Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyu Msekela si ndiye alikuwa Italy akatemeshwa mzigo? Sasa amekuelewa tena?Naona na Dr. James Msekela nae ndani ya nyumba.
Ccm hoyeeeeee.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Twaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
Teh teh sababu maalum ? Hata Nchimbi naye kachero tu anaweza pelekwa hukoNapendekeza George Madafa apelekwe Israel kwa sababu maalumu!
Yule hajielewi kachero gani unakuwa upande wa Chama, Pia ana kashifa ya Kielimu! hivyo hatutaki siasa na propaganda kwenye masuala ya msingi hasa katika maendeleo ya Taifa!Teh teh sababu maalum ? Hata Nchimbi naye kachero tu anaweza pelekwa huko
yule si anaitwa Rutengwe mkuu sio luhaviNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Huyo ni Rajab Luhwavi alikuwa naibu katibu mkuu CCMNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Yale ya Sheakh yanajizihirisha zaidi..Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Yaani hata kwenye hii list nimekosekana jmn!? "Alisikika kijana wa Lumumba B7 akilalama"
Hawa ndo wanaohujumu chama. Mwambie huyo sheikh wako aanzie Zanzibar. Punguzeni unafikiSheikh Khalifa, pitia na huku.
Ni Dr. (PhD) ingawa alilia kama form 2.Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Umepigwa 16-5 mama,, mwaka huu mpaka mjinyee!!Sheikh Khalifa, pitia na huku.
.. Jina linaanzia na L... na linaishia na IMtaje
Nimesoma nakuelewa ndio maana nimeuliza. Amesema balozi zingine zitabakia kama zilivyo 'swali langu hizi balozi zilizoachwa hazina mapungufu? Soma uelewe nini nauliza?Rudia kusoma vizuri maelezo ya uteuzi