Malidhiano = Maridhiano
Kweli unayo sema, lakini kwa upande wangu naona siasa za unafik zinazofanywa na chama tawala,..Hii ndo aina ya siasa inayotakiwa kufanywa na viongozi wetu wa kisiasa na kiserikali kuliko kila upande kuwa wababe kwa upande mwingine.
Haya ni maandalizi mazuri ya uchaguzi mkuu
Sijakuelewa! Unamaanisha kuna uzi umechangia kwa mawazo haya? Kama ni hivyo hongera kwako!Hongera kwa kuifanya komenti yangu kuwa uzi wako!!!
Sidhani Kinana na Lowasa wana nia ya uraisi. Msiwachanganye kundiniKwahali ilivyo sasa, Membe, Lowasa, Makamba na hata Kinana wangeenda Upinzani hakuna ambacho wangeweza fanikiwa. "Zana za ushindi alizonazo", Magufuli haogopi uchaguzi, anachotafuta ni kuonekana ushiriki kivuli wa upinzani.
Kuongeza Nguvu ya ushindi. Maana wajuzi wanasema Lowasa karudi ccm kuongeza nguvu ya ushindi.Sidhani Kinana na Lowasa wana nia ya uraisi. Msiwachanganye kundini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili za dikteta uchwara..unaweza kuwa sahihiHuyu Magufuli naona anajipa kazi bila kutaka kwa kumuogopa Membe. Naona ameamua ni heri ajiweke karibu kwa viongozi wa vyama ambavyo ni "likely" Membe kujiunga navyo kwa ajili ya kutimiza "ndoto zake". Bila shaka anajaribu kuwalaghai wasimpe nafasi ili akose pa kutimizia ndoto zake.
Viongozi wa upinzani walikuwa wawili tu,jingine lilikuwa pandikizi.Huyu Magufuli naona anajipa kazi bila kutaka kwa kumuogopa Membe. Naona ameamua ni heri ajiweke karibu kwa viongozi wa vyama ambavyo ni "likely" Membe kujiunga navyo kwa ajili ya kutimiza "ndoto zake". Bila shaka anajaribu kuwalaghai wasimpe nafasi ili akose pa kutimizia ndoto zake.
Bahari ipo wapi?Kuuliza si ujinga. Hivi serikali pamoja na mkuu wa nchi wapo Dodoma au Dar es Salaam? Mbona kama shughuli zote za ofisi ya rais huratibiwa Dar es Salaam?
Hv huyu bwana mkubwa alitangaza KUHAMIA ikulu ya Dodoma kutoka Dar es salaam AU ikulu ya Dar es salaam kutoka Dodoma..?
Maana me sielewielewi guys.
inakuwaje wachina wameita ugonjwa wao corona jina la aina ya gari za kijapani?Kwa hiyo hapo wanakwepa Corona bin Covid-19?
Kwa hiyo hapo wanakwepa Corona bin Covid-19?
hiviii.. huyu MEKO si ndie alimsema SHEN kwa kitendo cha MAALIM kutompa mkono wa SALAM akasema angekuwa yeye angefuta huduma zote kwa MAALIM!
leo sasa badala ya kuacha kutoa mkono MAALIM kaamua kutoa MGUU kama salam na MEKO bila hiyana kapokea [emoji1787] [emoji111][emoji23][emoji23]🙄