Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

madaraka yepi? ya kupigana judo?
 
Wewe acha kupotosha ndg, nimesoma shule ya Kislam darasani tulikuwa 500, ila uwiano ulikuwa 150:350.

Afu useme tupo saws hapo!
 
Wewe acha kupotosha ndg, nimesoma shule ya Kislam darasani tulikuwa 500, ila uwiano ulikuwa 150:350.

Afu useme tupo saws hapo!
Shule gani hiyo inafundisha uwiano wa sampuli hiyo, hebu gawanya hizo namba urahisishe mambo. Halafu hivi hapa tunazungumzia nini nikumbushe naona kama tunatoka nje ya reli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…