chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Hivi unavyopigania hivi ugali wa mtu ni nani anayepigania ugali wako kiasi hiki?kawaambie kabisa leo kanisan
Kampen za udin zitaendelea mpka dhulma hiz zitakapoisha
Nikuulize tu kama kateuliwa Muhammad Rashid kuiwakilisha Tanzania USA wewe unanufaikaje na maisha yake huko Washington DC?
Kaenda kuiwakilisha Tanzania kwenye nchi ya kikafiri inayochagiza mapenzi ya jinsia moja pengine nae Muhammad Rashid ni mtu wa totoz na mitungi club sana wewe kama muislamu swafi huo uteuzi wake unakunufaisha wapi wewe na hiyo dini yako ?