zahirshuffernoor
Senior Member
- Sep 29, 2015
- 165
- 26
huyo ndalichako hafai kupewa wizara hiyo
Ndalichako ni mdini sana asipodhibitiwa tumekwisha wallah nakwambia
huyu mama anachukia waislam balaaa
Watu hawaamini wakati imetangazwa rasmi
Ndalichako aache kuleta uroma na udini uliopindukia wizarani,vinginevyo anataaluma nzuri.
Jicho la Waislaam linamfuatilia hasa kipindi hiki ambacho Ponda Issa Ponda yupo huru.
Wana JF wengi walimpigia debe huyu, lakini soon utaona critics zinavyomiminika
wanabisha wasichojua...
Shemeji mzima