Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ndio mjifunze kuongeza juhudi za umbea hiko ndio kigezo pekee cha kusogea hakuna anaejali uwezo wenu vijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Sana nilisahau....!!Sio huyo yule ni Rutengwe Luwhavi huyu alkuwa naibu Katibu mkuu CCM bara
Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Mkwere kamuombeaNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Sio yeye huyo ni kaimu katibu mkuu ccm baraNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Ndiyo upo , ni second major office ya UN after ya zile zilizopo New York . Panaitwa Palais de Nations .Hivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie
Siye. Yule aliyelia ni Dr Rajab Rutengwe. Huyu aliyeteuliwa ni Rajabu Omari Luhwavi naibu katibu mkuu wa CCM baraNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Hamjasomaaaaaa,tunaenda kwa uiano kimadarasaTwaona yanazidi, asilimia zile zile. Panga pangua.
Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Naona Nchimbi amekumbukwa sasa.
Sio yule unayemfikiria. Huyo ni D.S. wa Chama Dume.Mkwere kamuombea
Duh Udini huh,Gambia wamemaliza kazi na no nchi ya kiislam hizi za kwetu zisizokuwa na dini. ZinashidaWaislam watano amejitahidi sana,ingekuwa kikwete angeweka wayunani wawili,tulia kidogo hii zamu ya wakristo