Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Endelea kusoma namba MadamWacha kutokwa Mapovu, mimi nimemwita Khalifa nyie kinawawashiani?
Wabilah tawfq....Aslaam Alykum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kusoma namba MadamWacha kutokwa Mapovu, mimi nimemwita Khalifa nyie kinawawashiani?
Una uhakika gani kama hayumo katika hao wateule?Bi faizafoxy aendelee kujituma
Rudia kusoma vizuri maelezo ya uteuziMbona mkulu hajagusa USA Australia UK Germany Canada Norway etc kwamba huko mambo powa au ni utaratibu?! Nauliza tu nchi za Africa tuuu ndio zilihitaji hii reshuffle au Mimi mgumu kulelewa!?
KUMBE CUF MLIKUWA MNAISINGIZIA MASJID QUBA NI LUMUMBAWewe ni mwenzetu wa kijani kwa nini usiongee kwenye vikao vya chama!
Tulia zamu yenu imepita.Twaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
Atajifia bure ,,huyo mdini wenu.Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Wacha Uchochezi. Umeanza tena.Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Mkuu unanitafutia ban, ni wapi nimesema ameteuliwa au ameachwa? Tuisome 12345Una uhakika gani kama hayumo katika hao wateule?
Faiza Foxy ni jina la Jf tuu
Unapotenganishwa makazi na mkeo ni lazima ujiulize mara mbilimbili, pesa zisiwafanye watu wawe walemavu wa akili.Mume wa Waziri Angela Kairuki..... Mbelwa Kairuki apewa ubalozi..!!
Alie nacho huongezewa, asiye nacho hata kile kidogo hunyang'anywa..
Mungu ibariki Tanzania..!!
Hizi shutuma za kidini ni ujinga. Nilijifunza hata kama mtu siyo dini yangu basi utakuta ni kabila langu,jirani yangu, rafiki yangu, mpenzi wangu, mwalimu wangu,shemeji yangu au classmate wangu cha msingi awe ni mtanzania na ana vigezo basi.Naam, umenena vyema kabisa.
Unatuhakikishia tunayoyasema miaka yote, kumbuka tu, hazidishiwi mwenye kudhulumu isipokuwa hasara.
Chadema mnajurikana ni kikundi tu cha kupinga pinga kila jambo, lakini mnaendelea kuisoma namba, hakuna ruzuku za vyama, DJ wenu mpaka aone rangi zote.
Ebu rejea feruziHapo sasa.. maana Angela sijui itakuaje, labda aombe apangiwe karibu, kama Nairobi hivi.. ila akiwekwa Korea Kusini, ha haaaaa... wasaidizi hawachelewi.. teh
We na shekhe wako na udiniSheikh Khalifa, pitia na huku.