kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Miaka mitano hii mahakama zimetenda haki sana wahuni wengi wa chadema wameachiwa huru!
Tatizo sio lugha bali utoaji wa haki. Lugha ni sehemu ndogo sana ya tatizo halisi la hizo mahakama.