Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

Mbona unahangaika na kitu ambacho kiko wazi?

Hakika Allah..Mungu huwapa mitihan viumbe wake kwa kuwajaribu kwa mambo mbali mbali ikiwamo kuwapa madaraka...utajiri...ufakiri...maradhi..na hata vifo...

Wewe na ndug zako mnasema kuwa yesu ni mungu...sasa kama kweli hilo unaloliamin namimi nakupa jibu kwa style ya kukuuliza swali...ni mungu gan anaeweza kukubali kupewa kichapo na wanadam wake hadi kufikia hatua ya kuuwawa?

Mungu anaweza pigwa na viumbe wake kweli?
Wewe nawe acha kudandia visivyo kuhusu ,unajua nimetoka wapi na Faiza mpaka kumuuliza haya

Halafu mimi sina dini

Hayo maswali muulizane nyie mtakaoenda kuonja pepo na ma bikira sijui 70 na kupewa nguvu ya kulala na wanawake mia sijui nini nini

Au waulize wagalitia habari za Yesu
 
Hii nchi Bila kuunda alshaababuuu ya tz tutaburuzwa na kuteswa mpaka basi, hiyo ndo Imani yangu tangu 2010, siamin Katika ukombozi kupitia siasa
 
Tuisome namba?

Hivi baina ya waislam na wakristo ambao wako serikalin hiv sasa wanaoisoma namba ni kina nan?

Then mnajua nyinyi wagalatia ni watu wa hovyo sana most of you


Kwaiyo unataka kuja na hoja kwamba huko serikalin waislam wanapendelewa siyo na nyinyi hampendelewi?

Very stupid...unaongea vitu ambavyo ukweli wake uko waz na unaujua sijui ili iweje...

Nachojaribu kukuambia wewe muimba kwaya ni kwamba

Enz kikwete yupo madarakan nyinyi mlikuwa ana udin na kuwapendelea waislam kwenye teuzi zake ili hali ukweli ni kwamba alikuwa anawapa nafasi kubwa nyinyi na mkazid kuwa vibaka...

Swali langu ni kwamba kipind kile mlitoa povu sana kikwete ni mdini..

Sisi sasa tunawauliza hiki anachokifa ya huyu muimba kwaya mwenzenu Juma Poor Manager tuite nin?

Kama upendeleo na udini unaweza pita kias hiki?
Sisi hatuna muda wa kulalamika kwa vitu vya kipumbavu kama hivyo mmepewa haki ya kuchinja kwa mujibu wa dini yenu kwenye machinjio ya serikali tumenyamaza.

Mmepewa majengo ya kodi za wote tanesco mmefanya chuo chenu tumenyamaza

Mnajengewa msikiti mkubwa kwenye ziara ya kitaifa ambayo pia imegharamiwa na kodi za wote tumenyamaza

Mambo ni mengi sana mnapendelewa waislamu watu wala hata hauongei serikali iliwajaza Bunge la katiba, nssf, udom, nk lakini wala hatuongei.

Kwanza nyie ndio mtaji wa ccm mashehe wenu ndio vinara wa kueneza chuki za kidini kwenye siasa nyakati za uchaguzi wanawambia mchague ccm vyama vingine ni vya kidini alafu mnakuja kulialia hapa wakati mmemchagua wenyewe mtaisoma number tu.
 
Bila shaka jibu umelipata

Nenda zako kasakate disko la bwana
Wewe nawe acha kudandia visivyo kuhusu ,unajua nimetoka wapi na Faiza mpaka kumuuliza haya

Halafu mimi sina dini

Hayo maswali muulizane nyie mtakaoenda kuonja pepo na ma bikira sijui 70 na kupewa nguvu ya kulala na wanawake mia sijui nini nini

Au waulize wagalitia habari za Yesu
 
Hayo yote anafanya. Anashindwa kusaini kibali cha ajira!?
Hapa sawa ni kazi juu ya kazi yeye ndio kila kitu yeye ni binge mahakama na ni mtoa vibali vyote cabinet haifanyi chochote bila saini yake haha hii ndio serikali mpaka baba aseme [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Tuisome namba?

Hivi baina ya waislam na wakristo ambao wako serikalin hiv sasa wanaoisoma namba ni kina nan?

Then mnajua nyinyi wagalatia ni watu wa hovyo sana most of you


Kwaiyo unataka kuja na hoja kwamba huko serikalin waislam wanapendelewa siyo na nyinyi hampendelewi?

Very stupid...unaongea vitu ambavyo ukweli wake uko waz na unaujua sijui ili iweje...

Nachojaribu kukuambia wewe muimba kwaya ni kwamba

Enz kikwete yupo madarakan nyinyi mlikuwa ana udin na kuwapendelea waislam kwenye teuzi zake ili hali ukweli ni kwamba alikuwa anawapa nafasi kubwa nyinyi na mkazid kuwa vibaka...

Swali langu ni kwamba kipind kile mlitoa povu sana kikwete ni mdini..

Sisi sasa tunawauliza hiki anachokifa ya huyu muimba kwaya mwenzenu Juma Poor Manager tuite nin?

Kama upendeleo na udini unaweza pita kias hiki?
Wewe mungiki acha kunisumbua nilichoongea nimemaliza kama hujakielewa kisome mara tatu kutwa.

Wengine tunaisoma number lakini nyie nyara za ccm mnaipayuka aisee huko sio kuisoma na bibi yako FaizaFoxy kiroboto
 
KILA LA KHERI kwao wakatuwakilishe watanzania vyema ,waitangaze vyema Tanzania pia wawe washauri WAZURI ktk kuvutia wawekezaji WA NCHI wanazotuwakilisha kuja TANZANIA !
 
Hivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie

Geneva ni HQs ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya kibinadamu-huko New York masuala ya siasa.
 
Namkubali sana Gen Mello, ana akili, busara na hekima. Siku moja atakuwa rais!
 
Komoro ingewakilishwa ama na balozi wa Msumbiji au balozi wa Madagaska; kuweka ofisi ya Ubalozi Komoro ni gharama za bure tu.
 
Hii nchi Bila kuunda alshaababuuu ya tz tutaburuzwa na kuteswa mpaka basi, hiyo ndo Imani yangu tangu 2010, siamin Katika ukombozi kupitia siasa
Thubutu,jaribuni muone, mnadhani nchi hii ni Somalia wanapowachekea chekea,ungekuwa na busara japo kuona yanayoendelea,usingeandika haya,hatujaribiwi
 
Back
Top Bottom