unachokitafuta kipo mikononi mwakoSheikh Khalifa, pitia na huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unachokitafuta kipo mikononi mwakoSheikh Khalifa, pitia na huku.
Hamjasomaaaaaa,tunaenda kwa uiano kimadarasa
Labda anataka kukamatia kidogo ameona magoma goma langi bhanaKWA HIYO MME AKIPELEKWA QATAR , Angela itabidi aachie uwaziri ili amfuate Mme.
Hata akipitia atafanya nn? Km anataka agombee urais 2025Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Naam, umenena vyema kabisa.
Unatuhakikishia tunayoyasema miaka yote, kumbuka tu, hazidishiwi mwenye kudhulumu isipokuwa hasara.
Wote ni wale waleHivi vijana tutaajiriwa lini?
Naam, hatujasoma, Nyie mliosoma mmekifanya nini zaidi cha maana zaidi ya ambao hatujasoma?
Ukija kwenye siasa, tunawika
Ukija kwenye uchumi, tunawika
Ukija kwenye Biashara, tunawika
Ukija kweye Diplomasia, tunawika
Ukija kwenye uungwana, tunawika
Tunachosikitika mnafanya khiyana halafu yote hayo hamuyajuwi mnachojuwa ni ufisadi tu na kuididimiza nchi.
Yasije yakawa ya Mfalme Daudi na mke wa Uriah
Kuna namba unazisoma taratibu kabisaSheikh Khalifa, pitia na huku.
Eliza Boni?Mtaje
Na bado hadi mfikie kumlaumu aliyewaaminisha kuwa elimu ni madrasa tu.Sheikh Khalifa, pitia na huku.
Kuna namba unazisoma taratibu kabisa
Wewe ni mwenzetu wa kijani kwa nini usiongee kwenye vikao vya chama!mwenzetuy said:Navikaoavyaachama Nyie mliosoma mmekifanya nini zaidi cha maana zaidi ya ambao hatujasoma?
Ukija kwenye siasa, tunawika
Ukija kwenye uchumi, tunawika
Ukija kwenye Biashara, tunawika
Ukija kweye Diplomasia, tunawika
Ukija kwenye uungwana, tunawika
Tunachosikitika mnafanya khiyana halafu yote hayo hamuyajuwi mnachojuwa ni ufisadi tu na kuididimiza nchi.
Bi faizafoxy aendelee kujitumaLe Mutuz na Mnyalu Lukosi chali pamoja na kujitoa ufahamu.
Kuna ofisi Geneva hata naibu katibu mkuu wa UN ofisi yake ipo Geneva.
Magufuli amemuhishimu sana NchimbiNchimbi anatupwa mbali na siasa za Tanzania
Bi FaizaFoxy anakwambia eti tayari parokia imeshajengwa kwenye uteuzi huu..Hiyo List ya hao mabalozi ngoja aione Sheikh Khalifa Khamis.
Unaonaje ukiamia CHADEMA kabisa ili uwe mpinzani wa kweli sio hivi unajificha fichaNaam, umenena vyema kabisa.
Unatuhakikishia tunayoyasema miaka yote, kumbuka tu, hazidishiwi mwenye kudhulumu isipokuwa hasara.