Rais Magufuli ahudhuria maadhimisho ya miaka 100 ya mahakama kuu

Rais Magufuli ahudhuria maadhimisho ya miaka 100 ya mahakama kuu

Miaka mitano hii mahakama zimetenda haki sana wahuni wengi wa chadema wameachiwa huru!
Tatizo sio lugha bali utoaji wa haki. Lugha ni sehemu ndogo sana ya tatizo halisi la hizo mahakama.
 
Naona na madaktari wataambiwa waandike dawa kwa Kiswahili
 
Mbona wakati inaanzisjwa hiyo Mahakama kuu,jina Tanzania halikuwepo.
Russia iliridhi iliyokuwa shirikisho la nchi za Sovieti. Na ili miliki na madeni yake. Imemaliza kulipa madeni hayo. Historia ya Russia inaazia toka kuwepo kwa Soviet na kabla ya Soviet. Tanzania ni hivyo hivyo.
 
Na yeye kemia zake alizosomea aandike kwa kiswahili Atom ni nini, aseme ethromycine kwa Kiswahili. Asichezee profession za watu bana.
 
Leo Magu kampandisha cheo jaji kwa kuwa tuu ameandika hukumu moja kwa kiswahili, ule utaratibu wa kupandisha vyeo mahakamani hauna maana tena mbele ya "
the rock"
Pia kwa mara ya kwanza amezungumzia watu kumsema hajui kiingereza

Kuna na yule aliemfunga Sugu!
 
Nadhani jambo la muhimu ni hao wanasheria kujifunza hizo sheria kwa Kiswahili.
 
Niliwahi andika siku za karibuni humu kwamba hakuna fani iliyokua rahisi kuwekwa kwenye kiswahili kutoka kingereza kama sheria na nikasema imechukua miaka karibu 60 watu wetu wakisikilizwa mashauri kwa kingereza kwenye mahakama zetu kutokana na kasumba ya kuenzi kizungu kwa wanasheria wetu.

Leo rais alivyokua anaelekeza wanasheria kwamba lazima sasa kesi ngazi zote zisikilizwe kwa kiswahili na taarifa za hukumu kutolewa kwa kiswahili mtu aliyeangalia matangazo ya moja kwa moja leo angeona jinsi wanasheria walivyoshindwa kushangilia kwa moyo agizo hilo na kuna mama mmoja alionekana anasikitika.

Wanasheria wetu wengi wako kwenye fani hiyo kama kazi tu kupata riziki na sio wenye moyo wa kutoa haki kwa wenye kustahili. Wanaona kingereza ni moja ya mikogo na mizungu ya kumfanya mteja kupata butwa na kuacha hakimu au jaji kuamua atakavyo.

Sasa ni amri tunataka haki iwe inasimamiwa na kutolewa kwa lugha kila mwananchi anaelewa. Pia binafsi nampongeza rais wetu kwa kumsifia na kumpongeza jaji wa mahakama kuu aliyesikiliza kesi na kuitolea hukumu kwa kiswahili kwa mara ya kwanza. Isitoshe rais akampandisha cheo jaji huyo kua jaji wa mahakama ya rufaa. Hii kwa kweli inadhihirisha jinsi magufuli alivyokua rais bora kabisa kwa maslahi ya wananchi wa kawaida.

Naona umewalalia mahakimu an wanasheria kana kwamba wao ni guilty wa kutumia kingereza kwenye kesi.

Issue ni kwamba mtaala unatumika kuwafundishia mpaka wanafika hizo level, vyote vimeandikwa kwa Kiingereza.
Wao ndio walitunga huo mtaala? Nope

Sheria walizozikuta zimeandikwa kwa kingereza wao ndio waliandika nope?

Viyabu vya sheria vyote viko in english.

Halaf unataka wa deliver in swahili. Inawezekana kabisa.. ila watafanya kazi kwa style ngumu sana.
 
Leo Magu kampandisha cheo jaji kwa kuwa tuu ameandika hukumu moja kwa kiswahili, ule utaratibu wa kupandisha vyeo mahakamani hauna maana tena mbele ya "
the rock"
Pia kwa mara ya kwanza amezungumzia watu kumsema hajui kiingereza
Nchi imekosa dira kabisa halafu watu kama hawana akili zao za kufikiri wanashagilia!
 
Hawa wanasheria wanaogopa kutumia kiswahili,wanajua fika wakitumia kiswahili. Kuna baadhi ya mafungu fulani Kuna watu watayakosa, lakini pia mipigo ya dirty money haitakiwepo kwa sababu ukijiuloza nn kinawafanya wasitumie kiswahili huoni sababu ya msingi.zaidi watakuja na cheap defense ya kiswahili hakijitoshelezi, upuuzi tu. Tangu enzi za Mwl. Nyerere ambapo population ya watz ilikua around mil 20, hadi Sasa tupo over 60mil. Bado Kiswahili hakijitoshelezi tu. Nonsense!
 
Leo Magu kampandisha cheo jaji kwa kuwa tuu ameandika hukumu moja kwa kiswahili, ule utaratibu wa kupandisha vyeo mahakamani hauna maana tena mbele ya "
the rock"
Pia kwa mara ya kwanza amezungumzia watu kumsema hajui kiingereza

Kuna na yule aliemfunga Sugu!
 
Hawa wanasheria wanaogopa kutumia kiswahili,wanajua fika wakitumia kiswahili. Kuna baadhi ya mafungu fulani Kuna watu watayakosa, lakini pia mipigo ya dirty money haitakiwepo kwa sababu ukijiuloza nn kinawafanya wasitumie kiswahili huoni sababu ya msingi.zaidi watakuja na cheap defense ya kiswahili hakijitoshelezi, upuuzi tu. Tangu enzi za Mwl. Nyerere ambapo population ya watz ilikua around mil 20, hadi Sasa tupo over 60mil. Bado Kiswahili hakijitoshelezi tu. Nonsense!

Mkuu nimecheka ulivyoongea kwa hasira. Sasa fanya hivi, hebu badili simu yako toka kiingereza, lugha kuu iwe kiswahili kisha uje ulete mrejesho.
 
Mkuu nimecheka ulivyoongea kwa hasira. Sasa fanya hivi, hebu badili simu yako toka kiingereza, lugha kuu iwe kiswahili kisha uje ulete mrejesho.
Watu wanadhani kiswahili ni hiki tunachoongea mitaani.
Kuna kiswahili deep. Ww change gmail kutoka english kuwa kiswahili.
 
Niliwahi andika siku za karibuni humu kwamba hakuna fani iliyokua rahisi kuwekwa kwenye kiswahili kutoka kingereza kama sheria na nikasema imechukua miaka karibu 60 watu wetu wakisikilizwa mashauri kwa kingereza kwenye mahakama zetu kutokana na kasumba ya kuenzi kizungu kwa wanasheria wetu.

Leo rais alivyokua anaelekeza wanasheria kwamba lazima sasa kesi ngazi zote zisikilizwe kwa kiswahili na taarifa za hukumu kutolewa kwa kiswahili mtu aliyeangalia matangazo ya moja kwa moja leo angeona jinsi wanasheria walivyoshindwa kushangilia kwa moyo agizo hilo na kuna mama mmoja alionekana anasikitika.

Wanasheria wetu wengi wako kwenye fani hiyo kama kazi tu kupata riziki na sio wenye moyo wa kutoa haki kwa wenye kustahili. Wanaona kingereza ni moja ya mikogo na mizungu ya kumfanya mteja kupata butwa na kuacha hakimu au jaji kuamua atakavyo.

Sasa ni amri tunataka haki iwe inasimamiwa na kutolewa kwa lugha kila mwananchi anaelewa. Pia binafsi nampongeza rais wetu kwa kumsifia na kumpongeza jaji wa mahakama kuu aliyesikiliza kesi na kuitolea hukumu kwa kiswahili kwa mara ya kwanza. Isitoshe rais akampandisha cheo jaji huyo kua jaji wa mahakama ya rufaa. Hii kwa kweli inadhihirisha jinsi magufuli alivyokua rais bora kabisa kwa maslahi ya wananchi wa kawaida.
Watakuja kukupinga na kukukejeli kama si kukutukana
 
Nampenda sana Rais wangu Magufuli kwa uwazi wake na ukweli, hana unafiki wa kumun'unya maneno anapo ona ukweli, sio mnafiki. wakuu wa mihimili mingine waige tabia ya Mh. Rais.

matumizi ya Kiswahili ni kwa manufaa ya Watanzania. hongera sana kwa Jiji aliye pandishwa kwa kutumia kiswahili kuandika hukumu, hakika Jaji huyu ni mzalendo wa kuigwa, Mungu amjaalie siku moja awe Jaji Mkuu.

Na ile ndo ingrish anayojua ??? Dah ipo kazi.... kwi kwiiii
 
Watu wanadhani kiswahili ni hiki tunachoongea mitaani.
Kuna kiswahili deep. Ww change gmail kutoka english kuwa kiswahili.

Ahaaa ahaaa kabisa boss, kitaongelewa kiswahili watu watabaki wanaangaliana, maana kuna baadhi ya maneno itabidi yatoholewe toka kiingereza kwenda kiswahili, hapo ndio patachimbika. Sio wazo baya kutumia kiswahili kama sehemu ya kuanzia mbali ya changamoto zake, bali tatizo kubwa la mahakama ni ucheleweshaji wa kesi, na utoaji wa haki.
 
Back
Top Bottom