Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Yule naibu katibu mkuu wa ccm anaitwa nani ?Naona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Sio huyo yule ni Rutengwe Luwhavi huyu alkuwa naibu Katibu mkuu CCM baraNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Ndio muda wake mwafaka.Siku nyingine huwa anakuwa busy ofisini akifanya kazi nyingine.kuna tatizo?
Nchimbi anatupwa mbali na siasa za Tanzania
Nchimbi anatupwa mbali na siasa za Tanzania
Ndiyo Rajab Omari Luhwavi,yule aliyekuwa RC Morogoro ni Dr.Rajabu Rutengwe.Yule naibu katibu mkuu wa ccm anaitwa nani ?
Ha ha ha ha ha haSheikh Khalifa, pitia na huku.
yule ni rajabu Rutengwe huyu ruhava nahisi ni mwingineNaona kilio cha aliyekuwa MKUU WA mkoa WA Morogoro bwana Rajabu Omary ruhava kimesikikika
Angalia namba 11...!!
Aliyemlilia magufuri amsaidie yeye ni mtoto wa maskini
Asante Mkuu ,jamaa hapo juu nadhani alichanganyaNdiyo Rajab Omari Luhwavi,yule aliyekuwa RC Morogoro ni Dr.Rajabu Rutengwe.
Mimi mwenyewe nimeshangaa au Mkulu kakosea au Msigwa kama kawaida yake People of AmericaHivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie
Geneva ni makao makuu ya UN kwa UlayaMimi mwenyewe nimeshangaa au Mkulu kakosea au Msigwa kama kawaida yake People of America
Ataandika ktk kijarida Chao ijumaaSheikh Khalifa, pitia na huku.
Kuna ofisi Geneva hata naibu katibu mkuu wa UN ofisi yake ipo Geneva.Hivi Umoja wa Mataifa upo Geneva?
Someni Kituo cha kazi no 15 mnisaidie