Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rais John Magufuli amehudhuria maadhimisho ya miaka 10 ya Mahakama Kuu nchini.
Magufuli amesema mahakama kuu ilianzishwa Januari 3, 1921 wakati Tanganyika ikiwa koloni la uingereza.
Rais ametoa pole kwa watumishi wamahakama ambao wamefariki dunia.
Pia Rais amesisitiza kwa somo la Historia kuwa somo la lazima kuwa kuna baadhi ya watu wanabeza maendeleo yaliyotokana na uhuru.
====
RAIS MAGUFULI: KASI YA USIKILIZAJI KESI IMEONGEZEKA
Akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu, Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema katika miaka ya hivi karibuni, kasi ya kusikiliza kesi imeongezeka na tatizo la mrundikano wa kesi/mashauri limepungua kwa kiasi kikubwa
Amesema, katika miaka mitano iliyopita Serikali imeanzisha Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na kufanya Divisheni kuwa nne ikiwa ni pamoja na Biashara, Ardhi na Kazi
Amesema, "Kama mnavyofahamu mwaka jana Nchi yetu imeingia Uchumi wa Kati, hivyo tutahakikisha mambo yetu yanafanana na Nchi yenye Uchumi wa Kati, sio tu kwenye Mahakama bali kwenye Taasisi zote za Serikali
Hata hivyo, Rais Magufuli ameeleza kuwa, bado kuna changamoto zinazoukabili mfumo wa utoaji Haki na Sheria Nchini, ikiwemo mrundikano wa wafungwa na mahabusu magerezani
Magufuli amesema mahakama kuu ilianzishwa Januari 3, 1921 wakati Tanganyika ikiwa koloni la uingereza.
Rais ametoa pole kwa watumishi wamahakama ambao wamefariki dunia.
Pia Rais amesisitiza kwa somo la Historia kuwa somo la lazima kuwa kuna baadhi ya watu wanabeza maendeleo yaliyotokana na uhuru.
====
RAIS MAGUFULI: KASI YA USIKILIZAJI KESI IMEONGEZEKA
Akizungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria na Miaka 100 ya Mahakama Kuu, Rais wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amesema katika miaka ya hivi karibuni, kasi ya kusikiliza kesi imeongezeka na tatizo la mrundikano wa kesi/mashauri limepungua kwa kiasi kikubwa
Amesema, katika miaka mitano iliyopita Serikali imeanzisha Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na kufanya Divisheni kuwa nne ikiwa ni pamoja na Biashara, Ardhi na Kazi
Amesema, "Kama mnavyofahamu mwaka jana Nchi yetu imeingia Uchumi wa Kati, hivyo tutahakikisha mambo yetu yanafanana na Nchi yenye Uchumi wa Kati, sio tu kwenye Mahakama bali kwenye Taasisi zote za Serikali
Hata hivyo, Rais Magufuli ameeleza kuwa, bado kuna changamoto zinazoukabili mfumo wa utoaji Haki na Sheria Nchini, ikiwemo mrundikano wa wafungwa na mahabusu magerezani