Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

Ila wadau naona mnamsifia mama Joisi,lakini kuna mambo lazima tuyaangalie kwa mapana
KWANZA:Joisi anakuja wizarani tayar ameshaingia kwenye siasa,nafasi anayoshika ni ya kisiasa na si ya kiutendaji teeeena,so utendaji wake utakua ni wa kisiasa siasa,ni afadhali angekua Katibu Mkuu wa Wizara.
PILI:Joisi anaingia wizarani tayar kuna sera mbovu kabisa ya elimu ya mwaka 2014,so anakuja kuitekeleza sera mboooovu kabisa ambayo ukweli haina tija kwa mustakabali wa elimu Tanzania,je ataleta maajabu chini ya sera hii?tukukumbuke hii sera imepitishwa mwaka jana tu na hata wadau weengi wa elim bado hawajaijua,hiko ni kisiki kingine.
TATU:Joisi anakuja wizarani tayari viwango vya ufaulu kwa sekondari vimeshapangwa,je atavibadili tena?je mabosi wake watakubali? Ambao ni (CCM na MAMLAKA ZA JUU YAKE).
Nne:Mtihani wa kwanza kwa Joisi ni suala la ada elekezi kwa shule binafsi,sote tunajua hizi shule binafsi nyiiingi ni za hawa tunaowaita vigogo hukohuko kwenye system,je Joisi atafanikiwa hilo?
TAno:Ili Joisi afanikiwe yule profesa pale wizarani aondolewe kwanza (Katibu mkuu wizara ya elimu) maana haendani na spidi ya serikali hii,na ni chanzo cha changamoto kadhaa,lakini poa wizara ya elimu jamani ingepaswa kuwa na manaibu wawili,hilo halikwepeki kabisa,maana kuna.mambo ya shule za awali (nasari na praimari),kuna elim sekondari,kuna vyuo vya ufundi na ualim na kuna vyuo vikuu,pagumu hapo!!!
MWisho,namtakia kila la kheri mama Joisi,lakini namkumbusha now ameshakua mwanasiasa kamili,NEKTA ilikua taasisi ndogo nowana wizara,asije kuharibu hata ya NECTA tukayasahau

Kwa muono wangu wa harakaharaka mawaziri wa JPM wana power sio kama wa awamu iliopita ambapo makatibu wakuu ndio walikuwa na sauti.
 
Wengi wanamatumaini na wewe Mama Ndalichako, maana umeongelewa humu kabda ya uteuzi, na hii inatokana na utendaji wako ukipokuwa NECTA. Elimu yetu imeshuka sana hatutaki bora elimu, tunataka elimu bora. Vyuo vyetu vitoe wahitimu bora, Kuna mengi ya kufanya, Ila naona ilianza na swala LA kubadirisha mitaala itakayo leta tija na matokeo chanya "elimu bora" ambao ndiyo kiu ya wananchi.
 
mnafurahia kwa sababu yule mama ni mdini balaa, mnajua atakachowafanyia wanafunz wa kiislam
Uongo ni dhambi. Prof Ndalichako hana upendeleo wowote. Mme wake mislay yeye mkatoliki. Tusubiri maboresho katika elimu.
 
inajua maana ya Ordinary Level?
Elimu dunia inakupa hunia inakwendaje
ww unataka kusomea ukunga tu hata hujui Jua linatokea wapi au kwanini kuna masika, au kwanini gari linatembbea sembuse Meli kuelea na shilingi kuzama
Watoto wa leo wapate Elimu mpaka sayansi kimu wajue kuchemsha chai au kushona kifungo
Mama Ndalichako rudisha Elimu ya kujitegemea
 
Mtaumbuka nyie wanamajungu...ndalichako she is the best,hata kwa albadiri mlimshindwa

Atakuwa ametubu dhambi zake, maana ngazi aliachia mwenyewe. Ni heri iwe ametubu kiukweli lakini kama ametubu kiuongo-uongo ataumbuka tu kama alivyoumbuka Lowassa.
 
Nakerwa saana na usistaduu wa chuo!!
Degree za Chupi zinanikeraa!
wasomi wa zamani walosota hawana thamani now ukivua tuu Una A+
Upuuuuuuzi!
 
Bibie, kumbe bado upo? Hujaanza kuisoma namba kama swahiba wako wa Msoga?

1.JPG
 
Prince K aibu dunia ya Leo unajadili ujinga huu shame on you watu wanamajina ya kikristu ila wanashinda kwa waganga na mizimu jitambue viongozi wengi ni washirikina
 
Hamadi Masauni alidanganya umri ikabidi ajiuzulu uvccm alafu hivi sasa anaonekana anafaa, siasa gani hizi!
Ila kwa Dk Mpango na Dk Ndalichako nahisi ni uteuzi mzuri
Hivi hawa si watu wa Kigoma? TRA amrudishe Bade, ni jembe la uhakika
 
Mimi ningekua waziri wa Elimu ningefuta mitihadi ya dini kuingia kwenye NECTA,hili ni jipu na siyo fare kuiweka mitihani hii kwenye calculation za NECTA.
Kama mnataka mitihani ya dini katungiene hiyo mitihani kwenye ma dini yenu.
 
JF ina nguvu sana. Inaweza kumuondoa mtu madarakani na kumuweka madarakani. Joyce Ndalichako ni zao la JF.
Mkuu Kigodoro! I concur. Joyce alikuwa chagua la wengi humu jf. Naona mheshimiwa huwa anapitia mdogo mdogo. Cha muhimu mapendekezo tunayotoa yawe na mantiki kama hili. Keep going our president! And long live jf!
 
Back
Top Bottom