Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara


Boss serikali ya sasa waziri lazima uwe mtendaji. Sio kama ulivokalili kwamba waziri ni siasa. Lazima ujue unaends kusimamia nini katika hiyo sekta. Sio unachagua chagua hata vimada katika sekta nyeti unategemea maendeleo kwa sababu ni nafasi ya kisiasa. Na kuhusu kuteuwa ni matakwa yake kikatiba hakuna mtu atakayemshinikiza hata alipoapishwa siku ile ile angeteuwa wote 10, hakuna tatizo.
 
Dr ndalichako usituangushe sasa wengi tunategemea makubwa kutoka kwako.futa hayo madivision five,brn zinadumaza watoto,mitihani ya dini waachieni mashehe na mapadri watarajiwa.
 

Mm nilidhani amewafelisha physics au math kumbe somo lenu la IS
 

Ulitaka ateuliwe bibi yako
 
Tumpe nafasi huyu na tumuunge mkono mama akafanye kazi tuliyokuwa tunataka, na ni mapema sana pia kuanza kukosoa. Nakumbuka wapo watu maarufu humu walimzungumzia Mh. Rais alipokuwa mgombea na kumuita mtu asiyekuwa na maono na wengine walifikia kumuita 'just a mere manager' na watu walifurahia sana, sasa sijui wale walioandika vile wanayakumbuka yale maandishi yao tena. Rais anajua kwanini amemteua na nafas ya katibu mkuu kwa Mchome muda unahesabika tuvute subra.
 

Wewe ni GT, reasoning yako nimeikubali!
 
kote mi namuunga mkono , waliofanya vibaya huenda haikuwa kwa matakwa yao, JPM kawaweka weledi na naamini uadilifu ukitumika kuwaongoza tutafika tunakokuota.

Tugangeni yajayo TUFANYE KAZI!

Nape ana weledi upi wa kuongoza wizara zaidi ya itikadi za lumumba
 
Katika teuzi zote za Magufuli,
Hii ya wizara ya elimu ni bora zaidi,sababu hata wananchi walikua na kiu ya kumpata waziri kama huyu Mama

Hivi huyo ndalichako amefanya nini alipokuwa baraza la mitihani?mitihani kilasiku ilikuwa inavuja na kuwafanya watoto wa wenye noti kupata mtihani kabla ya kuingia ndani ya chumba cha mitihani
 
Watoto wa kikristo wakitoka shule anapumzika kidogo anaenda tuition yule wa kiislam anaenda madrasa kukariri kiarabu na mistari ya quaran mitihani ikija "oooh tumefelishwa" wakati mwingine kuitwa dini ile ni tusi kubwa sana.
 
JF isifungwe, naona mkuu hua anapitia hapa na kuchukua ushauri; Alipitiaga hapa issue ya wizara ya fedha na kesho yake akatia timu pale wizarani na Ndalichako nae pia, tulimpendekeza humu na hatimae rais ametusikia. Big up Magu!
 
Hongera ndalichako. Umepigiwa kampeni sana Jf apa ...nakunote kama mbunge wa jimbo la jf. Fanyia kazi matatizo ya elimu. Mbarawa safi kule ziwani isingekuweza, uku uchukuzi poa, ila sitakusahau kwa kupunguza MB zetu.
 
Walimu wamelipwa stahili zao nyingi,wafanye kazi. Niko Babati,wazazi wameamua kushughulika na waalimu wazembe,watalala nao mbele,kipimo matokeo ya mitihani ya taifa na za ujirani.Wengi wao wanashughulika na biashara zao muda wa serikali(kazi). Kwa huyu mama kitaeleweka,hapa kazi tu.
 
Fuatilia vizuri wakati wa Ndalichako mtihani haukuvuja labda kama wewe ni miongozi wa watumishi wa Necta mliokuwa mnavujisha kwa siri.
 
Ila ccm watu wameisha ..ivi mwezi mzima rais anpekua ...watu hakuna!! Kwa sasa itakuwa nusu ya serikali haitokani na chama. Katiba mpya inatekekezwa kiaina. Safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…