Rais Magufuli akutana na viongozi wa chama tawala cha China Ikulu

Rais Magufuli akutana na viongozi wa chama tawala cha China Ikulu

Rais Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa chama tawala CCM amekutana na viongozi wa chama tawala cha kikomunisti cha China.

Viongozi hao kutoka China wamempongeza Rais Magufuli kwa namna CCM inavyoongoza kwa ufasaha serikali zake mbili ya Muungano na ya Zanzibar.

Source Eatv habari!
Uchaguzi ukiwa wa huru na haki basi..........
 
Hahahahahaahaha zama hizi wana ng'ang'ania picha daaaah... Kipindi kile walikuwa wana lalama TBC Mara picha zimekuwa nyingi....

Maisha yana enda kasi sanaaa
Wamemusi Rais wao, ni haki yao.
 
Underscore coumaflage
Hahaha, mhmm msishangilie mapema, uliona yaliyo wakuta Genk? Walishangilia goli la Mbwana Samatta, refa akachungulia akasema aliyempigia cross alikuwa kesha otea, ingawa kidogo. Hivyo liverpool 1-0 Genk.
 
Labda nimalizie kwa sema kwamba nafasi ya CPC chini ya President Xi katika utawala wa CHINA na nafasi ya CCM chini ya Magufuri katika utawala wa Tanzania zimekuwa displaced. STATE ndio zinashika hatamu katika mataifa yote hayo mawili.
Xi akikongooka, CPC inamtupilia mbali. Uwezo huo wanao. CCM hawana. Huo ndio ukweli wenyewe.
 
Xi akikongooka, CPC inamtupilia mbali. Uwezo huo wanao. CCM hawana. Huo ndio ukweli wenyewe.
CPC ishamfanya jamaa kuwa Rais wa kudumu, Mpaka kifo. siku ile ndio CPC ilijizika rasmi, hamna mtu duniani anaweza muondoa madarakani Xi au anayeweza mzuia asiendelee na mipango yake tena. XI is a freeman.

CCM wanaweza muondoa Jiwe. wakiamua.
 
CPC ishamfanya jamaa kuwa Rais wa kudumu, Mpaka kifo. siku ile ndio CPC ilijizika rasmi, hamna mtu duniani anaweza muondoa madarakani Xi au anayeweza mzuia asiendelee na mipango yake tena. XI is a freeman.

CCM wanaweza muondoa Jiwe. wakiamua.
Hilo la juu tungeweza kulijadili na kukubaliana; maadam umeamua kujipambanua kwa hilo la pili, sina la ziada hapo.
 
Kwa nini waislamu hawaandamani kupinga mambo hawa wachina wanawafanyia jamaa wa Xinjiang.
 
Rais Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa chama tawala CCM amekutana na viongozi wa chama tawala cha kikomunisti cha China.

Viongozi hao kutoka China wamempongeza Rais Magufuli kwa namna CCM inavyoongoza kwa ufasaha serikali zake mbili ya Muungano na ya Zanzibar.

Source Eatv habari!
Wamekuja kumwambia ajimwambafy afute mfumo wa vyama vingi watampa pesa nyingi endapo wazungu wataamua kususa na kuiwekea vikwazo Tanzania
 
Watanzania ni wapumbavu sijawahi kuona ndugu Yangu ,jiwe limeanguka na kupasuka kabisa, wanajiuliza waanzaje kuwaambia wananchi, movie inachezwa na Lukuvi
Kama ni ule moshi wa Ruangwa ile sinema siyo ya Lukuvi ili sinema ilichezwa na akina cyprian Musiba kwa lengo la kumchonganisha Magufuli na membe apate hasira aamue kumkoa membe ili cyprian Musiba aokoke na kesi iliyomlemea mahakamani ingawa Bashite anamfadhili kwa kumlipia mawakili na gharama zingine, picha lote la Ruangwa limetengenezwa na wabwekaji wa Taifa kama ulikuwa haujui
 
Alisema alimaliza ziara atakuwa Chamwino, au ndo walikutania huko?
Nguo na vitu vyake vyote vipo hapo magogoni bado ingawa chamwino wameweka kila kitu kipya
 
Bila mabeberu hata risasi za kuwaua akina akwilina msingekuwa nazo nyama wewe
CCM wakienda kuomba pesa kwa wazungu huwaita Wafadhili na pindi wakila pesa hizo hizo na kufanya udikiteta na wazungu wakahoji huwaita mabeberu, CCM inashangaza sana ndiyo maana Wachina hutumia huo mwanya kujipenyeza wapate kuhuna rasilimali za Tanzania kienyeji kimya kimya huku wakitaka mfumo wa chama kimoja utumike kama kwao China wapate kufaidi vizuri mali za Tanzania kiulaini.
 
Back
Top Bottom