Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

Ndalichako poa

Kwa Naibu wake, Eng. Stella Manynya, ameboronga. Pamoja na kuwa TAMISEMI hajui matatizo yanaoikabili Elimu.
Wizara hii haina wanasiasa wakongwe, japo Ndalichako anaweza kuwa na ushawishi kwenye Cabinet
 
Unataka ushahidi gani mtu mpaka alifukuzwa baada ya kubainika mbinu zake za kuwafelisha waislam. Maajabu ni kwamba bin Adam hawezi kubana mipango ya mwenyezi mungu.

Hii Kali..unataka kusema hamna wakristu waliofeli!!!
 
Huyu mama analalamikiwa kwa miaka 20,halafu anarudishwa palepale,ina maana hakuna wasomi wengine wa kukamata iyo nafasi?
 
Arudishe mitihani darasa la nne na kidato cha pili wastani angalau 30
 
Ni kweli kabisa, Maghembe has been a failure everywhere he goes!! Sijui nini kimemtuma kumchukua huyu bwana.

Tena wizara nyeti mama Mali asili! Si bora angempa ubunge kagasheki amrudishe hapo kuliko huyu failure!
 
tkitu kilichomuondoa Joyce Ndalichako ni kuwa hakuwatendea haki vijana wa kiislamu katka somo la Islamic knowledge.

tujikumbushe

BARAZA la Waislamu Tanzania (Bakwata)
limemtaka Katibu Mtendaji wa Baraza la
Mitihani (Necta), Dk Joyce Ndalichako
kujiuzulu wadhifa huo akimtuhumu
kuwafelisha mitihani ya dini ya Kiislamu
wanafunzi wa kidato cha sita wa dini hiyo.
Kauli hiyo ya Bakwata imetolewa na Mufti
wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban
Simba katika mkutano wake na waandishi
wa habari jijini Tanga jana kuelezea
msimamo wa Waislamu nchini kuhusu
matokeo ya kidato cha sita, hujuma
inayoandaliwa kufanyika katika zoezi la
sensa pamoja na vurugu zilizotokea
Zanzibar.
Kuhusu hujuma ya mtihani, Mufti Simba
alisema kuwa matokeo ya mtihani ya dini
hiyo ya Kidato cha Sita yaliyotangazwa Mei
Mosi 2012, yaliwashtua wanafunzi Waislamu
waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya
kiislamu (Islamic Knowledge), ambayo
yalionyesha kuwa asilimia 70 walifeli kwa
kupata daraja F.
Alisema matokeo hayo yalionyesha kuwa ni
asilimia 30 ndiyo waliofaulu kwa kupata
daraja D, ambapo waliopata alama za juu
kabisa nchi nzima ni wanafunzi saba
pekee.?Matokeo haya yaliwashtua wanafunzi
na wazazi, taasisi mbalimbali za kiislamu
zilimua kukata rufaa kuonyesha
kutokubaliana na matokeo hayo, hatimaye
baraza hilo
likabaini kuwa lilikosea na likaidhinisha
kutolewa matokeo
mapya,? alisema Mufti Simba.
Tayari Ndalichako ametoa ufafanuzi kuwa
kosa lililotokea akisema si hujuma bali ni la
kiufundi lililotokana na kubadili utaratibu wa
kufanya mitihani mitatu ya somo hilo kuwa
miwili, lakini mfumo wa ujumlishaji maksi
ulisahaulika kubadilishwa.
Ndalichako alilieleza gazeti dada la
Mwananchi, The Citizen, kuwa awali
matokeo ya mitihani mitatu yalikuwa
yanajumlishwa na kugawanywa kwa tatu
kwa kutumia mfumo wa kompyuta, ili kupata
alama rasmi za mtahiniwa, lakini safari hii
zilipojumlishwa alama za mitihani miwili ya
somo hilo ziliendelea kugawanywa kwa tatu
badala ya mbili kimakosa.

magufuli naona unafanya mambo bila tahadhari ya. kuamsha hisia zilizolala

argue don't shout

Ndo hapa..kosa la system ya computer inamhusuje mama Ndalichako if not IT ishu..watu bwana
 
Ni lini waislamu wamewahi kufaulu mitihani? Ninyi si mnakremu kiarabu feki cha kruani ? Endeleeni wenzenu wanatusua. Mtabakia kulalama na udini kusoma hamsomi.. Angalia orodha iliyotua kwa JPM ya wauza unga. Kisha nipe jibu kwann waislamu?

Uwiiiiiiiiiii
 
Hongera mama ndalichako bado una nafasi ukiamua sasa ya kutenganisha elimu na siasa uchwara!
 
Back
Top Bottom