Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

mods acheni tunataka rais akipita apate maoni yetu.
Mimi kama RAIA na kwa mujib wa katiba ya muungano naruhusiwa kutoa maoni yangu, pia Nina haki kuuungwa mkono kwa hoja yangu.

Mimi sikubaliani na uteuzi wa Joyce ndalichako kutokana namna alivofanya katika baraza la mitihani kwa kufelisha baadhi ya wanafunzi waliosoma Islamic knowledge iliopelekea kuundwa tume bayo hadi Leo hatukapata majibu take
" Mimi magufuli nitatenda haki, sitabagua MTU kutokana na chama chake,kabila lake,dini yke,ukanda wake"
sasa mimi kama mwananchi nakuletea malalamiko kwako mh rais juu ya uteuzi wa Joyce Ndalichako
 
Hii ndo inaitwa,shukrani ya punda ni mateke,,ha ha ha,subiri oktoba 2020
 
Mimi nimeangalia ITV toka habari inaanza mpaka sasa mbona sijaona hii kitu?
Kuna ITV tofauti na hii ya Mengi hapa Tanzania?

Duh pole,, utakuwa mtaalamu wa kuzungusha mikono wewe... Maana kawaida hamsikilizzagi habari ambazo hazina jina la lowassa,, mahaba niue...
 
Mi nimemwelewa JPM, kwa ajili ya kuharmonize mambo ulikuwa ni lazma apatikane MTU kutoka kaskazni especially Kilimanjaro so hakuwa na namna
 
Dr.Mpango mwaka wake huu.kapewa TRA hata mwezi hajamaliza kapewa fedha
 
Ndalichako ndiye mtu sahihi ktk wizara hiyo,big up mama
 
Hapa utapasi kwa jasho lako, kubebana bebana hamna! Mtoto aende kupata formal edication, masomo ya madrasa hayatapewa kipaumbele!
Kubali tu matokep, huyu mama ni jembe!
 
Wakuu kama tulivyoona mkuu kamteuwa Dr Ndalichako ambaye alikuwa katibu mkuu wa Necta baada ya kujiuzulu.

Ingawa haikuwekwa wazi, ila ni kweli Ndalichako alijiuzulu baada ya kukaidi kushusha grade za matokeo mwaka 2012 pale ilipo onekana wamefeli sana.

Hizi grade za mauwa za kumfurahisha Kikwete na kawambwa zimetuvunjia heshima mtaani.

Mtu Una B ya physics iliyokuwa inaanzia 64-75 lkn leo vitoto vya digitali akipata 50 nayo ni B afu analeta zarau.

Tunaomba Dr Ndalichako ufanye kile kinnachopaswa kufanywaa.
Rejesha heshima iliyopotea katika elimu.

Asanteeeee...wabongo hatuelewagi
 
Back
Top Bottom