mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Upande wa pili huyoo mkuuV tatu na kaua kamoja. Kama wewe umewahi kuishi kambini utanielewa tu.
Ni mtu mdogo sana labda kama alikuwa ni nyoka a.k.a snitch
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Mataga usipite hivihiv pls say something [emoji2]Sawa. Asante.
Hii Kauli haimhusu Makonda , la sivyo hata yeye anaweza hasirudi MagogoniKama unakumbuka juzi mh rais alisema "nukuu"toshekeni na vyeo vyenu, unakuta mtu ana cheo fulani halafu anaenda kugombea tena cheo .mwisho.
Hii kauli itaondoka na wengi.
Kama 20155 alibahatisha mjomba, nawenyewe wanajaribu bahati,wasanii mashoga waiza unga, watangazaji, mameneja, bodaboda wote lazma watest bahat yao,Hivi huu ubunge wa mwaka huu mbona watu wana shobo nao sana!!!
Ugomvi wa mawe huu mkuu
Ewaaa...
Labda kwa mtutu au corona ipite naeHii Kauli haimhusu Makonda , la sivyo hata yeye anaweza hasirudi Magogoni
Fanya uwai bwana.maana na huku form ipo moja tu ukichelewa basi ubunge utausikia kwenye dochivele na bbc.Nitakuja mkuu usihofu najiandaa
Hivi wakiachia hizo nafasi kama wakati huu , hawa ma RC huwa wanapewa malipo yoyote kutoka Serikalini ?Exactly, ameachia akagombee Ubunge
Bashite sio level zako dogo...utamzidi labda ndevu tu ila mwenzako ni level nyingine kabisa...Kwanza anapush Velar[emoji91]Yani BASHITE awe waziri!?? Em shirikisheni Bongo kufikiri.
Wamebet wakiingia mjengoni mambo yatajipaYaani
Mkuu wa mkoa DSM,
Karibu tawala DSM
Afisa elimu mkoa DSM
Msemaji wa RC DSM
Wote wameenda gombea ubunge; kweli mwanadamu hatosheki hata umpe Nini,(aliimba mzee makassy)
Huyu anaenda kuwa waziri kama hujalitambua uliejue sasa, alichofanya leo ndivyo alivyoambiwa na babaake anaehuskika na kukata majina.Bhite Bye Bye na Mbwembwe zako.
Ubaya mwingi umewafanyia wapinzani,kamwe hatutakusahau.
Hasa kitendo cha kupga kibao Mzee wariopba,
na Kumbeba Lipumba wakati wa Mkutano mkuu wa CUF wa kumfukuza uwenyekiti na kuteu Mwenye kiti mpya. kuleta fujo
Haa hapo mtanikosa siruhusiwi kujihusisha na siasa nimekatwa na wazaziFanya uwai bwana.maana na huku form ipo moja tu ukichelewa basi ubunge utausikia kwenye dochivele na bbc.
Order maalum toka kwa babaake, ata hiki unashindwa kugundua mzeeNaona ubunge umefanya watenguliwe
Makonda ndio anashikilia funguo za mkulu kuingia Magogoni.Labda kwa mtutu au corona ipite nae