ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
UNOG ni moja ya ofisi kubwa za umoja wa mataifa duniani. Ni ya pili kwa ukubwa baada ya ile iliyopo New York.Hivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNOG ni moja ya ofisi kubwa za umoja wa mataifa duniani. Ni ya pili kwa ukubwa baada ya ile iliyopo New York.Hivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie
Dini umeletewa na muarabu lakini mjuaji hatari. Dini za wenzetu, tuwaachie dini zao. Upumbavu mtupu unaouonyesha!!Naam, hatujasoma, Nyie mliosoma mmekifanya nini zaidi cha maana zaidi ya ambao hatujasoma?
Ukija kwenye siasa, tunawika
Ukija kwenye uchumi, tunawika
Ukija kwenye Biashara, tunawika
Ukija kweye Diplomasia, tunawika
Ukija kwenye uungwana, tunawika
Tunachosikitika mnafanya khiyana halafu yote hayo hamuyajuwi mnachojuwa ni ufisadi tu na kuididimiza nchi.
...waislamu na wakristo wa nini? Hii hoja ya kupuuzi sana!!Waislam wangap na wakristo wangap?
Congratulations to them... and so especially to Pindi Chana
Bashe naye asingekuwa Mbunge angetupwa huko Israel. Atuache huru tuendeshe chama tunavyowezaTeuzi zitaisha lini sijui! Hatimae Nchimbi wamemkumbuka.
Nyerere alimteuwa Salim kuwa Balozi wetu Egypt akiwa na miaka 21 tuHivi yule aliyeambiwa atapangiwa kazi nyingine vipi?
The United Nations Office at Geneva (UNOG) is the second-largest of the four major office sites of the United Nations (second to the United Nations Headquarters in New York CityHivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie
Sio huyo Yule ni Dk rajab lutengweNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Hatimaye Ubalozi wa Israel umefunguliwa....Thanks to JPM, I hope scholarship zitapatikana tukasome zetu military science
Hizi dini zingefutwa tukaunda yetu ya kati, tungejumuisha uafrika wetu, ukristo tulokodishwa na uislamu tulolazimishwa, kwanza ndivyo kiukweli watanzania tuishivyo sijui kuliweka wazi tunaogopa nini. Tanzania mkiristo pure na muislamu pure sijawahi kumuona mie. Wachunguze kwenye ibada zao za mazishi, ndoa, utabibu, vyakula, mavazi, vinywaji nk tunamix hzo dini na za mababu wetu. Ungewekwa mkakati hata wa kijasusi, TIS tuziunganishe. Wanachokiangalia hapo ni asili tu ya majina eti ndo dini, akina Mohamed na Ramadhani kibao tunagongana nao kwa kitimoto, na akina John na Petro wameoa wake wengi na wanatoa taraka, achilia mbali wenye dini tofauti na majina yao pia. Kama taifa itatusaidia kujenga utaifa wetu, au tufute matumizi ya majina haya ya kigeni, tuendelee tu na akna masanja, mkude, mwampeta, pinda na akna ngoyai tu. Wanatusumbua.Hii siyo listi ya kwenda Kuhiji Makka au Yerusalemu
Mkuu kwa njaa aliyonayo mpendazoe mpaka anakula chipsi kavu na maji halafu unamwambia hata unaweza kusababisha kifo. Muhurumie kidg!Mpendazoe amekubali kukatwa mkia lakini kakosa hata u DC
Mkuu yule ni Rajabu Rutengwe.Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini