Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Yule ni Rutengwe sio Luhwavi. Huyu Luhwavi ni kiongozi mwandamizi wa CCM na alikuwa kwenye bodi ya Uhuru na Mzalendo.
 
Usiniletee huu upuuzi mimi siamini kwenye dini zenu hizi za waarabu na wazungu

Nijibu swali langu ,Umesema uislamu ni dini ya Mwenyeezi Mungu , kwa maana kwamba hawa wengine dini zao sio za Mwenyezi Mungu ,sasa ni Mungu gani anakubali dini yake iburuzwe na Wakiristo ?

Unajuwa maana ya neno "dini"?
 
Endelea na u.jin.ga wako...ndo kampen zitaendelea...nyie ni wanafiki sana
Unamkatisha tamaa nan
Mbna majib mtayapata,c mlikua na kampen yenu kuwa nchi haitotawalika kaja mwenzenu madhira kibao watu kimya kama hawaon
[HASHTAG]#waislam[/HASHTAG] pambaneni kwa ajili ya usawa#
 
Ingekua hivyo Kamala asingerudi Kugombea, au yule mtoto wa karume kila uchaguzi alikua anarudi Kugombea Urais Zanzibar
Kumbuka Nchimbi alikuwa ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM,yeye na Pindi Chana wametumbuliwa kijanja
 
Ujiulizi ni kwa nini mods wameidampo huko chitchat?

Mtu makini jukwaa la chitchat akafuate nini? Unatafuta kick za kipuuzi kabisa.

= hujiulizi

Ni mimi niliyeifunguwa chichat kwa kuwa ule ni uzi wa "general knowledge", sina uhakika kama unaelewa maana ya chit chat au general knowledge.

Maana katika members wa JF wewe u finyu sana.
 
Kwani Hata hivyo uwiano wa wasomi kati ya wakristo Na waislam ukoje hapa TZ ? Je ni almost Sawa ? Au dini ipi iko Na wasomi wengi? Historia inaonesha elimu ililetwa Na wamissionary ambao Ni wakristo , Watu walikuwa wakihimizwa kwenda Shule Kwa wa missionary ambako Na ukristo ulikuwa ukifundishwa, Kwa jamii za waislam kulikuwa na mwitikio mdogo ama haukuwepo Kabisa sababu walihofia kwenda kubadilishwa dini Na kuwa wakristo Na kuepuka kwenda kulishwa nyama za nguruwe n.k! Kumbuka Kwa miaka mingi wakristo walikuwa wanaendelea kusoma hawa kusimama kuwasubiri waislam waamue kuanza kwenda Shule ! Sasa waislam walipoanza kuja kustuka Kumbe elimu dunia ni jambo muhimu tayari pengo kubwa lilishajitokeza kati ya wasomi wa Kristo Na wasio wakristo hali hiyo ime endelea hadi Kesho Na hakuna namna hiyo gap itaweza ondoshwa! Kwa hiyo haina haja ya kimlaumu Mkwezi wakati nazi imeliwa Na mwezi! Pia haina haja ya kumlaumi Dobi wakati weusi wa kaniki Ndiyo Rangi Yake ! Unless niambiwe kuwa ratio ya dini hizo mbili Kwa wasomi Ni 50 by 50 hapo Hata Mimi nitaona kuna dosari ktk teuzi!
 
Kwani Hata hivyo uwiano wa wasomi kati ya wakristo Na waislam ukoje hapa TZ ? Je ni almost Sawa ? Au dini ipi iko Na wasomi wengi? Historia inaonesha elimu ililetwa Na wamissionary ambao Ni wakristo , Watu walikuwa wakihimizwa kwenda Shule Kwa wa missionary ambako Na ukristo ulikuwa ukifundishwa, Kwa jamii za waislam kulikuwa na mwitikio mdogo ama haukuwepo Kabisa sababu walihofia kwenda kubadilishwa dini Na kuwa wakristo Na kuepuka kwenda kulishwa nyama za nguruwe n.k! Kumbuka Kwa miaka mingi wakristo walikuwa wanaendelea kusoma hawa kusimama kuwasubiri waislam waamue kuanza kwenda Shule ! Sasa waislam walipoanza kuja kustuka Kumbe elimu dunia ni jambo muhimu tayari pengo kubwa lilishajitokeza kati ya wasomi wa Kristo Na wasio wakristo hali hiyo ime endelea hadi Kesho Na hakuna namna hiyo gap itaweza ondoshwa! Kwa hiyo haina haja ya kimlaumu Mkwezi wakati nazi imeliwa Na mwezi! Pia haina haja ya kumlaumi Dobi wakati weusi wa kaniki Ndiyo Rangi Yake ! Unless niambiwe kuwa ratio ya dini hizo mbili Kwa wasomi Ni 50 by 50 hapo Hata Mimi nitaona kuna dosari ktk teuzi!
hawa ndugu zetu acha waje elimu dunia ugaidi utapungua,maana asilimia 90 wanaojilipua elimu ni darasa la saba na madrassa
 
Mimi nilizani hoja ya msingi iwe Ni kwanini maofisa wenye uwezo kule kwenye ofisi za Balozi husika wapo Watu wenye weledi Na Uzoefu wa kidiplomacia ambao wako kwenye Sinior positions wameachwa kuteuliwa badala Yake uteuzi umefanyika ktk misingi ya kikada Kama ilivyo kawa kitu ambacho siyo fair Hata kidogo Kwa waTZ Na kinakatisha tamaa Na moyo wa kazi! Kwa nini nafasi hizi zisitangazwe Watu wenye sifa waombe? Kisha kuwe Na mchujo? Ndiyo maana utendaji hauwi wa kuridhisha !
 
Kwani Hata hivyo uwiano wa wasomi kati ya wakristo Na waislam ukoje hapa TZ ? Je ni almost Sawa ? Au dini ipi iko Na wasomi wengi? Historia inaonesha elimu ililetwa Na wamissionary ambao Ni wakristo , Watu walikuwa wakihimizwa kwenda Shule Kwa wa missionary ambako Na ukristo ulikuwa ukifundishwa, Kwa jamii za waislam kulikuwa na mwitikio mdogo ama haukuwepo Kabisa sababu walihofia kwenda kubadilishwa dini Na kuwa wakristo Na kuepuka kwenda kulishwa nyama za nguruwe n.k! Kumbuka Kwa miaka mingi wakristo walikuwa wanaendelea kusoma hawa kusimama kuwasubiri waislam waamue kuanza kwenda Shule ! Sasa waislam walipoanza kuja kustuka Kumbe elimu dunia ni jambo muhimu tayari pengo kubwa lilishajitokeza kati ya wasomi wa Kristo Na wasio wakristo hali hiyo ime endelea hadi Kesho Na hakuna namna hiyo gap itaweza ondoshwa! Kwa hiyo haina haja ya kimlaumu Mkwezi wakati nazi imeliwa Na mwezi! Pia haina haja ya kumlaumi Dobi wakati weusi wa kaniki Ndiyo Rangi Yake ! Unless niambiwe kuwa ratio ya dini hizo mbili Kwa wasomi Ni 50 by 50 hapo Hata Mimi nitaona kuna dosari ktk teuzi!


Historia hiyo ni ile unayofundishwa ujinga. Kumbuka hilo.

Msome Richard Seymour Hall, alipozigunduwa nyaraka za mabaharia aliokuwa akisafiri nao Vasco Da Gama na kuziweka wazi katika kitabu chake Empires of The Monsoon.

Anaelezea jinsi Wareno walivyoikuta Kilwa kuwa ni dola kubwa na inayojitegemea, walikuta majumba ya ghorofa wakati Ulaya hawajuwi ghorofa ni nini, walikuta nyumba ziina rangi wakati Ulaya hawajuwi rangi ni nini, walikuta marumaru na kauri za kutoka China zimepamba majumba ya Kilwa wakati Ulaya walikuwa hawajuwi marumaru ni nini, wameku Kilwa ina sarafu za dhahabu wakati ulaya walikuwa hawana sarafu za dhahabu.

Cha kwanza walichokifanya Kilwa ni kushambulia kwa mizinga na wana jiji walipokwenda kujificha lembezoni hao wareno wakaingia wakakuta makataba zina vitabu vya kila aina na vua fani mbali mbali basi wakavibeba na kuvichukuwa kwel=nye majahazi yao na ambavyo hawakuweza kuvibeba basi wakavichoma moto.

Kwa hayo machache, badi unaamini ujinga uliojazwa kuwa mzungu ndiyo aliyeleta elimu huku kwetu? Tumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu na si kukiwacha kuwa mzigo tu juu ya mabega yako na kujifunza kila ujinga unaojazwa nao.
 
= hujiulizi

Ni mimi niliyeifunguwa chichat kwa kuwa ule ni uzi wa "general knowledge", sina uhakika kama unaelewa maana ya chit chat au general knowledge.

Maana katika members wa JF wewe u finyu sana.

Dada mimi sio mchangiaji hapa JF lakini nipo na huwa napita hapa kila siku kusoma.

Kiukweli, mtazamo wako wa kidini pamoja na wakina Mohamed Said sio mzuri. Najua utapinga hili kwakua kama mko kwenye kampeni fulani ya kueneza aina fulani ya imani kua baadhi ya watu wanakandamizwa kwasababu ya imani zao za kidini. Ingawa sio kweli pia najua utapinga hili, ila ujue ya kua, unachokipanda kikikua kitaathiri nchi, na wewe pia.

Wasalaaam.
 
Kwa hiyo tukiangalia kigezo cha jinsia ktk uteuzi, Kwa hiyo wanawake waanze kulaumu kuwa hawatendewi haki Kwa kuwa teuzi nyingi huwa zinateua wanaume? Wakati historia iko wazi kuwa watoto wa kike walikuwa hawaendi Shule Kwa sababu kadhaa ambazo nyingine siyo za msingi! Lakini hiyo haindoi gepu kati ya wanaume wasomi Na wanawake wasomi! Tuanze kulaumu ooh Mbona wanaume wanapendelewa ktk teuzi! Mimi naona hiyo itakuwa husda! Acheni udini jamani!
 
Mbona unahangaika na kitu ambacho kiko wazi?

Hakika Allah..Mungu huwapa mitihan viumbe wake kwa kuwajaribu kwa mambo mbali mbali ikiwamo kuwapa madaraka...utajiri...ufakiri...maradhi..na hata vifo...

Wewe na ndug zako mnasema kuwa yesu ni mungu...sasa kama kweli hilo unaloliamin namimi nakupa jibu kwa style ya kukuuliza swali...ni mungu gan anaeweza kukubali kupewa kichapo na wanadam wake hadi kufikia hatua ya kuuwawa?

Mungu anaweza pigwa na viumbe wake kweli?
Usiniletee huu upuuzi mimi siamini kwenye dini zenu hizi za waarabu na wazungu

Nijibu swali langu ,Umesema uislamu ni dini ya Mwenyeezi Mungu , kwa maana kwamba hawa wengine dini zao sio za Mwenyezi Mungu ,sasa ni Mungu gani anakubali dini yake iburuzwe na Wakiristo ?
 
Hebu fikiria kivingine, muislam anapopata nafasi standard ya familia yake pia inapanda anaweza hudumia watu wengi zaidi hata kama ni wafamilia yake maana yake ni kuna jamii ambayo ni familia yake itapanda kiasi hivyo kunyenyua hali zao ila kama wanao chaguliwa ni wakristo tu hapo kuna jamii itabaki maskini na kuna jamii itaendelea kuwa na ukwasi
Hakika umeongea la msingi sana
 
Msilete ngonjera za ajabu ajabu

Msilete excuse za ajabu ajabu...

Hii nchi ni yetu sote na kila mtu ana haki ya kunufaika na nchi hiii

Mbona wakiteuliwa watu wa iman nyingine hususan waislam kwenye hizo positions mfano enz zile za utawala wa kikwete nyinyi mlikua mnalalamika kuwa JK ni mdini anapendelea waislam hata kama ni kweli alikuwa anawapa nafasi nyinyi?

Kama wanufaika walikuwa wakristo wenzenu familia zao kwanin nyinyi povu liliwatoka?

Kumbe mkuki kwa nguruwe tuh?
Hivi unavyopigania hivi ugali wa mtu ni nani anayepigania ugali wako kiasi hiki?
Nikuulize tu kama kateuliwa Muhammad Rashid kuiwakilisha Tanzania USA wewe unanufaikaje na maisha yake huko Washington DC?

Kaenda kuiwakilisha Tanzania kwenye nchi ya kikafiri inayochagiza mapenzi ya jinsia moja pengine nae Muhammad Rashid ni mtu wa totoz na mitungi club sana wewe kama muislamu swafi huo uteuzi wake unakunufaisha wapi wewe na hiyo dini yako ?
 
Msilete ngonjera za ajabu ajabu

Msilete excuse za ajabu ajabu...

Hii nchi ni yetu sote na kila mtu ana haki ya kunufaika na nchi hiii

Mbona wakiteuliwa watu wa iman nyingine hususan waislam kwenye hizo positions mfano enz zile za utawala wa kikwete nyinyi mlikua mnalalamika kuwa JK ni mdini anapendelea waislam hata kama ni kweli alikuwa anawapa nafasi nyinyi?

Kama wanufaika walikuwa wakristo wenzenu familia zao kwanin nyinyi povu liliwatoka?

Kumbe mkuki kwa nguruwe tuh?
Sisi hatuna muda wa kulalamika kwa vitu vya kipumbavu kama hivyo mmepewa haki ya kuchinja kwa mujibu wa dini yenu kwenye machinjio ya serikali tumenyamaza.

Mmepewa majengo ya kodi za wote tanesco mmefanya chuo chenu tumenyamaza

Mnajengewa msikiti mkubwa kwenye ziara ya kitaifa ambayo pia imegharamiwa na kodi za wote tumenyamaza

Mambo ni mengi sana mnapendelewa waislamu watu wala hata hauongei serikali iliwajaza Bunge la katiba, nssf, udom, nk lakini wala hatuongei.

Kwanza nyie ndio mtaji wa ccm mashehe wenu ndio vinara wa kueneza chuki za kidini kwenye siasa nyakati za uchaguzi wanawambia mchague ccm vyama vingine ni vya kidini alafu mnakuja kulialia hapa wakati mmemchagua wenyewe mtaisoma number tu.
 
Back
Top Bottom