Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Wakuu jipeni muda kidogo msome comments kutoka mwanzo hadi mwisho, hakika mtagundua tatizo kubwa la kielimu tulilo nalo Africa.

Nadhani bado hatujajua tunataka nini sisi Kama waafrica, na pia hatuna maono yoyote kwamba hii Africa yetu itakuwaje hapo baadae.

1; wanao itwa wasomi bado hawaja elimika na wataitumia vipi hiyo elimu walio nayo kwa maendeleo ya nchi zetu bado ni kitendawili kizito.
Mtanisamehe kwa kusema kuwa bado waafrica tunashikiwa akili bado akili zetu hazijawa huru.

2; Mifumo ya Utawala na watawala wenyewe ndio adui mkubwa wa maendeleo wa nchi zetu.
Naweza kusema kuwa hatuna viongozi wenye uchungu na nia ya dhati ya kupeleka mbele Africa katika ulimwengu wa walio hai.
Na hao wachache wenye maona thabiti wanakumbana na nguvu kubwa kutoka ndani ya waafrica wenyewe na kutoka nje inayowarudisha nyuma na kushindwa kuendelea mbele.

3; Tumegawanywa mafungu mafungu, tumekosa kaulimoia,msimamo mmoja, lengo moja, matamanio, mbinu, ushawishi n.k kuanzia kwenye ngazi ya taifa moja moja hadi bara zima.
Na hii imesababishwa na Utawala mbaya,Upinzani usio na tija, uchu wa madaraka, Umasikini, nguvu kutoka nje na Elimu isiyo na matokeo chanya.
Mungu alisema ametuumba tuje kuitawala dunia lakini kwetu sisi waafrica ni tofauti hatuitwali dunia bali dunia inatutawala sisi.
 
Marekani ndo nani?

Yeye anaweza akajibu hoja zetu?

Yaani Marekani ndo kawa Mungu wenu?
Yeye ana utakatifu gani?

Hivi ukiongea masuala ya ukiukaji Haki za Binadamu, huyo Marekani anaweza hata kusogeza pua yake?

Anaweza hata kujilinganisha na Tanzania?
Akili za kitumwa hizo kamanda!

Mnajipendekeza hadi mnatia kichefuchefu.
Marekani anahangaika na corona kama mataifa yote mengine muda huu.

Sidhani kama wao wanawaza kusikiliza rais wa Tanzania anasema nini muda huu.
 
Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana,

Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta mlejesho? kwanini hawakamatwi watekaji? wauaji na wanaopiga risasi?

Eti hoja ni kwa vile kadhibiti madini yasiibiwe hoja ya kipumbavu kweli nawapa somo tu wafuasi mnaoamini izi propaganda kutoka Ikulu ya Magufuli, hakuna nchi iliyodhibiti rasilimali zake kama Botswana lakini huwezi sikia wanapambana na upinzani.

Na huwezi sikia Marekani ikiwanyoshea kidole halafu eti unasema umedhibiti madini yapi yale ya twiga 84/16 upo serious kweli? unachekesha kweli ! jibu hoja za Marekani.

Umeyakoroga mwenyewe yanywe mwenyewe hakuna atakayekubeba uvune ulichopanda nakuhakikishia uchomoki uchaguzi mwaka huu.
kama umedhibiti madini mbona budget karibu zote za miaka mitano ya utawala wako zinatekelezwa chini ya asilimia 40% na mbona wafanyakazi hawajapandishwa mishahara kwa miaka mitano yako. kawadanganye vilaza wezako walio kuuzia PHD pale mlimani lakini sio watazania.
 
Ogopa sana mtu anayekwenda madhabahuni kila siku na makamera halafu afanyayo ni tofauti na mafundisho ya Mungu.
Mtu huyo ni wa hatari maana hamuogopi hata mola kwani anamtapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
Ogopa mtu akienda msikitini anatawaza anaswali, akienda kanisa la Roma anasali na kupokea sakrament taktfu. Akienda kwa wasabato anasali, akienda kwa walokole, anapokea mafuta ya upako. Akienda kwa babu anakunywa kikombe. Na akienda kwa sangoma anapiga lamri. Ila kule kwa isangoma haendagi na makamera wakati ndyo imani yake kuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali dogo tu plz naomba jibu hivi Magu anawajibika kwa marekani hadi ajibu hoja zao?

Acha maswali ya kitoto!
Hivi Ile Dollar milioni 500 za kuendelea Elimu ya sekondari hususan watoto wa kike wanaopata mimba unajua imetoka wapi? Hiyo Fedha Ina masharti ya Wamerekani! Kama una akili angalao kidogo utakuwa umepata picha....!
 
kama umedhibiti madini mbona budget karibu zote za miaka mitano ya utawala wako zinatekelezwa chini ya asilimia 40% na mbona wafanyakazi hawajapandishwa mishahara kwa miaka mitano yako. kawadanganye vilaza wezako walio kuuzia PHD pale mlimani lakini sio watazania.

Kuna Bajeti ya Afya kwa mwaka 2019/20 imetekelezwa kwa 15% tu!!
Serikali isiyojali Afya ya Wananchi wake ni sawa na muuaji!
 
Mnatia kichefuchefu kumuona marekani kama ndo standard unit wa kulinda haki za binadamu wakati dunia nzima inajua the opposite is true.
Kauwa wangapi inocent kuliko hata Lisu?
Leo akikohoa tu mnakimbilia JF kuanzisha thread kama vile Mungu kakohoa?
Mengine mnajidharilisha tu makamanda.

What is your comment on the 500 million USD grant from the American people?
 
Kikundi kidogo kinaongoza kwa manufaa yao wakijificha ktk kivuli cha uzalendo
 
Back
Top Bottom