Mbona Makame Mbarawa tayari yeye ni waziri wa Maji na Umwagiliaji, inakuwaje tena awe waziri wa mawasiliano na uchukuzi?
Mmh hii kitu ni uongo kabisa.
mwisho wa big result na mwsho wa madistinction haaaa
Waislam mmekwisha kwann Mkuu?
Wanajf wengi walimpendekeza Dr Ndalichako kuwa waziri wa elimu na Mh Rais amewasikia pia. Huyu mama aliwahi kuwa katibu mkuu wa necta. Hongera sana fanya kazi huko kumeoza kabisa.
Unajidanganya hadi wewe mwenyewe. Prof Makame Mbalawa alishachaguliwa kuwa waziri wa maji na umwagiliaji halfu wewe unasema amemteua kuwa waziri wa uchukuzi. Mmmmhh!! Jiangalie wewe
Mbona Makame Mbarawa tayari yeye ni waziri wa Maji na Umwagiliaji, inakuwaje tena awe waziri wa mawasiliano na uchukuzi?
Mmh hii kitu ni uongo kabisa.
Unajidanganya hadi wewe mwenyewe. Prof Makame Mbalawa alishachaguliwa kuwa waziri wa maji na umwagiliaji halfu wewe unasema amemteua kuwa waziri wa uchukuzi. Mmmmhh!! Jiangalie wewe
Ni kweli kabisa, Maghembe has been a failure everywhere he goes!! Sijui nini kimemtuma kumchukua huyu bwana.
JF watu wana ubishi mweeee......
Mkuu kwani hawezi kuhamishwa??