Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Mbona Makame Mbarawa tayari yeye ni waziri wa Maji na Umwagiliaji, inakuwaje tena awe waziri wa mawasiliano na uchukuzi?
Mmh hii kitu ni uongo kabisa.
Ni kweli imetangazwa kuwa kahamishwa wizara aliyokuwa mwanzo