Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio

Rais Magufuli aiagiza Wizara ya Nishati kumrejesha kazini mara moja aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, Dkt. James Mataragio

Mifumo yote ya mafuta na gesi hii nchi na geology yake ina mkono wa huyo jamaa. Ni akili kubwa maana alikua anafanya kazi kwenye makampuni makubwa Duniani.

Petrobras ya Brazil, Columbia, Canada, Japan, Phillipines, na nchi kibao. Asingekua brain unafikiri angefanya kazi huko?
Ilikuwaje board haikuona au kudthamini brain hiyo?
 
Nadhani JK hivi sasa atapumua! Manake kaenda SA kumchukua yule mama aliyekuwa TIC, kaja bwana Mkubwa kamtema! Huyu nae alimtoa kwenye kazi yake mzuri tu US, miaka miwili baadae, akakutana na fitina za wabongo!

Kwanza hapa JPM asijikoshe, na nimeona misukule yake hapa ikijifanya kusifia! Ni taasisi nyingi tu zilitajwa kufanya wrong doing na CAG, ni kwanini mkono wa sheria uliwakumba TPDC peke yake?! Tusisahau kwamba, ni huyu huyu JPM ndie alitangaza hadharani kwamba gas yote tumeibiwa, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa kufikishwa mahakamani kwa Matagilo kuna mkono wake! Yaani ni yale yale unasimama hadharani na kusema ana ushahidi kwamba polisi wale walikula rushwa na kusindikiza wezi wa dhahabu, 6 months later, yule yule aliyesema ana ushahidi, hatimae anatangaza polisi wale wale aliosema wamekula rushwa, hivi sasa waachiwe huru na kurudishwa kazini mara moja!
Inaitwa recycle bin........yaani unafukunyua kweny uchafu uliotupa Jana na juzi unapuliza halafu unatia domoni....hahahahahaa bhana vevee, politics tamu sana.
 
Ila jamaa ni mstaarabu sana. Wengi katika situation yake wangetafuta passport nyingine na kuondoka nchini. Mengine hayafai kuandika humu acha niishie hapa.

Alikabidhi passport kweli....takukuru walimkalia vibaya sana! Yani nilikuwa namuona mpaka nahuzunika!

Pale TPDC, gesi inayotoka mtwara na inatumika pale kinyerezi kwa tanesco, kinyerezi 1&2, its only 7%!

Niliposikia hii nilichoka, hivi stiglers bwana mkubwa aling' ang'ania ya nini?
 
Hii auto correct Mkuu inanipa shida sana kwenye lugha zote mbili hasa nikiwa sina muda wa kuhakikisha nilichoandika kama kiko sawa. Kuna siku tulikuwa tunachat na mrembo humu pm tunaheshimiana sana basi nimeandika neno la Kiswahili liko sawa kabisa nishatuma ndiyo naona ni tusi kubwa sana nikabaki kuomba samahani na mrembo nimuelewa haikuwa shida.

Kaka BAK umenifurahisha sana na who is to be blamed. Umetafsiri wa kulaumiwa kama unavoandika kwa Kiswahili.
 
Umewahi kusikia vilio vya wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara kote nchini?

Huyo ni mnafiki mkubwa. Mwaka juzi alitoa kauli Serikali inaendeshwa kama gari bovu. Siku chache baadaye akaitwa Ikulu kutoka kwenye kile “kikao” akamwaga misifa ya kufa mtu kwa huyo dikteta hivyo huyo babu usimsikilize na unafiki wake.

Muulize Mzee Ruksa yeye kayaita ni muujiza wa miaka3 Short and clear.
 
Umewahi kusikia vilio vya wakulima, wafanyakazi na wafanyabiashara kote nchini?

Huyo ni mnafiki mkubwa. Mwaka juzi alitoa kauli Serikali inaendeshwa kama gari bovu. Siku chache baadaye akaitwa Ikulu kutoka kwenye kile “kikao” akamwaga misifa ya kufa mtu kwa huyo dikteta hivyo huyo babu usimsikilize na unafiki wake.

Leo aliitwa kwenye kikao gani kabla ya kumu endorse JPM.
 
After what he went through I don’t think he’ll stay. Probably will make a follow up on his unpaid salaries and other benefits and run away as fast as he can and his wife (and kids) suffered a lot and I don’t think she’ll advise him to stay.

lost id,
Unafikiri baada ya yaliyo mkuta bado atakuwa na moyo ule ule katika kuitumikia hiyo nafasi ?
 
Yupo pia Mramba wa Tanesco nae hakutendewa haki
Hii auto correct Mkuu inanipa shida sana kwenye lugha zote mbili hasa nikiwa sina muda wa kuhakikisha nilichoandika kama kiko sawa. Kuna siku tulikuwa tunachat na mrembo humu pm tunaheshimiana sana basi nimeandika neno la Kiswahili liko sawa kabisa nishatuma ndiyo naona ni tusi kubwa sana nikabaki kuomba samahani na mrembo nimuelewa haikuwa shida.
 
Kabisa aisee nilimuonea huruma sana yule jamaa hakuwa na kosa lolote ila akaonewa tu katika tumbua tumbua iliyojaa uonevu. Kuna dada ambaye mara nyingi alikuwa anamkaimu Mramba naye pia alionewa hadi ikasababisha kuathiri afya yake.

Yupo pia Mramba wa Tanesco nae hakutendewa haki
 
Kabisa aisee nilimuonea huruma sana yule jamaa hakuwa na kosa lolote ila akaonewa tu katika tumbua tumbua iliyojaa uonevu. Kuna dada ambaye mara nyingi alikuwa anamkaimu Mramba naye pia alionewa hadi ikasababisha kuathiri afya yake.
Sofia mgonja
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
I am so happy. Tulikua tunapoteza hii brain kwa sababu za kijinga kabisa.

Bodi ya mhongo ilikua ya kipumbavu kabisa.

Hivi unamuachaje Dr. Mataragio nje ya mambo ya gesi na mafuta?

Dokta kapige kazi. Uadilifu wako umeonekana baada ya yote.
Ukiona hivyo kuna watu walijipanga kupiga. Tanzania ina wezi waliosoma na wanaojiita wazalendo. Hawana aibu kwenye wizi wa mali ya umma, tena kwa kutumia sheria
 
Ilikuwaje board haikuona au kudthamini brain hiyo?
Board ilikuwa inaongozwa na Professor uchwara kwa jina Prof Bukurura yeye alikuwa anaendesha vikao vya Board kwa kupitia agenda alizokuwa anaziita habari za msibani yaani majungu.Sasa hivi bado yuko Board ya PPRA sijui kama nako huku anapeleka ushuzi wake ,
 
Back
Top Bottom