Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Endelea kutega sikioSio kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kutega sikioSio kweli
Ahaaa. Hujui kwa nini Halmashauri ya jiji la Dar imevunjwa?Sababu za mtu mmoja kuivunja Halmashauri ya jiji unazijua ? basi ndio hizohizo tu
Madoni wanaishi Wilayani na siyo Jijini?Bakhresa anaishi wapi?
Diamond anaishi wapi?
Maraisi wastaafu wanaishi wapi?
Mwamunyange anaishi wapi?
Nyumba za mawaziri ziko wapi?
Mo anaishi wapi?
Acha ushabiki ilala ni ofisi tu Ila madoni wote makazi kinondoni
Ziweke hapaAhaaa. Hujui kwa nini Halmashauri ya jiji la Dar imevunjwa?
Uko mtupu mzee, hebu soma taratibu hapo juu au hujawahi kusafiri huko ulimwenguniHizi sarakasi ngoja tuone mwisho wake, Chanika ni Jiji, Mwenge, mikocheni, Masaki, Oysterbay ni Manispaa!
Hii move ina malengo fulani ya hovyo sana lakini mahesabu yake wameyakosea mno!
Bila shaka kuanzia janaMadoni wanaishi Wilayani na siyo Jijini?
Kutetea hii kashfa labda ujing'oe ubongoUko mtupu mzee, hebu soma taratibu hapo juu au hujawahi kusafiri huko ulimwenguni
Kazi za SerikaliKutetea hii kashfa labda ujing'oe ubongo
Pondaponda chupa unywe.Alishawambia kuwa kwa sasa jiji ni Chato na Dodoma tu na atahakikisha Dar es Salaam unakuwa kama mikoa mingine tu.
Kwanza cha kujiuliza hivi kwa sasa tuna serikali za Mitaa? Kwa kawaida serikali za mitaa mwenye mamlaka nazo ni waziri mwenye dhamana wizara ya TAMISEMI amabyo inapaswa kuwa chini ya ofisi ya waziri Mkuu. Sasa hili la Kuichukua TAMISEMI na kuiweka ofisini kwa Rais siyo sawa hata kidogo. Ofisi ya Rais ni Serikali Kuu. Unaiwekaje ofisi inayoshughulika na Serikali za Mitaa ndani ya Mamlaka ya Serikali Kuu?
pwani inaukubwa wa 32,547 km square,na mkoa wa dar una 1800 square km. Nikitu ambacho hakiwezekani kuupunguza zaidi.kuna mpango wa kuihamishia Temeke mkoa wa Pwani
Hivi ujuaji huu unatija gani kwanini msiketi mkaulizaAlishawambia kuwa kwa sasa jiji ni Chato na Dodoma tu na atahakikisha Dar es Salaam unakuwa kama mikoa mingine tu.
Kwanza cha kujiuliza hivi kwa sasa tuna serikali za Mitaa? Kwa kawaida serikali za mitaa mwenye mamlaka nazo ni waziri mwenye dhamana wizara ya TAMISEMI amabyo inapaswa kuwa chini ya ofisi ya waziri Mkuu. Sasa hili la Kuichukua TAMISEMI na kuiweka ofisini kwa Rais siyo sawa hata kidogo. Ofisi ya Rais ni Serikali Kuu. Unaiwekaje ofisi inayoshughulika na Serikali za Mitaa ndani ya Mamlaka ya Serikali Kuu?
Ni malengo gani hayo ya hovyo? Tuhabarishe tafadhaliHizi sarakasi ngoja tuone mwisho wake, Chanika ni Jiji, Mwenge, mikocheni, Masaki, Oysterbay ni Manispaa!
Hii move ina malengo fulani ya hovyo sana lakini mahesabu yake wameyakosea mno!
Hakuna ajabu yoyote kwakweli ila ajabu ni kwako vipi ushindwe kujifunzaKutetea hii kashfa labda ujing'oe ubongo
Uzi unakuja , naomba nilindweNi malengo gani hayo ya hovyo? Tuhabarishe tafadhali
Wewe jibu swali. Tangu lini mambo ya Serikali za Mitaa yakaamriwa na Kiongozi wa Serikali Kuu na siyo mwenye dhamana ya Serikali za mitaa?Pondaponda chupa unywe.
Meza sumu unywe.