinde akaitisha press anatetea jambo hili mpaka nikahoji hivi ccm wanamtumia mpaka Lusinde siku hizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani hawatumii Elimu yao vizuri kuwakilisha mawazo yao chanya,kwanini wafanye jambo kwa uoga?????kwanini wasifanye mambo vizuri ili kuepuka kutumbuliwa?????Ukisha impart uwoga kwa watu wako wataogopa kufanya lolote lile kwakuhisi watakosea na kutumbuliwa hivyo basi watasubiri ufanye mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nani kakwambia najibu maswali?Nani kakwambia Sheria ni mbovu?
Wabunge wa ccm walikuwa bora liende tuHizi ndio siasa safi kero zinasemwa na kero zinatatuliwa.
Chakaza Umenikumbusha mapinduzi ya Zanzibar aliyaongoza mjomba wangu Okelo. Lakini waZanzibari leo hawamtambui, anayetambulika ni Karume mtu aliyeitwa baada ya kazi kwisha.[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]Tumpende tusipende shujaa wa mchezo huu ni ESTER BULAYA ndiye aliyeibua mapambano ha ya na akasaidiwa na wabunge wa upinzani na wanaharakati kupigania.
Nakumbuka wale wa ccm waliunga mkono mswada na juzi eti na Lusinde akaitisha press anatetea jambo hili mpaka nikahoji hivi ccm wanamtumia mpaka Lusinde siku hizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
ili iwejeUnaijua historia ya kikototoo?