Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio huyo, huyu si alika NKM Bara?Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Okay ! Umenifundisha jambo.Hii inaitwa amnesia retrograda, nilifundishwa wakati nachukua General MD...si bure
Na bado tumbua tumbua nasikia huko Nssf wale masalia ya dau yameanza kutumbuliwa wakiwemo vyeti feki na walokuwa wanahujumu makusanyo darajani kwa kutia pesa mfukoni kama walivyofundishwa huko vijiweni,Dawa itawaingia taaaaaatiiiiibuKuna namba unazisoma taratibu kabisa
Hapana si kweli, aliyekufundisha hivyo kakujaza ujinga.
Issa, Mussa, Yusuf, Yakoub, Suleman...Adam.
Jee, wote hao ni Waarabu?
Waislamu wengi wanaojitambuwa watoto wao wanawapeleka kwenye seminary za Wakristo
Kuna Wakristo wananyimwa nafasi kujiunga na Mariana Bagamoyo lakini wanapewa nafasi waislamu wenye uwezo wa kiakili kuwazidi wale wakristo, hili jambo kwenu ni ndoto kuwa na upendo wa aina hii, bado kauli mbiu yenu ileile ndugu katika imaani.
Siku mkiukataa ujinga huu ndio mtakuwa mmejikombowa kifikra.
Ni sahihi kabisa. Mashirika mengi ya UN makao makuu yako Geneva. Ni kama UN ina makao makuu sehemu mbili ulimwenguni USA na EuropeHivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie
Swadakta Ila hawatokubali Ukweli huu maana Ukweli mchunguNaam, hatujasoma, Nyie mliosoma mmekifanya nini zaidi cha maana zaidi ya ambao hatujasoma?
Ukija kwenye siasa, tunawika
Ukija kwenye uchumi, tunawika
Ukija kwenye Biashara, tunawika
Ukija kweye Diplomasia, tunawika
Ukija kwenye uungwana, tunawika
Tunachosikitika mnafanya khiyana halafu yote hayo hamuyajuwi mnachojuwa ni ufisadi tu na kuididimiza nchi.
Ingekua hivyo Kamala asingerudi Kugombea, au yule mtoto wa karume kila uchaguzi alikua anarudi Kugombea Urais ZanzibarNchimbi anatupwa mbali na siasa za Tanzania
hahahaha vipi wewe na sheikh siwaoni.utaisoma number kweli kweliTwaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
hahahaha vipi wewe na sheikh siwaoni.utaisoma number kweli kweli
swissme
chama chako waambie wasitusahau m sheikh.Sheikh nani tena? Mbona Ma Sheikh wapo wengi sana humu.
Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Mohamed said teheeeSheikh nani tena? Mbona Ma Sheikh wapo wengi sana humu.
Hapana si kweli, aliyekufundisha hivyo kakujaza ujinga.
Issa, Mussa, Yusuf, Yakoub, Suleman...Adam.
Jee, wote hao ni Waarabu?
Ataisoma namba,, wacha wamsaidie!!sasa Magufuli sio kwamba anataka kulamba karata dume pale mume anakuwa mbali na nchi mama yuko nyumbani pekee yake. mmmmhh