johariekessie
New Member
- Nov 19, 2020
- 2
- 3
Mbona huna fact mjombaTusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
Si ingevunjwa tu basi na kuziacha h/mashauri zingine zikiendelea? Kwa nini Ilala ipandishwe hadhi kuwa "appex" hlmashauri?Safi sana,
Ile Halmashauri ilkua imekaa kipigaji pigaji.
Maana hata kueleweka ilkua haieleweki.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahaYaani Mkazi wa Osterbay, Masaki, Mikocheni na Mbezi Beach wanaishi Manispaa wakati wakazi wa Ulongoni, Gongolamboto, Buguruni kwa Mnyamani, Chanika wako Jiji la Dar[emoji2][emoji2] Tutaelewana tu hata kama itachukua muda ila mwishoni tutaelewana.
Mikumi Sasa siyo Mitano tena.
Ahahahahaha eti Chanika na MikocheniHizi sarakasi ngoja tuone mwisho wake, Chanika ni Jiji, Mwenge, mikocheni, Masaki, Oysterbay ni Manispaa!
Hii move ina malengo fulani ya hovyo sana lakini mahesabu yake wameyakosea mno!
Mkuu una uhakika kwamba uamuzi huu umepunguza gharama ?Hapa nimemuelewa rais alichofanya nikupunguza Gharama za uendeshaji wa iliyokuwa halmashauri ya jiji wakati wanaounda hilo jiji wapo hapahapa ilala ,kinondoni na temeke.
Bado hakuna tijaKupunguza wingi wa halmashauri. Badala ya halmashauri sita (jiji na manispaa tano) sasa zinakwenda kubaki tano tu.
AhahaaaahaaaaNdio mkuu , ila niko nje ya jiji huku Tandika Mwembeyanga
Kumbe Meya wa Jiji anateuliwa kama Mkurugenzi duu kali
Kabisa kwa kiasi fulani japo si sana.Mkuu una uhakika kwamba uamuzi huu umepunguza gharama ?
Bandari iko Temeke au kigamboni? Au ni Ilala
Kwa vile upo ilala auTusipotezeane muda na wala tusibishe kwa hili Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli yupo sahihi kwani Ilala ndiyo Dar es Salaam na Tanzania vile vile. Na hata Watoto wa Mjini wote wapo Ilala na siyo Kwingineko ambako kumejaa tu Washamba na Malofa watupu japo wenyewe ( wao ) wanajiona Wajanja.
Sasa si angefuta hiyo tu iliyokuwa inapigaSafi sana,
Ile Halmashauri ilkua imekaa kipigaji pigaji.
Maana hata kueleweka ilkua haieleweki.
Sent using Jamii Forums mobile app